Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kama mtu 98 ulianglia kombe la dunia t, but I still unaongea mawazo ya kitoto there is something wrong in ur brain,

Hahaaaaaaaaaa usitoe povu dogo...hebu weka wewe hayo mawazo ya kikubwa tuone kama kuna kitu kipo sawa katika ubongo wako

Vitoto vya chelsea bwana.....yaani vikishindwa hoja vinaattack personelly.......

Tunawapa changamoto mujifunze uvumilivu,sio timu ikiwa katika mpito mnakimbia‍♀️‍♀️‍♀️munahamia timu nyingine,kama rafiki yangu @southernhighland‍♀️‍♀️‍♀️‍♀️‍♀️‍♀️
 
Hahaaaaaaaaaa usitoe povu dogo...hebu weka wewe hayo mawazo ya kikubwa tuone kama kuna kitu kipo sawa katika ubongo wako

Vitoto vya chelsea bwana.....yaani vikishindwa hoja vinaattack personelly.......

Tunawapa changamoto mujifunze uvumilivu,sio timu ikiwa katika mpito mnakimbiamunahamia timu nyingine,kama rafiki yangu @southernhighland
Sijawah kuhama timu et sababu ya matokeo mabovu ,timu zangu since naanz kuangalia mpira ni Chelsea ,inter millan na real Madrid
 
Wakumbusheni loos pool tupo hapa
Screenshot_20191010-142347~2.jpeg
 
Yaani kwanini mnapenda kujidharaulisha?

Unaposema HAKUNA SHABIKI WA LIVER AU ARSENAL ALIYEANZA KUSHABIKIA TIMU YAKE MIAKA YA 90 - 2000 una maana gani????

Binafsi kombe la dunia la 1998 liliofanyika Ufaransa mimi nilikuwa shabiki mkubwa wa Arsenal na timu ya taifa ya France kutokana na uwepo wa Patrick Vieira,Emma Petit na Nico Anelka ,nahisi kipindi hiko wewe hujazaliwa na hata kama ulikuwepo basi hujui lolote kuhusu soka......maana hata nikikuuliza Frank Lebouf,Marcel Desaily,Didier Deschamps walikuwa wachezaji wa timu gani kipindi hiko basi kitu cha kwanza kufanya utakimbilia google then urudi hapa ndio uanze kubwabwaja kama ulikuwepo.......

USILAZIMISHE TUFANANE MKUU,WENGINE NI BABU ZAKO.

1998 hadi leo ni miaka 21

Umeachieve nin na ubabu wako?

Champion league 0
Europa league 0
Epl 2
Fa cup ?
Kombe la ligi/ Karabao kwa sasa?


Chelse since 1998 hadi leo.

Champion league 1
Europa league 2

Epl 5

FA Cup 8
Karabao 5

Kati ya babu na kijana nani anamafanikio kwenye soka?

Kuna mengine sijataja mkuu
 
Akiondoka Giroud January, Batshuayi asiuzwe hata kwa dau kubwa, C rystal Palace wapotelee kule
 
Sijawah kuhama timu et sababu ya matokeo mabovu ,timu zangu since naanz kuangalia mpira ni Chelsea ,inter millan na real Madrid
Huwa kikawaida unakuwa shabiki wa timu moja, zinazoongezeka unakuwa ni admirer tu!
Ebu tuambie sasa uko kwetu Chelsea, Inter au RM?
 
Jose Mourinho akataa ofa ya Lyon kwa sababu ya Spurs au Arsenal. Man U nao wanamtaka arudi kuokoa jahazi!
 
N'Golo Kante = Euro 120M + Isco or Alvaro Odriozola

Real Madrid believe that an offer of €120M plus the services of either Isco or Alvaro Odriozola will be enough to convince Chelsea into selling them N’Golo Kante.
Hapo sisi hatukutoa ya kwetu
N'Golo Kante = Euro 200M + Isco or Alvaro Odriozola
 
1998 hadi leo ni miaka 21

Umeachieve nin na ubabu wako?

Champion league 0
Europa league 0
Epl 2
Fa cup ?
Kombe la ligi/ Karabao kwa sasa?


Chelse since 1998 hadi leo.

Champion league 1
Europa league 2

Epl 5

FA Cup 8
Karabao 5

Kati ya babu na kijana nani anamafanikio kwenye soka?

Kuna mengine sijataja mkuu

Una bichwa gumu mkuu, uliwakomesha sana walimu darasani kukuelewesha .....
Ila tutaenda taratibu haya kamata daftari na penseli....

Hivi kwanini nyinyi washabiki wa chelsea likija suala la mafanikio au ukubwa wa klabu mpo tayari hata kupiga mtu kisu ili muonekane na nyinyi mumo.....

Mpo tayari kujitengenezea visababu na virekodi uchwara ili mujipenyeze
Eti kwa miaka kumi ooooh toka 98.....

Sasa na mimi nikikwambia Leicester city ni timu yenye mafanikio kuliko manchester nitakuwa sawa?kwa kuangalia tu ndani ya wiki mbili hizi leicester wapo juu ya united kimsimamo.......

Ukiambiwa suala la mafanikio,ukubwa lete kiujumla wake,kusanya vikombe vyako vyote kabatini lete hapa tujue nani yupo juu.......
 
Una bichwa gumu mkuu, uliwakomesha sana walimu darasani kukuelewesha .....
Ila tutaenda taratibu haya kamata daftari na penseli....

Hivi kwanini nyinyi washabiki wa chelsea likija suala la mafanikio au ukubwa wa klabu mpo tayari hata kupiga mtu kisu ili muonekane na nyinyi mumo.....

Mpo tayari kujitengenezea visababu na virekodi uchwara ili mujipenyeze
Eti kwa miaka kumi ooooh toka 98.....

Sasa na mimi nikikwambia Leicester city ni timu yenye mafanikio kuliko manchester nitakuwa sawa?kwa kuangalia tu ndani ya wiki mbili hizi leicester wapo juu ya united kimsimamo.......

Ukiambiwa suala la mafanikio,ukubwa lete kiujumla wake,kusanya vikombe vyako vyote kabatini lete hapa tujue nani yupo juu.......
Umeulizwa swali dogo kuwa kwa miaka 20 una mataji mangapi unaanza propaganda aisee acha sisim ishinde kila chaguzi mana duuu
 
Umeulizwa swali dogo kuwa kwa miaka 20 una mataji mangapi unaanza propaganda aisee acha sisim ishinde kila chaguzi mana duuu
Sasa kwanini uchague miaka ya kujishindanisha?kwani hiyo miaka iliyopita huko nyuma ilikuwa ni timu nyingine au hiyohiyo????au miaka 20 iliyopita chelsea ilikuwa gwambina?????

Acheni kutafuta vichaka vya kujifichia ,hako katimu kenu ni kadogo kucompare na united,liver na Arsenal
 
Sasa kwanini uchague miaka ya kujishindanisha?kwani hiyo miaka iliyopita huko nyuma ilikuwa ni timu nyingine au hiyohiyo????au miaka 20 iliyopita chelsea ilikuwa gwambina?????

Acheni kutafuta vichaka vya kujifichia ,hako katimu kenu ni kadogo kucompare na united,liver na Arsenal
In short nikwamba Asernal nyinyi niwake zetu,au niongeze sauti!.
 
Yaani kwanini mnapenda kujidharaulisha?

Unaposema HAKUNA SHABIKI WA LIVER AU ARSENAL ALIYEANZA KUSHABIKIA TIMU YAKE MIAKA YA 90 - 2000 una maana gani????

Binafsi kombe la dunia la 1998 liliofanyika Ufaransa mimi nilikuwa shabiki mkubwa wa Arsenal na timu ya taifa ya France kutokana na uwepo wa Patrick Vieira,Emma Petit na Nico Anelka ,nahisi kipindi hiko wewe hujazaliwa na hata kama ulikuwepo basi hujui lolote kuhusu soka......maana hata nikikuuliza Frank Lebouf,Marcel Desaily,Didier Deschamps walikuwa wachezaji wa timu gani kipindi hiko basi kitu cha kwanza kufanya utakimbilia google then urudi hapa ndio uanze kubwabwaja kama ulikuwepo.......

USILAZIMISHE TUFANANE MKUU,WENGINE NI BABU ZAKO.
Kocha wa France 1998 anabeba kombe wengi tulikuwepo mkuu ..wakati huo arsenal ndo inaanza kujulikana bongo hii..

Chelsea kitambo tu toka 89 tulikuwa tunaijua..
 
N'Golo Kante = Euro 120M + Isco or Alvaro Odriozola

Real Madrid believe that an offer of €120M plus the services of either Isco or Alvaro Odriozola will be enough to convince Chelsea into selling them N’Golo Kante.
Hapo sisi hatukutoa ya kwetu
N'Golo Kante = Euro 200M + Isco or Alvaro Odriozola
Hatutaki izo takataka za kihispania ..Ngolo kante haendi popote..
 
Sasa kwanini uchague miaka ya kujishindanisha?kwani hiyo miaka iliyopita huko nyuma ilikuwa ni timu nyingine au hiyohiyo????au miaka 20 iliyopita chelsea ilikuwa gwambina?????

Acheni kutafuta vichaka vya kujifichia ,hako katimu kenu ni kadogo kucompare na united,liver na Arsenal
Huko nyuma ilikuwa ni Mickey Mouse Cup ambazo Liverpool na Arsenal mlizibeba sana. Makombe ya wanaume yalianza 1992 na hapo betri za timu zingine zikaisha charge
UEFA started in 1992
EPL started in 1992
 
Huko nyuma ilikuwa ni Mickey Mouse Cup ambazo Liverpool na Arsenal mlizibeba sana. Makombe ya wanaume yalianza 1992 na hapo betri za timu zingine zikaisha charge
UEFA started in 1992
EPL started in 1992

Bange mbaya sana mkuusasa hizo Mickey Mouse Cup chelsea mbona ilishindwa kuzibeba?????🤪🤪🤪🤪au haikuwepo?

Huwezi linganisha soka la kipindi kile na sasa,kipindi kile kulikuwa na ushindani wa kweli hasaaaa na soka safi la kiuanaume sio sasa hivi wapaka poda wamejaa na soka lilishaharibiwa na fwedhwaaaa....soka halina msisimko nowdays.......
Mtu anascore anashangilia weeeeeeeeeee..... then anakuja kuambiwa sio goli ananuna
 
Kocha wa France 1998 anabeba kombe wengi tulikuwepo mkuu ..wakati huo arsenal ndo inaanza kujulikana bongo hii..

Chelsea kitambo tu toka 89 tulikuwa tunaijua..

Naona umekurupuka usingizini mkuu.....kama kawaida yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom