Kumfananisha Tammy kama Drogba haina maana ni Drogba, hii ni lugha. kwa anavyocheza ni anaelekea kwenye level hiyo. Kushindwa kufunga mechi moja tu sio deal, bado anazo mechi nyingi mbele yake na atafunga sana tu
Kwamba anaelekea level ya drogba haahaaa haa wakati hata level ya diego costa hataifikia. Hazard mwenyew hadi ameondoka hajaweza kumfikia drogba sembuse uyo mngoni
 
Liverpool’s men too strong for Chelsea’s boys 💪

Abraham → toilet

71658386_10156056541475666_8050761809457577984_n.jpg
 
Kwamba anaelekea level ya drogba haahaaa haa wakati hata level ya diego costa hataifikia. Hazard mwenyew hadi ameondoka hajaweza kumfikia drogba sembuse uyo mngoni
You seem to be far away from football. Kwa maelezo yako, sio kila mchezaji unafananisha, Hazard is not a striker.
Tammy ni mshambuliaji mzuri na ana kila sababu ya kulinganishwa na Drogba iwe unapenda au unachuklia na ukiudhika zaidi kameze wembe au kale limao utapoa
 
'I hope they don't get used to it - big clubs stop being big clubs'

Jose Mourinho warns Chelsea not to accept defeats as fans clap players off after Liverpool loss
 
Tobo FC nawasalimia jamani.....

habari zenuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu tunazooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo nasikia daraja linavuja,
kheeeeeeeeekheeeeeeeeeeeekheeeeeeeeeeeeeeeekheeeeeeeeeeeeeeeekheeeeeeeeeeeeee
 
Lionel Messi FIFA Men Player of the Year 2019
Contenders wengine walikuwa ni Cristiano Ronaldo na Virgil Van Dijk
 
Liverpool safari hii wamebahatisha, next time hatutawakosa na hasa tukianza kufanya usajili tuzibe viraka, tutalipa madeni yoote!
 
Hizi timu zitavurunda sana huku Chelsea ikizidi kuimarika pamoja na kuwa itaendelea ku concede magoli

Asilimia ya kuvurunda imeonyeshwa
  1. Man United 35%
  2. Arsenal, 30%
  3. Spurs 20%
  4. Chelsea 15%
  5. Mancity 5%
  6. Liverpool 5%
Sababu kubwa ya Man U kuvurunda sana ni ujinga wao wa kuwauza mastrikers wazuri kama akina Lukaku na kubakia na Rashford ambaye hata goli 10 kwa msimu hawezi fikia. Pia kocha mbinu zake zimegonga mwamba. Sababu pekee ya Man U kupunguza kuvurunda ni kubadilisha kocha na kumleta kocha mwenye mbinu na mikakati kama Banitez au MO
Arsenal wasipomfukuza kocha asilimia ya kuvurunda inaweza ongezeka
Chelsea wakipunguza majeruhi hasa ya wachezaji muhimu kama akina Kante, Rudiger, RLC, Odoi na hao walio fit umakini wao utaoongezeka ila majeruhi yakiendelea kuwepo kuna uwezekano wa kuvurunda ukaongezeka
Hata hivyo mpaka mwisho wa ligi
Man united 6 hadi 7,8 inamhusu
Arsenal na Spurs watagombea namba 4
Liverpool na Man city wataendelea kufanya vizuri na hasa Liverpool. Kuna uwezekano wa city pamoja na kuzibamiza kwa hasira timu ndogo wataendelea kugawa point kwa timu hizo hizo ndogo wakati Man City anaweza kuchukua point sio chini ya 4 kwa top 6 ikiwemo Liverpool
 
Odoi na Reece James kucheza mechi ya jtano
"[Hudson-Odoi and James will] be involved on Wednesday night, they'll be involved,"
 
Chelsea vs Liverpool

Chelsea played very well but Liverpool won on set pieces
 
Kwa maoni yangu, ile adhabu iliyozaa goli la pili Liverpool walizawadiwa tu bure. Azpi hakucheza faulu yeyote ile inayostahili adhabu ile
 
Back
Top Bottom