The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,613
Adama Traore ni mshenzi sana
Value yake leo ime double sokoni
Adama Traore ni mshenzi sana
hahahha kwa sababu ya kuifunga timu dhaifu ambayo ilicheza na spurz ambayo ipo mahututi na ikashindwa kupata hata sare licha ya kwamba walikuwa pungufu....hahahahahahahaUyo arsenal tunamwesabia mechi..
wolves ni dhaifu Kweli walifungwa 5-2 na Chelsea, wakamfunga Man city 2-0 Kweli wolves ni dhaifu,wanalingana na Soton ambao wamefungwa 4-1 na Chelsea lakini walifungwa na Liverpool 2-1.😀😀😀😀😀bado naona maajabu. Asante Chelsea kwa ushindi mnonohahahha kwa sababu ya kuifunga timu dhaifu ambayo ilicheza na spurz ambayo ipo mahututi na ikashindwa kupata hata sare licha ya kwamba walikuwa pungufu....hahahahahahaha
wewe tunakuhesabia mechi tu,
subiri kidogo mkuu nina kikao na big4 wenzangu,nitarudiwolves ni dhaifu Kweli walifungwa 5-2 na Chelsea, wakamfunga Man city 2-0 Kweli wolves ni dhaifu,wanalingana na Soton ambao wamefungwa 4-1 na Chelsea lakini walifungwa na Liverpool 2-1.😀😀😀😀😀bado naona maajabu. Asante Chelsea kwa ushindi mnono
Mbona umeitelekeza timu yako rudi hapa utupe matokeokila lililo la kheri chama langu la utotoni SOUTHAMPTON
Rangi nyekundu daima ni rangi ya ushindi maana matimu yote makubwamakubwa yanatumia rangi hii.......
hahahha kwa sababu ya kuifunga timu dhaifu ambayo ilicheza na spurz ambayo ipo mahututi na ikashindwa kupata hata sare licha ya kwamba walikuwa pungufu....hahahahahahaha
wewe tunakuhesabia mechi tu,
subiri kidogo mkuu nina kikao na big4 wenzangu,nitarudi
mind the gap
Lampard ameibadilisha sanaYah joginho siju hizi anachezesha timu kwenda mbele zile back pass ameacha.
Silile jamaa LA arsenal lina kela Sana alijui mpira nahumu simuoni Kama wikiKuna Zumbukuku mmoja wa Arsenal alikuwa anasema Chelsea inashuka daraja, apeleke hayo maneno yake kule Man u.
Hata Giroud ni mzuri kuliko Aubameyang kwani yeye kacheza World cup wakati Aubameyang timu yake ilishindwa hata kufuzu AFCON.Ujuba unakusumbua Willian kacheza World Cup ,sio copa amerca tu, hiyo inatosha kukuonyesha ni mwamba kuliko wachezaji wako wote hapo ,ruka ruka tu tutaenda Sawa
Umeongea au umelewa ww kama hujui tangu lallana kaja LFC kacheza namba nying nazo ni 6,7,8,10,11 acha kukarii mamipira ya zaman ambayo hata rotation kulikuwa hakunaLallana anacheza nafas gani Liverpool? Maana inaonekana hujui hata unachoongea