Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kama kawaida yetu
Nafasi lukuki
Shots 17
On target 4
Wenzetu hawana hata short za pembeni hata moja halafu eti hatujafunga hata goli!
Mtaniambia Brighton wakipata short on target moja na itakuwa ndio goli, sijui hapo darajani waliweka nini mwaka huu
 
Tumerudi enzi za babu sari kuuchezea mpira saaaaaana ila hatupati magoli.

Kovacic angeanza badala ya Barkley.

Tammy Abraham anaremba sana mashambulizi.
Tofauti ipo tenza sana
Wakati wa Sari tunamiliki mpira 80% halafu hakuna shorts
Wakati wa Lampard tunamiliki mpira kiasi, short lukuki na short on targhet
Kugonga nguzo nk ila goli adimu
 
Sasa ile laana ya kutoshinda nyumbani imevunjwa
Ile laana pia ya Kepa kutopata cleansheet imevunjwa
Mambo mazuri bado yanakuja hapo Reece James atakapoanza, RLC atakaporudi
Rudiger, Kante, Emerson watakapopona kabisa nk
Leo Alonso kaanza yale maamuzi yake fyongo inayomfanya akae benchi. Hakuwa vizuri leo japo kucheza vizuri. Yaani yeye akipata mpira anajua kurudisha kwa Tomori tu japo sio mbaya lakini anatakiwa kutengeneza nafasi za kushambulia
Odoi kaanza vizuri kwa timu ndogo anafaa kuanza
Akiendeleza hii consistency kwenye mechi kubwa Pedro inabidi tu astaafu
 
Shots 24 (17 kipindi cha kwanza)
On target 10 (4 kipindi cha kwanza)
Kocha inabidi hili eneo alifanyie kazi angalau conversion rate iongezeke kutoka kwenye 20% kwenda angalau 70%
Kama tungetumia 70% ya shorts za leo tungekuwa na goli 7
 
Huyu bakrey anashida gani!? Ankaa Sana n mpira anakokota lkin anachofanya hakuna kabisaa
 
Barkley ni kirusi
Huyu game zinazomfaa ni zile za carabao yani yuko slow mpira ukifika kwake tu anataka ajifanye awe hazard
 
Barkley inabidi aende developing squad, yupo slow, anapoteza ovyo... nazan siku zake za kubaki chelsea zinahesabika
 
Barkley anatakiwa awe chaguo la 4, lampard anauwingereza sana ........
 
Good clean game so far, first home win for SUPER FRANKIE and first clean sheet for KEPA.

Many more to come
 
Inatakiwa tuendelee kushinda hivi ivi mwanzo mwisho ..mpka Desemba tuwe angalau karibu au kumpita hii Liverpool ..awa wameshaanza kuchoka na uwezo tunao ..

Kila la kheri Chelsea[emoji170][emoji170][emoji170]
 
Haya huwa yanasemwa sana mchezaji akiwa anatoka kwenye injury au ndo anaanza kuadapt. Isitoshe ni akina Salah na Messi huwa wananyanganywa mipira at sometimes
Odoi, loftus cheek hawa ni wachezaji wakuingia sub. Odoi na cheek ni wachezaji wazuri timu ikiwa inashambulia, ila timu ikizidiwa hawa jamaa wavivu kukaba aisee.

Haswa odoi akipiga vyanga vyake akanyang'anywa mpira hakabagi anasimama.

Kiufupi ni wachezaji wazuri timu ikiwa inashambulia mara kwa mara.

Kama mawazo yangu kwenye big match its better watokee benchi. Kwa match ndogo waanze 1st eleven wazidi kuimarika zaidi na zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom