SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,449
Kwahyo mkuu, kwa mujibu wa reasoning yako, Liverpool imewaonea tu? Ukiwa na Kante, Azp, Alonso, Jorginho, Kovacic, Willian, tuache hao watoto ambao naona ndo your shield of excuses.Mpige City tukuone kidume lakini wajanja wenzio wanaona gemu yetu ilikuwa nyepesi tu sababu ni kikosi B pia bado hakijazoeana sana.
Pili timu imejawa na majeruhi kibao, so weka akiba ya maneno ili uje uifunge Chelsea ikiwa haina sababu yoyote ile kujitetea lakini si sasa hivi.