DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Kama hujui ulikaa miongo mi5 nusu karne huko machokoroni kusikojulikana na hiyo ndio nafasi yako halisi...suala la muda tuHivi wewe akili zako zikoje? Yan timu inashinda halafu unasema tutagombea nafasi na Man Utd? Ni swala la muda tu mafuta yataanza kujitenga na maji.
Hiyo siyo nafasi yako Arsenal tushikie wanaume kama mimi nilivyowashikia hizi nafasi zenu