Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sana tomori akicheza without injuries atkuw msaada uko mbelen
 
Kuna utoto uliofanyika zaidi ya mara 2 kwa beki na kipa, Lampard anatakiwa awafokee hawa madogo la sivyo laiti ingekuwa ni timu kubwa tungekula hata 3-2.
 
Kwahiyo na ww kwa akili yako ukakaa na kuamini in two years to come Chelsea will be better in squad than City? ... hizo akili huwa mnaziweka wapi mzee?
Time will tell, kwa hili sitakubishia. Miaka 3 nyuma Chelsea was a better team than Liverpool and Man city
 
Kuna wachezaji Sarri alikuwa anawaharibu kwa mfumo wake rigid, mojawapo ni Willian na Jorginho
Willian mpaka mashabiki walishamchoka pamoja na Jorginho lakini wakati huu wa Lamps, ndio wachezaji wanaotegemewa
 
Lampard on Willian
“He’s been really important. He’s a top player, I want to see him happy and have a smile on his face.” Lampard told Chelsea TV.

“His work ethic has been brilliant.

“He can take people out with his speed and trickery, and he can score goals for us. ‘And that’s a lovely balance for the younger players.

“But Willian gives us experience and he’s shown in the last two games with goals on top of great work ethic and quality.”
 
Mm nashangaa kwa nn Lampard hamuamini Pulisic yaani Odoi katoka majeruhi ya muda mrefu sasa hivi anapata dakika za kucheza tofauti na Pulisic aliyekua fit since pre season
 
Lampard on Reece James Sub
‘The only reason I took him off was tactical and fitness because he hasn’t played too many games. They did well tonight, it was a tough game, but they can do even better.’
 
Mm nashangaa kwa nn Lampard hamuamini Pulisic yaani Odoi katoka majeruhi ya muda mrefu sasa hivi anapata dakika za kucheza tofauti na Pulisic aliyekua fit since pre season
Kawa fit wapi, wewe hata ufuatilii game za Chelsea, Pulisic akionyesha dalili Preaseason lakini ligi ilipoanza mechi zote alizocheza rating yake ilkikuwa very low. Mfano ile ya Carabao alikuwa wa mwisho kwa rating. Tutaendelea kumpa mechi ndogo ndogo mpaka awe fit. Asipoimprove tutampeleka under23 ili akapate fitness huko
 
Me naona kinamcost pulisic ni kuchoka + ajaadapt
Kwa nini nasema kuchoka
Baada ya kuisha kwa fainal za concaf pulisic moja kwa moja alisitisha likizo yake ya mapumziko akaenda kujiunga na kikosi cha chelsea na kweny pre season alikuwa yuko vizuri but ligi ilivyoanza tu hali ikabadilika ukiitoa mechi ya supercup ndio aliocheza vizuri

Kingine bado hajaadapt hata fabinho tu kuna kipindi aliwekwa benchi na klop coz alikuwa hajaadapt na baada ya kuaadapt mfumo wa tim akawa mzuri same to pulisic pre season nimechi za kujenga fitness na sio competitive games
Nahis tu ataimprove kadri siku zinavyokwenda halaf wengi hapa hatujui huko cobham kipi kinachofanyika
Kawa fit wapi, wewe hata ufuatilii game za Chelsea, Pulisic akionyesha dalili Preaseason lakini ligi ilipoanza mechi zote alizocheza rating yake ilkikuwa very low. Mfano ile ya Carabao alikuwa wa mwisho kwa rating. Tutaendelea kumpa mechi ndogo ndogo mpaka awe fit. Asipoimprove tutampeleka under23 ili akapate fitness huko
 
Nicolas Pèpé:

-1 goal
-2 assists
-Starts consistently for Arsenal
-MOTM once
-Admittedly still settling in

Christian Pulisic:

-0 goals
-3 assists
-Hardly used by Chelsea
-Looks bang average
-Doesn’t start ahead of Willian

Now you guess who’s been called a flop.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom