Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

toka hiki kitimu kianzishwe kimekusanya makombe mangapi?hebu weka hapa tufanye comparison sio kubwabwaja tu,usijilinganishe na kina liverpool wakati wenzio ni timu kubwa ina makombe ya ligi kuu takribani 18 wewe una vitatu sijui vinne unakuja kupiga kelele hapa shubamitt wewe ni kina bolton wenderes huko ndio size yako
Ww unazungumzia maendeleo ya timu yaliyotokea zamani hata ww hujazaliwa pga mahesabu tangia umeanza kushabkia ka timu kako arsenal
una UEFA ngapi?
Umeshuhudia imebaba Epl ngapi?
Fa ngapi?
Sio tangia ushabikie arsenal ujawahi kubeba UEFA au supercup halaf bado unapga 2 kelele zako utafkr vyura
 
Livewrpool, Arsenal na Aston Villa ni vilabu vya historia, sisi Chelsea ni timu ya sasa hivi, we do not belong to the past
Eb wambie liver man u na arsenal zimeanzshw tangia 1800s halafu bado mnataka muilnganshe na chelsea ya 1905
 
Naomba uende mbali Zaidi na utuelezee hayo makombe yalipatikana kwa muda gani? halafu pia utupe trophy per season, ukishindwa hayo mahesabu nyamaza milele usituletee historia hapa
Chelsea imeanza tu 2005, 14 years na ina makombe 21 je ingeanza 1900 ingekuwa na makombe mangap

Aissseeeeeeeehhh yaani hata history ya timu yako huijui imezaliwa lini!!!!!huu ni msiba kwakweli ,
 
Imeanza au ndo ilipata nguvu?? embu acha uongo kwamb chelsea ilianzishwa mwaka2005???? Na kama ndo hivyo embu nisaidie haya maswali
1. nyuma ya 2005 timu ilikuwa wp??
2. Washabik wake tanzania mlikuwa wap??au ndo mlikuwa washabik wa newcastle au mlikuwa hamjui hata maan ya EPL Kbs?? Maan nakumbuka huyo mrusi alinunuaga mpk washabiki wakat kaichukua hiyo timu.

Hawa viumbe ni wa kuwasamehe bure mkuu hawaijui hata kitimu chao kimeanza lini
 
Imeanza au ndo ilipata nguvu?? embu acha uongo kwamb chelsea ilianzishwa mwaka2005???? Na kama ndo hivyo embu nisaidie haya maswali
1. nyuma ya 2005 timu ilikuwa wp??
2. Washabik wake tanzania mlikuwa wap??au ndo mlikuwa washabik wa newcastle au mlikuwa hamjui hata maan ya EPL Kbs?? Maan nakumbuka huyo mrusi alinunuaga mpk washabiki wakat kaichukua hiyo timu.
Sasa kwa nini huwa mnasema timu iliyoanzishwa 2005 basi kuweni na kauli moja tuelewe hoja ziko wapi.
 
Wakati meingine tunachobishania naona ni utoto hawa jamaa siyo kwamba hawaelewi ukubwa wetu wanaelewa vizuri ila kinacho watisha ni kasi ya mafanikio ndio kina chowauma zaidi ndio maana wanapaza misuli kutaka kutu challenge lakini uhalisia ni kwamba Chelsea siyo ya kitoto kama wanavyoisema.
 
Naona wamenyamaza yan timu imeanzshw tangia 1800s na haijawah kubeba uefa inazdiwa na akn astonvl na northiam forest za england
Kwan chelsea kwa aston villa unaizid idadi ya UEFA embu tuanzia hapa mkuu na nazungumzia UEFA sio EUROPA?
 
Imeanza au ndo ilipata nguvu?? embu acha uongo kwamb chelsea ilianzishwa mwaka2005???? Na kama ndo hivyo embu nisaidie haya maswali
1. nyuma ya 2005 timu ilikuwa wp??
2. Washabik wake tanzania mlikuwa wap??au ndo mlikuwa washabik wa newcastle au mlikuwa hamjui hata maan ya EPL Kbs?? Maan nakumbuka huyo mrusi alinunuaga mpk washabiki wakat kaichukua hiyo timu.
Sasa kwa nini huwa mnasema timu iliyoanzishwa 2005 basi kuweni na kauli moja tuelewe hoja ziko wapi.
Mbona hamjibu hoja sasa mkuu ??? Hujaona hayo maswal hapo maan majibu yenu yapo hapo mkuu kwenye hayo maswal kama utayajibu na ndipo utajua kua chelsea ni katimu pale ENGLAND na sio mnavyoipaisha
 
Kwan chelsea kwa aston villa unaizid idadi ya UEFA embu tuanzia hapa mkuu na nazungumzia UEFA sio EUROPA?
Mm cjaizid astonvl nko naye sawa kwa UEFA.na kuulza huyo mwnzng arsenal kwan ameizd chelsea kombe la UEFA au EUROPA?nataka majb haraka sana
 
Naona wamenyamaza yan timu imeanzshw tangia 1800s na haijawah kubeba uefa inazdiwa na akn astonvl na northiam forest za england
Ww N.FORREST kakuzid idad ya UEFA so unataka kusema nini kutokana na hyo comment yako?
 
Ww N.FORREST kakuzid idad ya UEFA so unataka kusema nini kutokana na hyo comment yako?
Mbn sasa umeshaama kutoka arsenal hadi n.forest hoja yangu nlkuw nazunguzmia arsenal amezdiwa na hakn n.forest na astonvl kwa uefa.ukaamia kwa astvl dhd ya chelsea nkakujb sasa naon umeamua kuamia tena kwa n.forest ntakujb vlvl ila ni jb kwnz kuhusian na arsenal dhd ya chelsea nan amemdhd mwnzak kombe la uefa na europa?
 
Mm cjaizid astonvl nko naye sawa kwa UEFA.na kuulza huyo mwnzng arsenal kwan ameizd chelsea kombe la UEFA au EUROPA?nataka majb haraka sana
Mbn unaruka swal lng n jb bx mashabk wa arsenal mmelal au
 
Etty kwan arsenal ana makombe ya uefa na europa mangapi kwa maana kla mwaka anashrk ila cjawah kumwona akibeba ndoo
 
Wakuu habari za Neymar zipuuzwe hawa The sun wanafanya biashara tu. Hatutaki watu wa kuja kuspoil vijana wetu.
NEYMAR aje Chelsea??? yaani Hazard anaikimbia timu ndogo leo Neymar Jr ndio aje hapo ???[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]

Nlijua vituko vimeisha duniani kumbe bado vipo.Haahaaha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom