Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ujuba unakusumbua Willian kacheza World Cup ,sio copa amerca tu, hiyo inatosha kukuonyesha ni mwamba kuliko wachezaji wako wote hapo ,ruka ruka tu tutaenda Sawa
Wewe hujielewi, kwahiyo mara paaaaahhhh Tanzania imeingia WC hivyo Mkude atakuwa bora kuliko Joginho,Manula atakuwa zaidi ya Kepa,na huyo Tomori wako atasubiri sana kwa Yondani,
Kwahiyo wachezaji ambao hawajacheza kombe la dunia ni wabovu?????hahahahah

Jiongeze basi kidogo kwa hizi hoja zako wenzio wanahisi aibu.....unawadharirisha.
 
Wewe hujielewi, kwahiyo mara paaaaahhhh Tanzania imeingia WC hivyo Mkude atakuwa bora kuliko Joginho,Manula atakuwa zaidi ya Kepa,na huyo Tomori wako atasubiri sana kwa Yondani,
Kwahiyo wachezaji ambao hawajacheza kombe la dunia ni wabovu?????hahahahah

Jiongeze basi kidogo kwa hizi hoja zako wenzio wanahisi aibu.....unawadharirisha.
usiwalishe watu hisia zako kwa kujifanya unajua, sishangai ndio maana tunatofautiana maisha, Kiufupi mtu kama wewe hawezi fanikiwa popote, chukua hiyo itakutibu vinginevyo utakesha humu JF kutwa nzima. Ukitoa hoja personalize instead of generalization na fantasy concept "eti mara paap Tanzania ina ingia world cup" wewe ndio moja ya wanafunzi wasio fundishika
 
Chelsea fans' predicted team to face Southampton:
Kepa Arrizabalaga,
Cesar Azpilicueta, Andreas Christensen, Fikayo Tomori, Marcos Alonso,
Jorginho, N'Golo Kante, Mateo Kovacic,
Willian, Tammy Abraham, Callum Hudson-Odoi


Mashabiki wanataka Mount awe replaced na Odoi. Tuna utajiri wa wachezaji wazuri, leo hii Mount ndio awe replaced na Odoi, hapo bado ajapona RLC na bado tuna mzoefu Pedro kwenye benchi​
 
usiwalishe watu hisia zako kwa kujifanya unajua, sishangai ndio maana tunatofautiana maisha, Kiufupi mtu kama wewe hawezi fanikiwa popote, chukua hiyo itakutibu vinginevyo utakesha humu JF kutwa nzima. Ukitoa hoja personalize instead of generalization na fantasy concept "eti mara paap Tanzania ina ingia world cup" wewe ndio moja ya wanafunzi wasio fundishika


Ndio nini hiki umeandika mkuu?alafu ndio kusema maisha yangu unayajua sana nini? Kufanikiwa kwa lipi yani,maani mafanikio yapo katika nyanja nyingi,hatujuani personally,

Kwahiyo wewe unafanikiwa kwa kuandika UTUMBO?

Kuwalisha watu hisia ndio kitu gani?wewe unavyojiaminisha kuwa Kepa pazia kipa bora epl na kukomaa wengine tuamini hivyo?unaletewa fact unasema unalishwa hisia ,

Kwahiyo unavyowaunderrate wachezaji wa timu nyingine na kuwaoverrate wachezaji wa cheltako ndio njia yako ya mafanikio?

Wewe una mafanikio gani mkuu ambayo unahisi Mimi sina? Maana hunijui au umeoteshwa?

Hopeless
 
Tatizo lenu nyinyi wengi wa washabiki wa hiki kitimu cha watoto wa 2000s ni wajuaji mno wakati hata mpira hamuufatilii zaidi ya kufuatilia kitimu chenu cha uchochoroni,ndio maana mtu mchana kweupeeeeeee anakwambia Kepa ni kipa bora EPL, hayo ni madhara ya kujifungia ndani na kuangalia vimechi vyenu tu
Haya manyumbu ya arsenal hakuna haja ya kuyajibu hapa yanatuchafulia page yetu.
 
Mnakufa 2-1
Chelsea fans' predicted team to face Southampton:
Kepa Arrizabalaga,
Cesar Azpilicueta, Andreas Christensen, Fikayo Tomori, Marcos Alonso,
Jorginho, N'Golo Kante, Mateo Kovacic,
Willian, Tammy Abraham, Callum Hudson-Odoi


Mashabiki wanataka Mount awe replaced na Odoi. Tuna utajiri wa wachezaji wazuri, leo hii Mount ndio awe replaced na Odoi, hapo bado ajapona RLC na bado tuna mzoefu Pedro kwenye benchi​
 
usiwalishe watu hisia zako kwa kujifanya unajua, sishangai ndio maana tunatofautiana maisha, Kiufupi mtu kama wewe hawezi fanikiwa popote, chukua hiyo itakutibu vinginevyo utakesha humu JF kutwa nzima. Ukitoa hoja personalize instead of generalization na fantasy concept "eti mara paap Tanzania ina ingia world cup" wewe ndio moja ya wanafunzi wasio fundishika
kama afundshk hachana naye mbona unapoteza muda wako bure kubshana na m2 ambaye ajielewi kama vp aende kwny uzi wake wa arsenal huku yy inamuhusu kwan
 
Chelsea fans' predicted team to face Southampton:
Kepa Arrizabalaga,
Cesar Azpilicueta, Andreas Christensen, Fikayo Tomori, Marcos Alonso,
Jorginho, N'Golo Kante, Mateo Kovacic,
Willian, Tammy Abraham, Callum Hudson-Odoi


Mashabiki wanataka Mount awe replaced na Odoi. Tuna utajiri wa wachezaji wazuri, leo hii Mount ndio awe replaced na Odoi, hapo bado ajapona RLC na bado tuna mzoefu Pedro kwenye benchi​
mtajuta kwanini mlifanyia visa Antonio Conte....umeona kikosi cha intermilan anapokifikisha ?!..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chelsea kwa makelele bhanaView attachment 1223321
maajabu unataja wachezaji ambao hata kuitwa team ya taifa Ndoto, Tomori kaitwa national team kwa mechi nne tu huyo holding yupo yupo tu ni wa nchi ipi Kwanini asiitwe? , kepa anadaka Spain ulishasikia Leno akidaka German, azpiculeta anacheza Spain huyo Hector ni wa nchi gani? ,Barkley na ujinga wake anatamba England ya Southgate
huyo ceballos umemuona akitamba Spain? Vipi William? Lazima umkute Brazil, sijamtaja Emerson, Jorgihno, Kante, Rudiga ,Giroud first eleven mataifa yao, Kuna wachezaji na vichezaji,usifananishe wachezaji wa Chelsea na vichezaji vya Arsenal,[/QUOTE]

Hapa lazima kichwa chake kikae sawa
 
Msiba unaweza ukawa hata hapa leo maana kila weekend lazima tuzike mmoja au zaidi

Goodluck Soton
Yan unaenyeshwa na Leicester mpaka VAR halafu unaleta kelele apa. Nawambia mpaka desemba tutakuwa sawa au tushawapita..

Kila la kheri Chelsea
 
Saa 12 leo haka ka comment nitakakumbushia. Ngoja nikaweke
He kumbe wewe ni mtabiri,,unatabiri wachezaji wako watakuwa hatari kuliko wa arsenal ifikapo mwisho wa msimu????hebu tulia mtaa wa MARIJAN RAJAB(7) huko maana huko ndio kunawafaa.....
Ungekuwa na wachezaji wazuri kupita Arsenal wangekuhamisha kwanza huo mtaa,maana sio mzuri kabisa una kero nyingi sana...
ndotondoto za ajabu haziishi mulalapoooooooooooooooooooooo

Yale maneno ya Aaron yanakwenda kutimia,nyinyi msimu huu nafasi zenu za kumikumi huko
 
Mimi nishabiki wa chelsea.. ila mashaibiki wengi wa chelsea hawajui kuchambua mpiea... leo wanakwambia kepa ni kipa bora, wakati kepa lile ni shati tu pale anagewa muda tu kama ataimalika..
Kwenye social media mashaibiki wengi wa chelsea wanataka pulisic acheze, wakati hawajawah hata kumfatilia huko dortmund, wao wakiona mchezaji mgeni wanataka aanze kucheza...
Kwa sasa huwezi muweka mount au odoi nje ili pulisic acheze, pulisic ni mchezaji wa kawaida sana tena sana
Utasikia tena wanataka aanze james, wakati huyo james hawajawah kumuona hata mechi moja akicheza, wao wanataka waanze..
Mashabiki wa chelsea wenyew wanaangalia kwa majina lakn sio kwenye mazoez au mechi
 
Wewe hujielewi, kwahiyo mara paaaaahhhh Tanzania imeingia WC hivyo Mkude atakuwa bora kuliko Joginho,Manula atakuwa zaidi ya Kepa,na huyo Tomori wako atasubiri sana kwa Yondani,
Kwahiyo wachezaji ambao hawajacheza kombe la dunia ni wabovu?????hahahahah

Jiongeze basi kidogo kwa hizi hoja zako wenzio wanahisi aibu.....unawadharirisha.
Kocha anaita wachezaji bora, na pale anapokuwa na machaguo mengi basi anaangalia mwenye advantages over others. Hakuna timu yoyote ya taifa itamuacha Ngolo Kante, Joginho au Willian, Rudiger, Emerson, Mount, Abraham. Na ndiyo maana kombe la dunia lina msisimko zaidi ya mashindano mengine ya mpira kwa sababu ya ubora wa timu na wachezaji
 
Chelsea fans' predicted team to face Southampton:
Kepa Arrizabalaga,
Cesar Azpilicueta, Andreas Christensen, Fikayo Tomori, Marcos Alonso,
Jorginho, N'Golo Kante, Mateo Kovacic,
Willian, Tammy Abraham, Callum Hudson-Odoi


Mashabiki wanataka Mount awe replaced na Odoi. Tuna utajiri wa wachezaji wazuri, leo hii Mount ndio awe replaced na Odoi, hapo bado ajapona RLC na bado tuna mzoefu Pedro kwenye benchi​
Kante akiwepo lazima Kovacic akae benchi ili Mount acheze. Huyu Mount atafanya makubwa sana
 
Tatizo lenu nyinyi wengi wa washabiki wa hiki kitimu cha watoto wa 2000s ni wajuaji mno wakati hata mpira hamuufatilii zaidi ya kufuatilia kitimu chenu cha uchochoroni,ndio maana mtu mchana kweupeeeeeee anakwambia Kepa ni kipa bora EPL, hayo ni madhara ya kujifungia ndani na kuangalia vimechi vyenu tu
Kwani ww ni Ajuza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom