rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,534
- 6,617
Kwamba anaelekea level ya drogba haahaaa haa wakati hata level ya diego costa hataifikia. Hazard mwenyew hadi ameondoka hajaweza kumfikia drogba sembuse uyo mngoniKumfananisha Tammy kama Drogba haina maana ni Drogba, hii ni lugha. kwa anavyocheza ni anaelekea kwenye level hiyo. Kushindwa kufunga mechi moja tu sio deal, bado anazo mechi nyingi mbele yake na atafunga sana tu