Philips luiz...hv kweli umeiona hyo chelsea... au umeanza kushabikia mpira enzi za diego costa
Essien dah ...ilikuwa ni moto sana hii Chelsea, apo sub utamkuta mtu kama Calou, J Cole, Philipe Luis, Ob Mikel badae kidog akaja David Luiz, Torres, Ramires, ..ilikuwa ni balaa..
 
Anelka sikumuelewaga alifunga magoli kiutani uitani na kuna wakati aliongozza EPL kiutaniutani kwa kufunga magoli 19, 2008/09 juu ya Ronaldo 18 na Steven Gerrad 16 na kumfanya kuwa mshindi wa Golden Boot EPL wa pili kwa magoli machache baada ya EPL ya 1997/98 na 1998/99 washindi watatu walifungana kwa magoli 18 kila mmoja

Pia ni mchezaji aliyecheza timu lukuki

1996–1997 Paris Saint-Germain
1997–1999 Arsenal
1999–2000 Real Madrid
2000–2002 Paris Saint-Germain
2001–2002 → Liverpool (loan)
2002–2005 Manchester City
2005–2006 Fenerbahçe
2006–2008 Bolton Wanderers
2008–2012 Chelsea
2012–2013 Shanghai Shenhua
2013 → Juventus (loan)
2013–2014 West Bromwich Albion
2014–2015 Mumbai City FC
Chelsea ndio team pekee aliyoichezea kwa miaka mingi (4years) zingine sio zaidi ya miaka miwili)
 
Lampard amsifia sana Ross Barkley kwa kufunga magoli miwili dhidi ya Bulgaria. Anasema anapenda kuona viungo washambuliaji wakifunga magoli
 
Ahahah etty sarah yan umepanik had unakosea kuandk punguza povu ukavae nep.


Ya kwak yamekushnd kazi kufuatlia ya wenzako ndo maan wabongo mnakosa maendeleo coz ya kufuatlia ya wenzen wny maendeleo.


Na hata hvy cwez bshan na mtoto kama ww ambaye bado unavaa pampers na unajkojolea hovy ktandan
Mkuu samahani hivi we ni "ke" au "me" mbona kama unachamba kama dem.
 
Umeshashndw ndo unaanz kusem spelling error sema niny wa kanda ya ziwa haujui kutofautisha kat ya l na r kwny kuandk na kuongea hamjui k2 niny back 2 school
Afu we jamaa ni mtoto kweli,maana uandishi wako ni ujinga tupu.Kwani ukiandika "kitu" instead of "k2" kuna shida gani.

Vitoto vya form one bh
 
Andreas Christensen and N'Golo Kante -OUT
Mateo Kovacic, Emerson Palmieri and Ross Barkley -IN
Antonio Rudiger and Ruben Loftus-Cheek bado wako injury

Watakaocheza probably kwenye 4-2-3-1

Tammy
Odoi Mount Willian
Jourginho Kovacic
Alonso Tomori Zouma Azpilicueta
Kepa


Watakaocheza probably kwenye 4-3-3

Odoi Tammy Willian
Mount Jourginho Barkley
Alonso Tomori Zouma Azpilicueta
Kepa
 
Andreas Christensen and N'Golo Kante -OUT
Mateo Kovacic, Emerson Palmieri and Ross Barkley -IN
Antonio Rudiger and Ruben Loftus-Cheek bado wako injury

Watakaocheza probably kwenye 4-2-3-1

Tammy
Odoi Mount Willian
Jourginho Kovacic
Alonso Tomori Zouma Azpilicueta
Kepa


Watakaocheza probably kwenye 4-3-3

Odoi Tammy Willian
Mount Jourginho Barkley
Alonso Tomori Zouma Azpilicueta
Kepa
Ukiwa unakikosi kizuri ni raha Sana.
 
Back
Top Bottom