Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hiki ni nje ya kikosi kilicho anza jana. Tufanye uchambuzi wadau hiki kikosi hakiwezi kuleta changamoto kwenye mashindano tunayoshiriki? Kiukweli uwezo tunao, nguvu tunazo kilicho baki ni NIA tu kwa wachezaji.
IMG_20191007_081828.jpeg
 
Hiki ni nje ya kikosi kilicho anza jana. Tufanye uchambuzi wadau hiki kikosi hakiwezi kuleta changamoto kwenye mashindano tunayoshiriki? Kiukweli uwezo tunao, nguvu tunazo kilicho baki ni NIA tu kwa wachezaji.View attachment 1225551
Yaani hatujasajili lakini tuna team ya kushindana hiki kikosi si kinaingia kwenye first eleven ya man u na arsenal kabisa.
 
Acha utoto, sema upo na Europa type wenzako. Tuanchane winners tuchuane
Weka msimamo ndio utajua mimi na wewe nani analeta utoto,

Tunazungumzia big4 wewe unaleta habari za Europa ,au kwakuwa wewe haumo?

Kama hujui basi msimamo wa big4 upo hivi....

1.LIVERPOOL

2.MANCHESTER CITY

3.ARSENAL

4...... ...


sasa usitoe povu kwa aliye juu yako litakurudia mwenyewe..
 
Lampard ameibadilisha sana
Tuache utani jamaa anajua sana tena sana hebu kama inawezekana tuwape yule muhindi Unai + AMN +Mikhi ili mtupe SUPER FRANK....

Maana kule derby alipiga kazi nikajua kabahatisha ila hapa chelsea anaangushwa na kikosi tu ila akija pale kiumeni tutanyanyua kwapa mpaka tuchoke...
 
EPL ana magoli mangapi? Usije ukawa unaleta magoli aliyofunga kwenye makombe ya mbuzi wakati kuna mtu amefunga goli CL ya wababe, alafu ndo anaongoza ufungaji magoli EPL. Aubameyang anastrugle kufikisha magoli ya Abraham. Sijui wewe utajifunza lini kuandika logic, maana unaandika mambo ambayo ni MTU asiye na ufahamu anaweza kuyaandika.
Acha kuandika pumba mzee,jibu hoja kwa hoja kombe la mbuzi ndio lipi?
 
Mambo matatu yaliyoisaidia Chelsea kuwa bora
  1. Kuondoka kwa Hazard
  2. Ban ya FIFA
  3. Ujio wa Supper Fank
Hilo la 3 sawa kabisa ila hayo mawili hapo juu hapana mzee,usitudanganye labda ulete ufafanuzi imewasadiaje
 
Naanza kupata mashaka na uelewa wako wa mpira. Unapata ushindi kwa shida hapo nyumbani halafu unakuja huku kupiga umbea? Labda nikwambie kitu. Unaposhughulikia shida zako lazima uzipe priority ya utaanza na ipi utamaliza na ipi huwezi fanya vyote kwa pamoja utakaranganya. Sasa Chelsea shida ilikua kwenye kupata ushindi na ndicho kinacho hangaikiwa sasa ivi. Muhimu point 3 kwanza hayo yatakuja shughulikiwa baadae.
Ushindi wa shida ndio ushindi gani?kwahiyo ukipata ushindi wa shida nyumbani unapewa point ngapi?
Kwahiyo jana newcastle nao wamepata ushindi wa shida....hahahaaaaa

Soka limepata msamiati mpya...

USHINDI WA SHIDA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom