Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wakuu habari za Neymar zipuuzwe hawa The sun wanafanya biashara tu. Hatutaki watu wa kuja kuspoil vijana wetu.
 
Umesahau na wazee wa liver since 1989/1990 hawajawahi kubeba ndoo ya epl mpk sasa
Mtoto wa 2005. Ameshudia timu yake ikishinda mataji ya

Epl 5
UEFA Champion 1
Uropa Champion 2
FA Cup 8
Carabao Cup 5

Wewe mzeee wa 90s umeshudia Kimoja 1 kama sijakosea.

So kati ya mtoto na Mzee nani anamafanikio makubwa?

Mzee aliwekeza kwenye ulevi tu
 
Wakuu tuendelee kuonyesha hali ya kuvumiliana tena sana ni utanzania huo dharau, majigambo, kebehi ziishie person level .natoa mfano " wewe Lukub mjinga Kweli... Usimtukanie wazazi wake watoto, tusiende family level, tukumbuke wana Chelsea wenzangu wageni wanaokuja humu wanaona timu inafanya vizuri ,tukiwa na hali mbaya wangekuja kutoa pole bila hata majigambo .Matusi yakitaradadi tutasoma tu bila comment yoyote. Blue is the colour
[emoji106][emoji106][emoji106] london is blue
 
TUNAFANYA MAKOSA SANA KUBISHANA NA MASHABIKI WA ARSENAL SIO LEVEL YETU KABISA

TUBISHANE NA MASHABIKI WA LIVERPOOL, BARCA, MADRID, MAN U, JUVE TUNAOFANANA KWENYE LEVEL ZA KUBEBA KOMBE UEFA CHAMPION.

MASHABIKI WA ARSENAL WANATUSHUSHIA HESHIMA NA TUNAPOTEZA MUDA HATUNA LA KUJIFUNZA KUTOKA KWAO, ZAIDI YA KUTUAMBUKIZA UZUMBUKUKU NA FAILURES.

NAOMBA TUWAPUUZE KABISA.
Kwel kbx yan nawaonea huruma sana mashabk wa arsenal wao tangia tmu ianzshwe haijawah kuchukua UEFA then bado wanaendelea kubishana na wakubwa zao hawaoni hata aibu
 
Mtoto wa 2005. Ameshudia timu yake ikishinda mataji ya

Epl 5
UEFA Champion 1
Uropa Champion 2
FA Cup 8
Carabao Cup 5

Wewe mzeee wa 90s umeshudia Kimoja 1 kama sijakosea.

So kati ya mtoto na Mzee nani anamafanikio makubwa?

Mzee aliwekeza kwenye ulevi tu
ndio maana mnaambiwa kuwa akili zenu fupi,sasa kusanya mataji ya Chelsea yote then uje kucompare na hizo timu unazoziita za wazee...chelsea haina tofauti kubwa na kina aston villa na blackburn rovers...ukweli mchungu ila haina namna,

usikimbie nakusubiri hapa.....
 
ndio maana mnaambiwa kuwa akili zenu fupi,sasa kusanya mataji ya Chelsea yote then uje kucompare na hizo timu unazoziita za wazee...chelsea haina tofauti kubwa na kina aston villa na blackburn rovers...ukweli mchungu ila haina namna,

usikimbie nakusubiri hapa.....
Akikujibu nitag
 
Kwel kbx yan nawaonea huruma sana mashabk wa arsenal wao tangia tmu ianzshwe haijawah kuchukua UEFA then bado wanaendelea kubishana na wakubwa zao hawaoni hata aibu
toka hiki kitimu kianzishwe kimekusanya makombe mangapi?hebu weka hapa tufanye comparison sio kubwabwaja tu,usijilinganishe na kina liverpool wakati wenzio ni timu kubwa ina makombe ya ligi kuu takribani 18 wewe una vitatu sijui vinne unakuja kupiga kelele hapa shubamitt wewe ni kina bolton wenderes huko ndio size yako
 
Umesahau na wazee wa liver since 1989/1990 hawajawahi kubeba ndoo ya epl mpk sasa
mwenzio ana 18 katulia wewe una vi5 unapiga kelele aiseeeeeeeeeehhhhh kweli ukistaajabu ya Mussa utayaona ya chelsea....

hawa ndio wafalme wa england...

1.MAN UTD
2.LIVERPOOL
3.ARSENAL

ALAFU ZOTE NI RED HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHA
 
toka hiki kitimu kianzishwe kimekusanya makombe mangapi?hebu weka hapa tufanye comparison sio kubwabwaja tu,usijilinganishe na kina liverpool wakati wenzio ni timu kubwa ina makombe ya ligi kuu takribani 18 wewe una vitatu sijui vinne unakuja kupiga kelele hapa shubamitt wewe ni kina bolton wenderes huko ndio size yako
Hatokujibu mkuu ngoja nimsaidie tu


Here are the top five most successful
clubs in English football history.
1. Liverpool - 42 Trophies.
2. Manchester United - 42
Trophies. ...
3. Arsenal - 30 Trophies. ...
4. Chelsea - 24 Trophies. ...
5. Aston Villa - 20 Trophies. ...

Hivyo bas huyo akikaa hovyo hata aston villa itamzid kwa mataji
 
Hatokujibu mkuu ngoja nimsaidie tu


Here are the top five most successful
clubs in English football history.

1. Liverpool - 42 Trophies.
2. Manchester United - 42
Trophies. ...

3. Arsenal - 30 Trophies. ...
4. Chelsea - 24 Trophies. ...
5. Aston Villa - 20 Trophies. ...

Hivyo bas huyo akikaa hovyo hata aston villa itamzid kwa mataji
Tatizo vinakujaga hovyohovyo tu bila takwimu,na hapa hii comment yako wanaichungulia kwa jicho moja wanakimbia hahahahahahahahahahha safi sana mkuu hawa wakae vizuri maana ASTON VILLA wanakuja kwa kasi ya ajabu
 
Tatizo vinakujaga hovyohovyo tu bila takwimu,na hapa hii comment yako wanaichungulia kwa jicho moja wanakimbia hahahahahahahahahahha safi sana mkuu hawa wakae vizuri maana ASTON VILLA wanakuja kwa kasi ya ajabu
Inaogopesha sana yaan aston villa pamoja na kushuka daraja kaizidi mataji ma4 tuu hahahahaha
 
Hatokujibu mkuu ngoja nimsaidie tu


Here are the top five most successful
clubs in English football history.
1. Liverpool - 42 Trophies.
2. Manchester United - 42
Trophies. ...
3. Arsenal - 30 Trophies. ...
4. Chelsea - 24 Trophies. ...
5. Aston Villa - 20 Trophies. ...

Hivyo bas huyo akikaa hovyo hata aston villa itamzid kwa mataji
Livewrpool, Arsenal na Aston Villa ni vilabu vya historia, sisi Chelsea ni timu ya sasa hivi, we do not belong to the past
 
Hatokujibu mkuu ngoja nimsaidie tu


Here are the top five most successful
clubs in English football history.
1. Liverpool - 42 Trophies.
2. Manchester United - 42
Trophies. ...
3. Arsenal - 30 Trophies. ...
4. Chelsea - 24 Trophies. ...
5. Aston Villa - 20 Trophies. ...

Hivyo bas huyo akikaa hovyo hata aston villa itamzid kwa mataji
Naomba uende mbali Zaidi na utuelezee hayo makombe yalipatikana kwa muda gani? halafu pia utupe trophy per season, ukishindwa hayo mahesabu nyamaza milele usituletee historia hapa
Chelsea imeanza tu 2005, 14 years na ina makombe 21 je ingeanza 1900 ingekuwa na makombe mangapi?
 
Tatizo vinakujaga hovyohovyo tu bila takwimu,na hapa hii comment yako wanaichungulia kwa jicho moja wanakimbia hahahahahahahahahahha safi sana mkuu hawa wakae vizuri maana ASTON VILLA wanakuja kwa kasi ya ajabu
Tuwekee na za uefa tumtafute arsenal
 
Naomba uende mbali Zaidi na utuelezee hayo makombe yalipatikana kwa muda gani? halafu pia utupe trophy per season, ukishindwa hayo mahesabu nyamaza milele usituletee historia hapa
Chelsea imeanza tu 2005, 14 years na ina makombe 21 je ingeanza 1900 ingekuwa na makombe mangapi?
Imeanza au ndo ilipata nguvu?? embu acha uongo kwamb chelsea ilianzishwa mwaka2005???? Na kama ndo hivyo embu nisaidie haya maswali
1. nyuma ya 2005 timu ilikuwa wp??
2. Washabik wake tanzania mlikuwa wap??au ndo mlikuwa washabik wa newcastle au mlikuwa hamjui hata maan ya EPL Kbs?? Maan nakumbuka huyo mrusi alinunuaga mpk washabiki wakat kaichukua hiyo timu.
 
Livewrpool, Arsenal na Aston Villa ni vilabu vya historia, sisi Chelsea ni timu ya sasa hivi, we do not belong to the past
Mkuu nadhani pia unasahau maana ya past , maan hayo makombe pia ulioyachukua( exclude europa ya mwaka huu ) ni past sasa sijui unamaanisha past ipi?
 
Hatokujibu mkuu ngoja nimsaidie tu


Here are the top five most successful
clubs in English football history.
1. Liverpool - 42 Trophies.
2. Manchester United - 42
Trophies. ...
3. Arsenal - 30 Trophies. ...
4. Chelsea - 24 Trophies. ...
5. Aston Villa - 20 Trophies. ...

Hivyo bas huyo akikaa hovyo hata aston villa itamzid kwa mataji
Chelsea doesn't belong to the past and it will never be a museum football club.
 
Hatokujibu mkuu ngoja nimsaidie tu


Here are the top five most successful
clubs in English football history.
1. Liverpool - 42 Trophies.
2. Manchester United - 42
Trophies. ...
3. Arsenal - 30 Trophies. ...
4. Chelsea - 24 Trophies. ...
5. Aston Villa - 20 Trophies. ...

Hivyo bas huyo akikaa hovyo hata aston villa itamzid kwa mataji
Ni aibu kubwa kufikiri Astonvilla atamzidi Chelsea wakati ndani ya miaka mitano Chelsea anayokawaida ya kukusanya vikombe 3,wakati arsenal kasimama na huu ndio ukweli.Niongeze Sauti?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom