Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

ndio maana mnaambiwa kuwa akili zenu fupi,sasa kusanya mataji ya Chelsea yote then uje kucompare na hizo timu unazoziita za wazee...chelsea haina tofauti kubwa na kina aston villa na blackburn rovers...ukweli mchungu ila haina namna,

usikimbie nakusubiri hapa.....
Unaleta mataji ya kizamani enzi zile kukiwa hamnaga cha offside?
 
Jamani mbona swali langu halijajibiwa na mashabiki maandazi wa arsenal
Jifunze kwanza kuandika, ukikua tutakujibu,.. nyie mashabiki wa 2007 na timu yenu ya 2005 hamuoni wenzenu man city wapo kimya, wanaijua hadhi yao bado sana kujitapa kwa wakubwa wao
 
Mm cjaizid astonvl nko naye sawa kwa UEFA.na kuulza huyo mwnzng arsenal kwan ameizd chelsea kombe la UEFA au EUROPA?nataka majb haraka sana
Lete takwimu za jumla hapa,
Ukianza kuleta categories hata wewe unaweza kusema ni mkubwa kuliko baba yako kwakuwa tu umempita katika eneo flani dogo....

Kwa mfano baba yako hana accounts fb,whatsap,insta na wewe unazo kwahiyo wewe mkubwa kuliko baba??????

Lete takwimu za jumla una makombe mangapi toka haka katimu kaanzishwe ili tujue mkubwa nani??????
 
NEYMAR aje Chelsea??? yaani Hazard anaikimbia timu ndogo leo Neymar Jr ndio aje hapo ???

Nlijua vituko vimeisha duniani kumbe bado vipo.Haahaaha!
Bange za chooni tu hizo wanazovuta
 
Mbn sasa umeshaama kutoka arsenal hadi n.forest hoja yangu nlkuw nazunguzmia arsenal amezdiwa na hakn n.forest na astonvl kwa uefa.ukaamia kwa astvl dhd ya chelsea nkakujb sasa naon umeamua kuamia tena kwa n.forest ntakujb vlvl ila ni jb kwnz kuhusian na arsenal dhd ya chelsea nan amemdhd mwnzak kombe la uefa na europa?
Kaka huyo sio shabiki wa Arsenal ,
Timu yake hata ukae miaka mi huezi ifikia kwa mafanikio.....
Kama Arsenal huwawezi utawaweza liverpool ...????
 
Eakati meingine tunachobishania naona ni utoto hawa jamaa siyo kwamba hawaelewi ukubwa wetu wanaelewa vizuri ila kinacho watisha ni kasi ya mafanikio ndio kina chowauma zaidi ndio maana wanapaza misuli kutaka kutu challenge lakini uhalisia ni kwamba Chelsea siyo ya kitoto kama wanavyoisema.
Wewe Aston Villa anakuja kwa kasi sana jipange....
 
Sasa kwa nini huwa mnasema timu iliyoanzishwa 2005 basi kuweni na kauli moja tuelewe hoja ziko wapi.
Kitimu kilichochipukia 2005 sio kwamba kilianzishwa 2005 kilikuwepo kitambo huko sema kuanzia mwaka 2004 kurud nyuma kilikuwa kama unavyoiona Norwich city ya leo....
 
NEYMAR aje Chelsea??? yaani Hazard anaikimbia timu ndogo leo Neymar Jr ndio aje hapo ???

Nlijua vituko vimeisha duniani kumbe bado vipo.Haahaaha!
Nani amekwambia kuwa Chelsea wanamhitaji Neymar ili aje afanyenini?labda aende Asernal lakini chelseafc hatuna uhitaji nae coz tunajitosheleza.
 
Jifunze kwanza kuandika, ukikua tutakujibu,.. nyie mashabiki wa 2007 na timu yenu ya 2005 hamuoni wenzenu man city wapo kimya, wanaijua hadhi yao bado sana kujitapa kwa wakubwa wao
Acha kurukaruka Kama maharageJibu swali uliloulizwa hiyo timu yako kubwa ya Asernal ina Euefa titles ngapi tangu izaliwe?
 
Jifunze kwanza kuandika, ukikua tutakujibu,.. nyie mashabiki wa 2007 na timu yenu ya 2005 hamuoni wenzenu man city wapo kimya, wanaijua hadhi yao bado sana kujitapa kwa wakubwa wao
Jibu swali sio unakimbia swali
 
Lete takwimu za jumla hapa,
Ukianza kuleta categories hata wewe unaweza kusema ni mkubwa kuliko baba yako kwakuwa tu umempita katika eneo flani dogo....

Kwa mfano baba yako hana accounts fb,whatsap,insta na wewe unazo kwahiyo wewe mkubwa kuliko baba??????

Lete takwimu za jumla una makombe mangapi toka haka katimu kaanzishwe ili tujue mkubwa nani??????
Unataka takwimu za uefa na europa kati ya chelsea na arsenal?kama unataka nakugai sahv
 
Kaka huyo sio shabiki wa Arsenal ,
Timu yake hata ukae miaka mi huezi ifikia kwa mafanikio.....
Kama Arsenal huwawezi utawaweza liverpool ...????
Mm najua kuwa ni shabk wa liver na ww n shabk wa arsenal naoj 2lyokuw 2nabshania hapo ni ya arsenal na ckummention kama yy n shabk wa arsenal
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom