Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Miaka miwili mpaka mitatu ijayo yaweza kuwa timu ya ushindani ulaya kuliko sasa. Academy player, Thanks FIFA
IMG_20191002_070636.jpeg
 
Wewe mbona city alikuweka 6 o'clock?

Bournemouth akakushindilia 4,

So ukawa umekufa 10 buyu game mbili tu,acha kelele
Kila siku nawaambieni anayeipa heshima London ni Chelsea peke yake hao wengine wanachafua hali ya hewa tu. Mtu anakula 7 akiwa nyumbani. Daah
 
Sio tu kiingereza, hata context ya mada hajui
Ila sijaona jamaa hajaelewa kipi,maana hajabisha maneno ya kiingereza ameongelea yale ya kiswahili ambayo hayakuhusish 2-3 yrs to come labda useme hajui kiswahili sasa.
Maana ya kiswahili yamemaanisha kua Chelsea ina kikosi kizuri kuliko city na liver ila tu hawajazoea!meaning hata sasa hivi ni kizuri saidi ila tu wanahitaji kuzoea na huo ni uongo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom