mart66
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 610
- 691
Hahaha na wew ulipigwa 8:0 au hujui biggest defeat arsenal alpigwa 8:0Wewe mbona uligongwa 8 - 1 nani afadhali hapo?
Hahaha na wew ulipigwa 8:0 au hujui biggest defeat arsenal alpigwa 8:0Wewe mbona uligongwa 8 - 1 nani afadhali hapo?
Unafananish 5 kwa 6:0Na zile 5 nilikutwanga daraja LA biskuti?
5 Kwa 3 ni Sawa na 6 bila??Na zile 5 nilikutwanga daraja LA biskuti?
Hahahahahahaaaaaa imebidi nicheke kwelikweliHahaha na wew ulipigwa 8:0 au hujui biggest defeat arsenal alpigwa 8:0
6 ulishinda wapi?5 Kwa 3 ni Sawa na 6 bila??
Maybe hujui historia ya timu yako mzee arsenal ashawai pigwa 8😱 ,kaitfute hio tenaHahahahahahaaaaaa imebidi nicheke kwelikweli
Hebu itafute na ya Chelsea uiweke hapa maana wewe unaijua vizuri historia ya timu yako.......hahahahahaahMaybe hujui historia ya timu yako mzee arsenal ashawai pigwa 8😱 ,kaitfute hio tena



Kwahiyo na ww kwa akili yako ukakaa na kuamini in two years to come Chelsea will be better in squad than City? ... hizo akili huwa mnaziweka wapi mzee?Jamaa kiingereza kinakupiga chenga. Jamaa amesema in 2/3 yrs to come...
Wewe timu yako inacheza lini mkuu..Mtoto wa sari kapiga moja imekula nguzo kama ingejaa nyavuni bonge la goli lingekuwa