OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,118
- 24,047
Hahahahaha achana na Oscar hata lampard nimemjua akiwa kocha.Huyo chalii hata oscar hamjui
Hahahahaha achana na Oscar hata lampard nimemjua akiwa kocha.Huyo chalii hata oscar hamjui
Ila Si unaweza piga kila siku yani hata leo, kesho...wee piga tu mkuuWamefungana sasa nafikiri baada ya kura yangu
Gendouzi kura 2103
Mount kura 2103
Wote 11%
Phillipe Luis unamfahamu alienda Atlentico. Alitoka Chelsea...sasa unasemaje???
Phillipe Luis unamfahamu alienda Atlentico. Alitoka Chelsea...sasa unasemaje???
Ss4Game ya Chelsea inaoneshwa wapi?
Game ya Chelsea inaoneshwa wapi?
Kwan ishu ni umeelew au haujaelew kwa maan umeishiw madaAfu we jamaa ni mtoto kweli,maana uandishi wako ni ujinga tupu.Kwani ukiandika "kitu" instead of "k2" kuna shida gani.
Vitoto vya form one bh
Mkuu samahani hivi we ni "ke" au "me" mbona kama unachamba kama dem.
Barkley angebaki angetucost sana, uwepo wake kiungo ilikuwa soft sana.
Kovacic na Pulisic wamebadilisha sana mchezo.
Mechi ya leo makosa hayakuwa mengi sana defence yetu inaendelea kuimarika
KEPPA clean sheet ya 2 mfululizo
In general tumecheza kawaida, cha muhimu zaidi ni POINT 3 MUHIMU.
TUJIPONGEZE.
Barkley angebaki angetucost sana, uwepo wake kiungo ilikuwa soft sana.
Kovacic na Pulisic wamebadilisha sana mchezo.
Mechi ya leo makosa hayakuwa mengi sana defence yetu inaendelea kuimarika
KEPPA clean sheet ya 2 mfululizo
In general tumecheza kawaida, cha muhimu zaidi ni POINT 3 MUHIMU.
TUJIPONGEZE.
Kuwa mpole sasaNyinyi ndio mashabiki wa chelsea mnaotuhaibisha mtaani, tuonekane mashabiki wengine wa chelsea hatujui mpira....
Ndio nyinyi mnaosema chelsea iliyochukua uefa ndio chelsea bora, wakati ile ndio chelsea mbovu kupita zote...
Unaifananisha na ile yenu?Hii beki yenu ni mbovu kuliko ya ndanda
Some time anazingua kwa kweli. Dgo anataka kufanya vitu vikubwa mpka anajisahauTAMMY ABRAHAM anatakiwa awe seriouz kwenye finishing yupo soft sana ana relax sana.
5-4-1 nilijua tu kuwa leo tuna shughuli pevu maana bila shaka New Castle walishaonesha nia ya kuja kutafuta suluhuAwa Nu Casto ni wagumu kweli kweli
Nadhani man of the match atakuwa Willian maana naye kapambana sana leoHapana, tumecheza vizuri ila kipa wa newcastle alicheza vizuri zaidi., kuingia kwa kovacic kumefanya timu ipande vizur, alikuwa na uwezo kuchukua mpira chini na kupanda mashambulizi, amekaba vizur, nazan leo alipaswa kuwa man of the match
Barkley nazan bado hana kiwango cha kucheza chelsea, barkley ni kama bakayoko, ballcontrol zero, hawez kupandisha timu... yy leo ndio poor man of the match
Point 3 kibindoni, kipa wa Newcastle alitaka kutunyima ushindi leo