Wafungaji?
Wafungaji?
Wafungaji?
Next Game lazima tutaingia top fourIngependeza arsenal adroo ili tuingie top four
Akiwemo uwanjani Zouma ni ngumu kupata cleansheetClean sheet imekuwa ngumu kuipata
Huu bado ndo msimamo wangu mpaka leo. Niliutoa July tar 5Haya ndo mambo nilikuwa nasema, Lamps is a person of highy standards mwaka huu tuna compete. Anayekataa akatae
Uyo arsenal tunamwesabia mechi..Ingependeza arsenal adroo ili tuingie top four
Adama Traore ni mshenzi sanaNafasi ya 5View attachment 1225150
maajabu unataja wachezaji ambao hata kuitwa team ya taifa Ndoto, Tomori kaitwa national team kwa mechi nne tu huyo holding yupo yupo tu ni wa nchi ipi Kwanini asiitwe? , kepa anadaka Spain ulishasikia Leno akidaka German, azpiculeta anacheza Spain huyo Hector ni wa nchi gani? ,Barkley na ujinga wake anatamba England ya SouthgateChelsea kwa makelele bhanaView attachment 1223321