SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Poleni sana watani
Vichwa maji wawili nyinyi,Mpuuzi apuuzwe.
Umeanza lini matusi mkuuMatako pesa kalale. Usinitibue vuzi *****
ZumbukukuHiki ndio ulichobobea,
Mambo ya mpira tuachie wanaume.
teh.Zumbukuku
Umeshapuuzwa. Ningekuona wa maana ungeyasema haya kable hujamtukana Lampard.Vichwa maji wawili nyinyi,
Mnaweza kuweka record ya Lampard ya ukocha yenye kueleweka?
Ohoo, sipo hapa ili wewe unione wa maana asee.Umeshapuuzwa. Ningekuona wa maana ungeyasema haya kable hujamtukana Lampard.
Wewe jamaa huwa mstahimilivu sana , au kuna mtu anatumia ID yakoZumbukuku
Nipo kiongozi nawazoom tu mlivyopambana na Astonvilla
Kuna kitu Lampard anakileta hapo Chelsea nawapongeza sana.Nipo kiongozi nawazoom tu mlivyopambana na Astonvilla
Kila la kheri Chelsea[emoji170][emoji170][emoji170]
Asante Kante ..nilijua tu..Kanteeeeeee
Nimekupiga kimyaaaAsante Kante ..nilijua tu..
Kila la kheri Chelsea[emoji170][emoji170][emoji170]
Kwani likiwepo wataweka kwenye twitter???Lini Mane alikuwa na Bifu na Salah? Acha uongo! Hebu nenda kwenye Akaunti zao za Insta na Twitter ukaangalie kama wana bifu hilo unalolisema.
Washabiki wa Mane wa Afrika na Salah Waarabu ndiyo wanaoshambuliana Mitandaoni labda ndiyo bifu unalolisema.
Lakini wenyewe hawajawahi kuwa na Bifu Bali ni Best Friend.
Asiporidhika itaonekana tu kwa matendo au maneno, hiyo hakuna anayeweza kufichaKwanza elewa kuwa Timu si Ndowa
Na hayo uliyoyasema yote kuwa Kante hana na ameridhika na Chelsea pamoja na London ni Maoni yako tu lakini si uhalisia kwani hujui noyoni mwake Kante anawaza nini? Ni yeye mwenyewe Kante ndiye anayewaza.
Kila Mchezaji anaposajiliwa na Timu Fulani basi husema ANAIPENDA TIMU HIYO NA YUPO PAHALA SAHIHI
Na ipo mifano wazi kwa baadhi ya wachezaji waliojisifia Timu kuwa Wameridhika nazo baadae Wakadai kuhama.
Mpira ni Biashara Ndugu! Hakuna asiyehitaji Hela!
Perezi akamuahidi Mshahara wa £350K na Mibonus ya kufa Mtu basi nayeye atasema kama alivyosema Hazard kuwa 'REAL IS MY DREAM TEAM'.
Tena wala usijidanganye kuwa karidhika na Maisha ya London! Mbele ya Pesa London inakuwa sawa na Gongolamboto.
Mpige City tukuone kidume lakini wajanja wenzio wanaona gemu yetu ilikuwa nyepesi tu sababu ni kikosi B pia bado hakijazoeana sana.Nimekupiga kimyaaa