Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Uyo uyo Tomori akija arsenal utaanza kumsifia na stats za kutosha..
na ndio maana wewe unamsifia leo hii kwakuwa yupo hapa Chelsea,maana hata Luiz pia ulikuwa mnamsifia ila alivyokuja Arsenal amekuwa sio mchezaji tena hahahahahh,huyu PEPE mnaomponda leo angekuwa amesinya hapo kwenu leo hii mngekuwa mnacreate hoja kibao za kumdefend
 
Screenshot_20191004-200118~2.jpeg
 
Katika HOLDING mmoja Kuna hao kina Tomori kumi,

Azpilicueta hata robo ya Hector hajafikia,

Alonso wakiwa 20 ndio sawa na KIERAN TIERNEY 1,

KEPA 7 sawa na LENO1,

kina Barkley 50 unapata CEBALLOS 1,

Abraham 15 unapata AUBAMEYANG 1,
Msimu huu hawa Chelsea lazima waende nafas za 10-15 na mwenzao man u
 
Chelsea kwa makelele bhanaView attachment 1223321
[/QUOTE]
Katika HOLDING mmoja Kuna hao kina Tomori kumi,

Azpilicueta hata robo ya Hector hajafikia,

Alonso wakiwa 20 ndio sawa na KIERAN TIERNEY 1,

KEPA 7 sawa na LENO1,

kina Barkley 50 unapata CEBALLOS 1,

Abraham 15 unapata AUBAMEYANG 1,
maajabu unataja wachezaji ambao hata kuitwa team ya taifa Ndoto, Tomori kaitwa national team kwa mechi nne tu huyo holding yupo yupo tu ni wa nchi ipi Kwanini asiitwe? , kepa anadaka Spain ulishasikia Leno akidaka German, azpiculeta anacheza Spain huyo Hector ni wa nchi gani? ,Barkley na ujinga wake anatamba England ya Southgate
huyo ceballos umemuona akitamba Spain? Vipi William? Lazima umkute Brazil, sijamtaja Emerson, Jorgihno, Kante, Rudiga ,Giroud first eleven mataifa yao, Kuna wachezaji na vichezaji,usifananishe wachezaji wa Chelsea na vichezaji vya Arsenal,
 
Chelsea kwa makelele bhanaView attachment 1223321

maajabu unataja wachezaji ambao hata kuitwa team ya taifa Ndoto, Tomori kaitwa national team kwa mechi nne tu huyo holding yupo yupo tu ni wa nchi ipi Kwanini asiitwe? , kepa anadaka Spain ulishasikia Leno akidaka German, azpiculeta anacheza Spain huyo Hector ni wa nchi gani? ,sijamtaja Emerson, Jorgihno, Kante, Rudiga ,Giroud first eleven mataifa yao, Kuna wachezaji na vichezaji,usifananishe wachezaji wa Chelsea na vichezaji vya Arsenal
Ukweli mchungu, uongo mtamu, huu ujumbe watau SKIP sana tu!
 
Hawa Spurs mpaka waje kuamka sisi tutakuwa tumewaacha Mlandizi
  1. New castle 1
  2. Leicester city 2
  3. Colchester kwa penalti
  4. Bayern 7
  5. Na leo BHA 3
Mildfield wabovu
Defense mbovu
Mbele butu ni Moura pekee dk ya 70 hivi ndie aliyeleta uhai baada ya kuingia badala ya Son
Mchezaji pekee wa First XI aliye majeruhi ni Kipa Hugo Lloris na Serge Aurier aliyesimamishwa kwa sababu ya njano mbili
 
Hawa Spurs mpaka waje kuamka sisi tutakuwa tumewaacha Mlandizi
  1. New castle 1
  2. Leicester city 2
  3. Colchester kwa penalti
  4. Bayern 7
  5. Na leo BHA 3
Mildfield wabovu
Defense mbovu
Mbele butu ni Moura pekee dk ya 70 hivi ndie aliyeleta uhai baada ya kuingia badala ya Son
Mchezaji pekee wa First XI aliye majeruhi ni Kipa Hugo Lloris
Niliona ni timu ambayo itachallenge team ya man city na Liverpool itachukua nafasi ya tatu ila kwa mwenendo wao Huu sioni Kama itaweza kuingia big 4.
 
Niliona ni timu ambayo itachallenge team ya man city na Liverpool itachukua nafasi ya tatu ila kwa mwenendo wao Huu sioni Kama itaweza kuingia big 4.
Itakua ni opportunity kwa timu nyingine kuchalenge top four siwaoni wakiingia top four msimu huu, labda wabadilike huko mbeleni
 
Chelsea kwa makelele bhanaView attachment 1223321
maajabu unataja wachezaji ambao hata kuitwa team ya taifa Ndoto, Tomori kaitwa national team kwa mechi nne tu huyo holding yupo yupo tu ni wa nchi ipi Kwanini asiitwe? , kepa anadaka Spain ulishasikia Leno akidaka German, azpiculeta anacheza Spain huyo Hector ni wa nchi gani? ,Barkley na ujinga wake anatamba England ya Southgate
huyo ceballos umemuona akitamba Spain? Vipi William? Lazima umkute Brazil, sijamtaja Emerson, Jorgihno, Kante, Rudiga ,Giroud first eleven mataifa yao, Kuna wachezaji na vichezaji,usifananishe wachezaji wa Chelsea na vichezaji vya Arsenal,[/QUOTE]Wewe mpira hujui kitu kabisa, nisamehe mkuu kwa kusema hadharani.

Afu kwa hii comment unaonekana in football unafatilia habari za chelsea tu,Kwa hiyo huwezi kujua chochote kinachoendelea kwenye timu zingine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom