Ppmosile
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 1,232
- 1,890
1905Ndio ulete jibu sasa.....ili tupime umri ulionao na mataji uliyonayo kama yanafanana
1905Ndio ulete jibu sasa.....ili tupime umri ulionao na mataji uliyonayo kama yanafanana
Mzee umekurupuka, umekurupushwa na mihemko inakuendesha. Rudia kusoma nilicho andikaNEYMAR aje Chelsea??? yaani Hazard anaikimbia timu ndogo leo Neymar Jr ndio aje hapo ???
Nlijua vituko vimeisha duniani kumbe bado vipo.Haahaaha!
Achana na hao mazezeta wa arsenal wameishiwa hojaMzee umekurupuka, umekurupushwa na mihemko inakuendesha. Rudia kusoma nilicho andika
Nyuma ya 2005 timu ilikua EPL, Mashabiki wake tulikuwepo hapa Tanzania na Africa nzima. Some questions lol!!Mbona hamjibu hoja sasa mkuu ??? Hujaona hayo maswal hapo maan majibu yenu yapo hapo mkuu kwenye hayo maswal kama utayajibu na ndipo utajua kua chelsea ni katimu pale ENGLAND na sio mnavyoipaisha
Kasi ya Aston Villa inaizidi kasi yangu kwako? Better be carefull. Kila mwaka kombe endelea kushabikia ushubwadaWewe Aston Villa anakuja kwa kasi sana jipange....
Nyie mmeanza kuifatilia miaka hiyo unasema kimechipukia miaka hiyo kwa sababu ndio miaka umeanza kufungua ubonho kuuelewa mpira au mijadala ulikuta imeandika na wewe ukaunga nayo. SMH!!Kitimu kilichochipukia 2005 sio kwamba kilianzishwa 2005 kilikuwepo kitambo huko sema kuanzia mwaka 2004 kurud nyuma kilikuwa kama unavyoiona Norwich city ya leo....
Arsenal inafanana?Ndio ulete jibu sasa.....ili tupime umri ulionao na mataji uliyonayo kama yanafanana
Ulikuwa shabik wa chel kwel mkuu au kunatimu ulitandika daruga before?Nyuma ya 2005 timu ilikua EPL, Mashabiki wake tulikuwepo hapa Tanzania na Africa nzima. Some questions lol!!
Hoja yako sasa iko wap hapo?
Ww c umeshajibiwa sasa unaendelea kubsha nnUlikuwa shabik wa chel kwel mkuu au kunatimu ulitandika daruga before?
Hadhi yake sio kucheza Chelsea, usijitie upofu, muda mwingine mnatia Aibu kwa mnayoandika eti "ata spoil vijana"Mzee umekurupuka, umekurupushwa na mihemko inakuendesha. Rudia kusoma nilicho andika






Nimeweka mtego na ukaingia kingi. Kumbe Chelsea haikuanza 2005!! Hapa ndipo story inakoanziaImeanza au ndo ilipata nguvu?? embu acha uongo kwamb chelsea ilianzishwa mwaka2005????
Mtego mnaingiua wenyewe kizobazobaMbona hamjibu hoja sasa mkuu ??? Hujaona hayo maswal hapo maan majibu yenu yapo hapo mkuu kwenye hayo maswal kama utayajibu na ndipo utajua kua chelsea ni katimu pale ENGLAND na sio mnavyoipaisha
Nyie hamtumii ubongo kwenye kufikiri, nyie nyie ndio mlisema ilianzishwa 2005 SASA mumebadili gia kuwa imechipukia. Keywords mtabnadilisha sana ila tu hamjui kufikiri kabisaKitimu kilichochipukia 2005 sio kwamba kilianzishwa 2005 kilikuwepo kitambo huko sema kuanzia mwaka 2004 kurud nyuma kilikuwa kama unavyoiona Norwich city ya leo....
Aiseeee! kumbe walinunua hadi washabiki, ni hatari sana.Imeanza au ndo ilipata nguvu?? embu acha uongo kwamb chelsea ilianzishwa mwaka2005???? Na kama ndo hivyo embu nisaidie haya maswali
1. nyuma ya 2005 timu ilikuwa wp??
2. Washabik wake tanzania mlikuwa wap??au ndo mlikuwa washabik wa newcastle au mlikuwa hamjui hata maan ya EPL Kbs?? Maan nakumbuka huyo mrusi alinunuaga mpk washabiki wakat kaichukua hiyo timu.
Nyinyi vishabiki vya chel hamna tofauti na washabiki wa Azam fc ,Gwambina fc kibongobongo ni makapi ya washabiki wa timu flani wasio na msimamo ambao timu zao zipo ktk kipindi cha mpito,usitufanganye hapa wote ni watu wazimaNyuma ya 2005 timu ilikua EPL, Mashabiki wake tulikuwepo hapa Tanzania na Africa nzima. Some questions lol!!
Hoja yako sasa iko wap hapo?
Tatizo lenu nyinyi hamjui kuchanganua mambo,ni pale unapojua unaongea na muelewa kumbe........jiongeze na uchangamshe akili yako mkuuNyie hamtumii ubongo kwenye kufikiri, nyie nyie ndio mlisema ilianzishwa 2005 SASA mumebadili gia kuwa imechipukia. Keywords mtabnadilisha sana ila tu hamjui kufikiri kabisa
Mkuu huo sio utani ni kwel kbs hyo timu alisajil (kununua) washabiki mwanzo mwanzoAiseeee! kumbe walinunua hadi washabiki, ni hatari sana.
Hahaaahahahahah!
Ulikuwa shabik wa chel kwel mkuu au kunatimu ulitandika daruga before?
Na ndio maan wanayapita yale maswal pale juu mkuu hivyo bas hawa ni timu ya mkumbo tu hap bongo , ni kam sasa hiv unakuta mtu mzima miaka ya kutosha anajiita yy shabik wa city , ukimuuliza kaanza kushabikia city ln ndo kizaa zaa sasaNyinyi vishabiki vya chel hamna tofauti na washabiki wa Azam fc ,Gwambina fc kibongobongo ni makapi ya washabiki wa timu flani wasio na msimamo ambao timu zao zipo ktk kipindi cha mpito,usitufanganye hapa wote ni watu wazima