Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu huo sio utani ni kwel kbs hyo timu alisajil (kununua) washabiki mwanzo mwanzo
Kwani ushabiki wa mpira ni kabila? Huwezi kuhama siyo! Hivi nawaelekeza watu wenye uelewa kweli kiasi kwamba hatuelewani hapa au ndio mnajitoa ufahamu
 
Debate forward kali msimu huu?View attachment 1227909
Ushabiki uwe na mipaka wazee.

Tunaelewa mtu huvutia kwake.

Ila kweli kabisa unawafananisha Mane, Salah na Firmino na Tammy na Mount? Hua unaangalia games zenu? Tammy kukosa magoli yeye na kipa siyo jambo la ajabu, sawasawa na Rashford (Hapa utasema Salah pia mechi iliyopita alikosa goli yeye na kipa, lakini ilikua ni nafasi hiyo tu haikujirudia tena) ila Tammy na Tashhford kukosa magoli ni sehemu yao ya kazi.

Hiyo idadi ya mabao haifichi ukweli kua Mane wenzie wakiwa kwenye 18 ni tishio. Mechi ya mwisho mnashinda goli nne, Tammy aliscore, lakini vile ndiyo striker anascore? Pure luck, no skills, technic nothing..

Usiwashushie heshima yao wakina Mane.
 
Hatokujibu mkuu ngoja nimsaidie tu


Here are the top five most successful
clubs in English football history.
1. Liverpool - 42 Trophies.
2. Manchester United - 42
Trophies. ...
3. Arsenal - 30 Trophies. ...
4. Chelsea - 24 Trophies. ...
5. Aston Villa - 20 Trophies. ...

Hivyo bas huyo akikaa hovyo hata aston villa itamzid kwa mataji

MaKombe yenu mnatazamia google.

Niambie ndani ya miaka kumi umepata mafanikia gani ninyi mnaojiita club kubwa. Lete na data hapa nakusubiri
 
Chelsea doesn't belong to the past and it will never be a museum football club.

Nimemuomba atuoneshe mafanikio yake ndani ya miaka kumi toka ameanza kushudia timu yake ikiwa kubwa. Aletee hapa tuone
 
Hakuna shabiki wa liver au arsenal aliyeanza kushabikia timu yake kipindi cha miaka ya 90 mpk 2000.wengi wao wameanza kushabikia mpr kpnd cha miak ya 2000 mpk 2010.


Kama yupo atudanganye kuwa alianza kushabikia lini timu za england
 
Hebu subiri kwanza.

Kwa Tanzania tv zimeanza kuja miaka ya 90 mashabiki wa timu nyingi za nje ya Tz wameanza miaka hiyo uliyosema. Ila kuna timu zimepata mashabiki baada ya matajiri kuanza kuwekeza au kuonyesha ukomavu.

Chelsea na Man City mashabiki wake kwa Tz ni kutokana na uwekezaji. Na Tottenham ni spirit yao ya upinzani.
Hakuna shabiki wa liver au arsenal aliyeanza kushabikia timu yake kipindi cha miaka ya 90 mpk 2000.wengi wao wameanza kushabikia mpr kpnd cha miak ya 2000 mpk 2010.


Kama yupo atudanganye kuwa alianza kushabikia lini timu za england
 
Ndo hapo sasa mi nawasubria wasema wa2danganye kuwa wameanz kushabkia mpr miaka ya 80 au 90
Hebu subiri kwanza.

Kwa Tanzania tv zimeanza kuja miaka ya 90 mashabiki wa timu nyingi za nje ya Tz wameanza miaka hiyo uliyosema. Ila kuna timu zimepata mashabiki baada ya matajiri kuanza kuwekeza au kuonyesha ukomavu.

Chelsea na Man City mashabiki wake kwa Tz ni kutokana na uwekezaji. Na Tottenham ni spirit yao ya upinzani.
 
Kwani ushabiki wa mpira ni kabila? Huwezi kuhama siyo! Hivi nawaelekeza watu wenye uelewa kweli kiasi kwamba hatuelewani hapa au ndio mnajitoa ufahamu

Hahaaaaaaaa kwahiyo wewe kabla hujahamia chelsea ulikuwa timu gani mkuu??????


Mm ninavyojua mshabiki kuhama timu ni ngumu sana,ila wachezaji tu ndio wanaohama na ndio maana ni rahisi kusikia mchezaji anacheza Chelsea lakini ni shabiki wa Arsenal au kinyume chake
 
Ushabiki uwe na mipaka wazee.

Tunaelewa mtu huvutia kwake.

Ila kweli kabisa unawafananisha Mane, Salah na Firmino na Tammy na Mount? Hua unaangalia games zenu? Tammy kukosa magoli yeye na kipa siyo jambo la ajabu, sawasawa na Rashford (Hapa utasema Salah pia mechi iliyopita alikosa goli yeye na kipa, lakini ilikua ni nafasi hiyo tu haikujirudia tena) ila Tammy na Tashhford kukosa magoli ni sehemu yao ya kazi.

Hiyo idadi ya mabao haifichi ukweli kua Mane wenzie wakiwa kwenye 18 ni tishio. Mechi ya mwisho mnashinda goli nne, Tammy aliscore, lakini vile ndiyo striker anascore? Pure luck, no skills, technic nothing..

Usiwashushie heshima yao wakina Mane.

Hawa tunawaweza sisi mkuu,tunaenda nao vile wanavyotaka.......ila hapo katika hizo trio wamesahau Kagere,Miraji na Deo kanda mzee maana nao wana goli za kutosha tu
 
Hakuna shabiki wa liver au arsenal aliyeanza kushabikia timu yake kipindi cha miaka ya 90 mpk 2000.wengi wao wameanza kushabikia mpr kpnd cha miak ya 2000 mpk 2010.


Kama yupo atudanganye kuwa alianza kushabikia lini timu za england

Yaani kwanini mnapenda kujidharaulisha?

Unaposema HAKUNA SHABIKI WA LIVER AU ARSENAL ALIYEANZA KUSHABIKIA TIMU YAKE MIAKA YA 90 - 2000 una maana gani????

Binafsi kombe la dunia la 1998 liliofanyika Ufaransa mimi nilikuwa shabiki mkubwa wa Arsenal na timu ya taifa ya France kutokana na uwepo wa Patrick Vieira,Emma Petit na Nico Anelka ,nahisi kipindi hiko wewe hujazaliwa na hata kama ulikuwepo basi hujui lolote kuhusu soka......maana hata nikikuuliza Frank Lebouf,Marcel Desaily,Didier Deschamps walikuwa wachezaji wa timu gani kipindi hiko basi kitu cha kwanza kufanya utakimbilia google then urudi hapa ndio uanze kubwabwaja kama ulikuwepo.......

USILAZIMISHE TUFANANE MKUU,WENGINE NI BABU ZAKO.
 
Yaani kwanini mnapenda kujidharaulisha?

Unaposema HAKUNA SHABIKI WA LIVER AU ARSENAL ALIYEANZA KUSHABIKIA TIMU YAKE MIAKA YA 90 - 2000 una maana gani????

Binafsi kombe la dunia la 1998 liliofanyika Ufaransa mimi nilikuwa shabiki mkubwa wa Arsenalnahisi kipindi hiko wewe hujazaliwa na hata kama ulikuwepo basi hujui lolote kuhusu soka......maana hata nikikuuliza Marcel Desaily,Didier Deschamps walikuwa wachezaji wa timu gani basi kitu cha kwanza kufanya utakimbilia google then urudi hapa kubwabwaja.......

USILAZIMISHE TUFANANE MKUU,WENGINE NI BABU ZAKO.
Kama mtu 98 ulianglia kombe la dunia t, but I still unaongea mawazo ya kitoto there is something wrong in ur brain,
 
Yaani kwanini mnapenda kujidharaulisha?

Unaposema HAKUNA SHABIKI WA LIVER AU ARSENAL ALIYEANZA KUSHABIKIA TIMU YAKE MIAKA YA 90 - 2000 una maana gani????

Binafsi kombe la dunia la 1998 liliofanyika Ufaransa mimi nilikuwa shabiki mkubwa wa Arsenalnahisi kipindi hiko wewe hujazaliwa na hata kama ulikuwepo basi hujui lolote kuhusu soka......maana hata nikikuuliza Marcel Desaily,Didier Deschamps walikuwa wachezaji wa timu gani basi kitu cha kwanza kufanya utakimbilia google then urudi hapa kubwabwaja.......

USILAZIMISHE TUFANANE MKUU,WENGINE NI BABU ZAKO.
Yani ww ni kinda kbx ndo unajiita babu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom