Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ukweli mchungu, uongo mtamu, huu ujumbe watau SKIP sana tu!
Kuna ukweli gani aliondika hapo?

Mtu asiyejua ceballos anacheza spain ni wakubishana nae?

Mtu asiyejua ROB na HECTOR wamekaa injury mwaka mzima bado anataka waitwe National team, anajua mpira kweli huyo?

Giroud ni mchezaji wa kumsifia mbele ya straika za Arsenal eti kisa anaitwa National team, hata kwa Martinelli hafiki.

Amemuongelea Willian, Ni nani asiyejua Copa America aliitwa baada ya injury ya Neymar??
 
Chelsea kwa makelele bhanaView attachment 1223321
maajabu unataja wachezaji ambao hata kuitwa team ya taifa Ndoto, Tomori kaitwa national team kwa mechi nne tu huyo holding yupo yupo tu ni wa nchi ipi Kwanini asiitwe? , kepa anadaka Spain ulishasikia Leno akidaka German, azpiculeta anacheza Spain huyo Hector ni wa nchi gani? ,Barkley na ujinga wake anatamba England ya Southgate
huyo ceballos umemuona akitamba Spain? Vipi William? Lazima umkute Brazil, sijamtaja Emerson, Jorgihno, Kante, Rudiga ,Giroud first eleven mataifa yao, Kuna wachezaji na vichezaji,usifananishe wachezaji wa Chelsea na vichezaji vya Arsenal,[/QUOTE]acha kuongea pumba mkuu unajidharaulisha tu,hivi Ceballos haitwi NT?Leno haitwi NT?Belle amekuwa injury for long time ndio maana?Alafu pia sio kila anayeitwa timu ya taifa ni bora kuliko wale ambao hawaitwi kijana?wewe wa wapi hebu amka basi maana umelala usingizi wa pono, kuna factors zinazopelekea wachezaji wazuri kutokuitwa timu ya Taifa

1.Majeruhi
2.Mipango ya kocha
3.Chuki zinazotokana na migogoro
4.Utovu wa nidhamu
5......wengine wataongezea

Holding ukimfananisha na hiyo takataka Tanuri unamkosea heshima ndugu yangu.....wewe hujui kuwa jamaa alikuwa injury msimu mzima ?au

ukitaka kumsifia mtu msifie kwa fact sio ujanja ujanja tu,unaleta hoja za ajabuajabu eti kuitwa NT ...!!!!!hahahaha Giroud ni bora kuliko Benzema?au Kourt Zouma ni bora kuliko Laporte?vipi Leroy Sane nae ni mbovu?Mauro Icardi ni mbovu? maana na wao haitwagi timu ya taifa na wanakuwaga fiti kabisa hawana injuries wala nini,

Lete takwimu acha ujanja ujanja na kuoverrate watu kiajabuajabu...huyo Tomori kakifanya nini ?weka stats hapa....tufanye comparison,
 
maajabu unataja wachezaji ambao hata kuitwa team ya taifa Ndoto, Tomori kaitwa national team kwa mechi nne tu huyo holding yupo yupo tu ni wa nchi ipi Kwanini asiitwe? , kepa anadaka Spain ulishasikia Leno akidaka German, azpiculeta anacheza Spain huyo Hector ni wa nchi gani? ,Barkley na ujinga wake anatamba England ya Southgate
huyo ceballos umemuona akitamba Spain? Vipi William? Lazima umkute Brazil, sijamtaja Emerson, Jorgihno, Kante, Rudiga ,Giroud first eleven mataifa yao, Kuna wachezaji na vichezaji,usifananishe wachezaji wa Chelsea na vichezaji vya Arsenal,
Wewe mpira hujui kitu kabisa, nisamehe mkuu kwa kusema hadharani.

Afu kwa hii comment unaonekana in football unafatilia habari za chelsea tu,Kwa hiyo huwezi kujua chochote kinachoendelea kwenye timu zingine.[/QUOTE]hamna kitu huyo,pia lazma uangalie kepa kaitwa NT sawa lakini anacompet na nan?hivi kuna Neur,Andre ter stegn ,Leno hahaha Kepa hapo hata kupewa nafasi ya kuokota mipira hapati....
cz ukiweka stats za hilo pazia lao na Leno tu utachambua mwenyewe upi pumba upi mchele.....

analeta hoja za kitoto.....
 
Kuna ukweli gani aliondika hapo?

Mtu asiyejua ceballos anacheza spain ni wakubishana nae?

Mtu asiyejua ROB na HECTOR wamekaa injury mwaka mzima bado anataka waitwe National team, anajua mpira kweli huyo?

Giroud ni mchezaji wa kumsifia mbele ya straika za Arsenal eti kisa anaitwa National team, hata kwa Martinelli hafiki.

Amemuongelea Willian, Ni nani asiyejua Copa America aliitwa baada ya injury ya Neymar??
babu nimeamini kweli jamaa inatakiwa awe anafatilia soka na sio kujifungia ndani na chelsea yake,mwisho anakuja kupata aibu humu....eti Ceballos haitwi aiseeeeh
 
Kajibu pumba mkuu. Achana naye huyo
katika watu ambao munaongoza kuongea pumba ni nyinyi hapa na mara nyingi tunawajibu kama munavyopenda ili siku ziende ....maana tukiwakaushia mutaona ni dharau hivi mtu timamu kabisa unafananisha Tomori na Holding.......Azpi huyu wa sasa na Hector....Emerson na KT???????Huu ni uwendawazimu aiseeeeehhhh
 
Huko mwanzoni kabisa nilisema Norwich ni moja ya timu weak EPL King Ngwaba akanibishia. Baada ya kuwafunga Man City Norwich ni dozi tu anapokea Nyumbani na ugenini. Wana defense mbovu hata kupata Arsenal
 
na ndio maana wewe unamsifia leo hii kwakuwa yupo hapa Chelsea,maana hata Luiz pia ulikuwa mnamsifia ila alivyokuja Arsenal amekuwa sio mchezaji tena hahahahahh,huyu PEPE mnaomponda leo angekuwa amesinya hapo kwenu leo hii mngekuwa mnacreate hoja kibao za kumdefend
Pepe ni bonge la mchezaji ila kucheza arsenal ni kama kupoteza muda tu ..hakuna kitu atavuna apo, angalau Auba anapata pata ata golden boot ..sasa uyo Pepe atajuta kuenda kweny hii genge ya wala ugoro..arsenal ni kikundi cha akina mama waliokosa kazi ..na kazi yao kubwa ni kukodishwa ili walie kwenye misiba ..ndio maan mnalia lia Kila Siku..kwanza ile pesa ya Pepe mumemaliza kulipa
 
Baadhi ya vigezo vinavyotumika kumchagua Team Captain

1. Mentally Strong
2. Excellent Communicator
3. Emotionaly Disciplined
4. Know the Players
5. Self Confident
6. Influence.

Kwa Ngolo Kante sio mzuri kwenye kuongea, full aibu. Mchezaji mwenzake anaweza kuchezewa Rafu mbaya badala ya kukemea na kuhitaji refa afanye maamuzi ngolo hataweza aisee atamuachia Mungu
atamuachia Mungu
 
Chelsea kwa makelele bhanaView attachment 1223321
maajabu unataja wachezaji ambao hata kuitwa team ya taifa Ndoto, Tomori kaitwa national team kwa mechi nne tu huyo holding yupo yupo tu ni wa nchi ipi Kwanini asiitwe? , kepa anadaka Spain ulishasikia Leno akidaka German, azpiculeta anacheza Spain huyo Hector ni wa nchi gani? ,Barkley na ujinga wake anatamba England ya Southgate
huyo ceballos umemuona akitamba Spain? Vipi William? Lazima umkute Brazil, sijamtaja Emerson, Jorgihno, Kante, Rudiga ,Giroud first eleven mataifa yao, Kuna wachezaji na vichezaji,usifananishe wachezaji wa Chelsea na vichezaji vya Arsenal,[/QUOTE]Hahaha Geroud ambaye yupo bench kwa sasa anamkata namba apo France Laccazete ambaye ni first praioriti ya arsenal hahahaha
 
na ndio maana wewe unamsifia leo hii kwakuwa yupo hapa Chelsea,maana hata Luiz pia ulikuwa mnamsifia ila alivyokuja Arsenal amekuwa sio mchezaji tena hahahahahh,huyu PEPE mnaomponda leo angekuwa amesinya hapo kwenu leo hii mngekuwa mnacreate hoja kibao za kumdefend
Luiz aliflop tangu akiwa Chelsea na tulishaanza kumkosoa hata kabla hajahama, pekua threads za nyuma na uache kutapatapa ovyo. Mimi nilikuwa mashabiki mkubwa wa Luiz lakini nilianza kumkosoa Tangu enzi za Conte hadi majuzi alipozidisha kuruhusu mabao kwenye preseason.
 
Huko mwanzoni kabisa nilisema Norwich ni moja ya timu weak EPL King Ngwaba akanibishia. Baada ya kuwafunga Man City Norwich ni dozi tu anapokea Nyumbani na ugenini. Wana defense mbovu hata kupata Arsenal
Kwanini usiseme kuwa wana defence mbovu kuliko Chelsea????
 
Pepe ni bonge la mchezaji ila kucheza arsenal ni kama kupoteza muda tu ..hakuna kitu atavuna apo, angalau Auba anapata pata ata golden boot ..sasa uyo Pepe atajuta kuenda kweny hii genge ya wala ugoro..arsenal ni kikundi cha akina mama waliokosa kazi ..na kazi yao kubwa ni kukodishwa ili walie kwenye misiba ..ndio maan mnalia lia Kila Siku..kwanza ile pesa ya Pepe mumemaliza kulipa
Aiseeehhh kweli nimeamini kuhusu zile tetesi zinazowahusu mashabiki wa kitimu hiki.....maana niliona kama uonevu
 
Chelsea kwa makelele bhanaView attachment 1223321
maajabu unataja wachezaji ambao hata kuitwa team ya taifa Ndoto, Tomori kaitwa national team kwa mechi nne tu huyo holding yupo yupo tu ni wa nchi ipi Kwanini asiitwe? , kepa anadaka Spain ulishasikia Leno akidaka German, azpiculeta anacheza Spain huyo Hector ni wa nchi gani? ,Barkley na ujinga wake anatamba England ya Southgate
huyo ceballos umemuona akitamba Spain? Vipi William? Lazima umkute Brazil, sijamtaja Emerson, Jorgihno, Kante, Rudiga ,Giroud first eleven mataifa yao, Kuna wachezaji na vichezaji,usifananishe wachezaji wa Chelsea na vichezaji vya Arsenal,[/QUOTE]Mimi ukiniletea ujanjaujanja nakuletea takwimu alafu hapo sema wewe yupi kipa na yupi pazia.....
Screenshot_2019-10-02-07-54-02.jpeg
Screenshot_2019-10-02-07-54-26.jpeg
Screenshot_2019-10-02-07-54-45.jpeg
 
maajabu unataja wachezaji ambao hata kuitwa team ya taifa Ndoto, Tomori kaitwa national team kwa mechi nne tu huyo holding yupo yupo tu ni wa nchi ipi Kwanini asiitwe? , kepa anadaka Spain ulishasikia Leno akidaka German, azpiculeta anacheza Spain huyo Hector ni wa nchi gani? ,Barkley na ujinga wake anatamba England ya Southgate
huyo ceballos umemuona akitamba Spain? Vipi William? Lazima umkute Brazil, sijamtaja Emerson, Jorgihno, Kante, Rudiga ,Giroud first eleven mataifa yao, Kuna wachezaji na vichezaji,usifananishe wachezaji wa Chelsea na vichezaji vya Arsenal,-------------------Mimi ukiniletea ujanjaujanja nakuletea takwimu alafu hapo sema wewe yupi kipa na yupi pazia.....View attachment 1224609View attachment 1224610View attachment 1224611
Tafadhali usiache kutupa hizi updates mpaka mwisho wa msimu maana itatufaa sana
 
Kuna ukweli gani aliondika hapo?

Mtu asiyejua ceballos anacheza spain ni wakubishana nae?

Mtu asiyejua ROB na HECTOR wamekaa injury mwaka mzima bado anataka waitwe National team, anajua mpira kweli huyo?

Giroud ni mchezaji wa kumsifia mbele ya straika za Arsenal eti kisa anaitwa National team, hata kwa Martinelli hafiki.

Amemuongelea Willian, Ni nani asiyejua Copa America aliitwa baada ya injury ya Neymar??
Ujuba unakusumbua Willian kacheza World Cup ,sio copa amerca tu, hiyo inatosha kukuonyesha ni mwamba kuliko wachezaji wako wote hapo ,ruka ruka tu tutaenda Sawa
 
He kumbe wewe ni mtabiri,,unatabiri wachezaji wako watakuwa hatari kuliko wa arsenal ifikapo mwisho wa msimu????hebu tulia mtaa wa MARIJAN RAJAB(7) huko maana huko ndio kunawafaa.....
Ungekuwa na wachezaji wazuri kupita Arsenal wangekuhamisha kwanza huo mtaa,maana sio mzuri kabisa una kero nyingi sana...
ndotondoto za ajabu haziishi mulalapoooooooooooooooooooooo

Yale maneno ya Aaron yanakwenda kutimia,nyinyi msimu huu nafasi zenu za kumikumi huko
Tafadhali usiache kutupa hizi updates mpaka mwisho wa msimu maana itatufaa sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom