OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Hahahahaha zumbukukuKuna Zumbukuku mmoja wa Arsenal alikuwa anasema Chelsea inashuka daraja, apeleke hayo maneno yake kule Man u.




Hahahahaha zumbukukuKuna Zumbukuku mmoja wa Arsenal alikuwa anasema Chelsea inashuka daraja, apeleke hayo maneno yake kule Man u.




Ushnd wa chelsea unakuchanganya ndo maan unaongea pumbaCheltako ni wendawazimu kwel kwel
Yan hyo big4 umeikamata kwa muda unatutambia wakt ww mchawi wako ni mwez wa 12 na hv umeshasahau kama upo ck ya alhams.subiri kidogo mkuu nina kikao na big4 wenzangu,nitarudi
mind the gap
DANIEL JAMES..MASON GREENWOOD..MARCUS RASHIDI..LINGARD JESSE..ABRAHAM MDIGO..PULISIC..MNAMENGI YA KUJIFUNZA HAPAView attachment 1225381
Kuna timu inaitwa Aubameyang? Maana world cup timu ndo zinashirikiHata Giroud ni mzuri kuliko Aubameyang kwani yeye kacheza World cup wakati Aubameyang timu yake ilishindwa hata kufuzu AFCON.
EPL ana magoli mangapi? Usije ukawa unaleta magoli aliyofunga kwenye makombe ya mbuzi wakati kuna mtu amefunga goli CL ya wababe, alafu ndo anaongoza ufungaji magoli EPL. Aubameyang anastrugle kufikisha magoli ya Abraham. Sijui wewe utajifunza lini kuandika logic, maana unaandika mambo ambayo ni MTU asiye na ufahamu anaweza kuyaandika.DANIEL JAMES..MASON GREENWOOD..MARCUS RASHIDI..LINGARD JESSE..ABRAHAM MDIGO..PULISIC..MNAMENGI YA KUJIFUNZA HAPAView attachment 1225381
Man we are too old for this. Ukijibiwa inavyotakiwa mtaanza kusema sisi watoto wa juzi tunatukana wakubwa.Cheltako ni wendawazimu kwel kwel
Naanza kupata mashaka na uelewa wako wa mpira. Unapata ushindi kwa shida hapo nyumbani halafu unakuja huku kupiga umbea? Labda nikwambie kitu. Unaposhughulikia shida zako lazima uzipe priority ya utaanza na ipi utamaliza na ipi huwezi fanya vyote kwa pamoja utakaranganya. Sasa Chelsea shida ilikua kwenye kupata ushindi na ndicho kinacho hangaikiwa sasa ivi. Muhimu point 3 kwanza hayo yatakuja shughulikiwa baadae.Nyie ni swala la muda mtaungana na mwenzenu man u
Ratiba ime wa favour siku kadhaa tayari mnadanganyana mna timu
Baada ya mechi 5 mtakuwa nafas ya 10 mkigombea na man u
HIVI KEPA KAPATA CLEAN SHEET KWELI LEO?View attachment 1225378
Hivi wewe akili zako zikoje? Yan timu inashinda halafu unasema tutagombea nafasi na Man Utd? Ni swala la muda tu mafuta yataanza kujitenga na maji.In Spanish: Kepa Arrizabalaga
In Swahili: Kepa Aliyezubaaga
In Kizaramo: Huyu Kepa Tumepigwa
NASIKIA LEO KAPATA CLEAN SHEET
NI SWALA LA MUDA MTAGOMBEA NAFAS ZA 10-15 NA MAN U
View attachment 1225379
Hawa jamaa ndio wanaoongoza kwa kuandika pumba JF. Gunners fan boys jifunzeni kuandika pointsEPL ana magoli mangapi? Usije ukawa unaleta magoli aliyofunga kwenye makombe ya mbuzi wakati kuna mtu amefunga goli CL ya wababe, alafu ndo anaongoza ufungaji magoli EPL. Aubameyang anastrugle kufikisha magoli ya Abraham. Sijui wewe utajifunza lini kuandika logic, maana unaandika mambo ambayo ni MTU asiye na ufahamu anaweza kuyaandika.
Fresh tu mbonaMan we are too old for this. Ukijibiwa inavyotakiwa mtaanza kusema sisi watoto wa juzi tunatukana wakubwa.
Naanza kuamini yule jamaa alosema Liver fan wengi ni wazee walevi walevi ila wewe ni kijana mlevi. Reflection appears
Huo ni ushabiki maandazi. Aliyekwambia kuwa shabiki wa kweli ni lazima uwe mwendawazimu ni nani?Fresh tu mbona
Kama hujui maana ya ushabik lzm ulie lie mtoto wa kiume ,nyiny ndio wale mmafukuza watu kwenye nyuzi sababu hujui maan ya ushabiki