OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,118
- 24,046
Salah m'binafsi na Mane anamind ..leo tuna uhakika watapoteana tu..Na Mane ana bifu na Salah, sijui kama wamemaliuzana au bado wanabifiana!
Kila la kheri Chelsea
Salah m'binafsi na Mane anamind ..leo tuna uhakika watapoteana tu..Na Mane ana bifu na Salah, sijui kama wamemaliuzana au bado wanabifiana!
Kante kuondoka Chelsea labda timu ifutwe isiwepo ...lakini Rashid, Pogba wanaeza sepa tu kama Madrid wakifika dau.
Huyo bwana hata sijui ameandika nini hadi sasa. Au anataka kutuaminisha Kante hawezi kuiacha Chelsea milele?
Mpira hauchezwi ivyo mze ..subiri Dakika 90 ziishe..Hahahaha wewe utalazwa na viatu ngoja tuone leo ukipona umefungwa 2
Mchezaji kuondoka kwenye timu kwenda nyingine kuna factor kama sita hiviKwani Mchezaji gani aliyewahi kusajiliwa kwenye Timu kwa Lazima?
Hata hawa Ronaldo, Courtosie, Hazard, Mata, Matic, Coutinho, Emre Can, Herrera, Ramsey, Mignolet, Griezman, Frank De Jong, Pepe, Pulisic, Lukaku n.k. si waliondoka wenyewe kwenye Timu zao?
Au walilazimishwa na Timu zilizowanunua kuwa waondoke bila ya ridhaa zao? Kwanini hawakukata Rufaa ya kusajiliwa kwa Lazima?
Mbona sajili zote Duniani wachezaji wanaondoka kwenye Timu kwa hiari yao? Au kuna sehemu nilisema Kante atalazimishwa na Real kwamba Lazima asajili kwenye Timu ya Real?
Yani ungelikaa kimya ungelificha mengi tusiyoyajua kuhusu wewe
Kante kuondoka Chelsea labda timu ifutwe isiwepo ...lakini Rashid, Pogba wanaeza sepa tu kama Madrid wakifika dau.
Kila la kheri Chelsea
Baada ya Valencia kukubomoabomoa naona ndio umepata unafuu. Liverpool leo ndo anakuja kukukata shingo kabisa. |
Ukuona liver alivyobomolewa na Napoli, au mtasingizia alikuwa ugenini
Baada ya Valencia kukubomoabomoa naona ndio umepata unafuu. Liverpool leo ndo anakuja kukukata shingo kabisa.
Na Mane ana bifu na Salah, sijui kama wamemaliuzana au bado wanabifiana!
Mchezaji kuondoka kwenye timu kwenda nyingine kuna factor kama sita hivi
Kante hayuko kwenye hizo sifa 5/6 hapo juu labda factor na. 5
- Mtafutaji na mhamaji na tamaa tu, hana professionalism ndani yake mfano Sanchez kwenda Man U
- Haridhiki kuwepo kwenye timu yake ya sasa, mfano kutopewa play-time ya kutosha, posho, mkataba, usajili mbovu, sera mbovu nk
- Kutafuta changamoto kubwa zaidi mahali pengine
- Kwenda kwenye dream team mfano Hazard kwenda RM
- Kuwafuata jamaa na marafiki
- Mkataba kufikia mwisho wake - kuondoka kama mchezaji huru
Factor kubwa inayoipa au kuzipa timu nyingine nguvu ya kumfukuzia mchezaji ambaye wanamuona atawafaa ni factor na. 2, kulikuwepo na timu zilibip mwaka jana, nafikiri ni PSG lakini ndani ya no where walitulia tuli kwa sababu Kante ameridhika 99% kuwa Chelsea. Hii ya akina Hazard ni maoni yao tu
Kama Hazard ataweza kumuinfluence Kante na nguvu ya Hazard ikazidi marafiki zake walioko Chelsea na pia Maisha ya London kama inamboa yeye na familia yake anaweza kweli kwenda, ila sioni hilo kwa sababu Kante kajijenga na karidhika kuwa Chelsea na London.
Kwani Mchezaji gani aliyewahi kusajiliwa kwenye Timu kwa Lazima?
Hata hawa Ronaldo, Courtosie, Hazard, Mata, Matic, Coutinho, Emre Can, Herrera, Ramsey, Mignolet, Griezman, Frank De Jong, Pepe, Pulisic, Lukaku n.k. si waliondoka wenyewe kwenye Timu zao?
Au walilazimishwa na Timu zilizowanunua kuwa waondoke bila ya ridhaa zao? Kwanini hawakukata Rufaa ya kusajiliwa kwa Lazima?
Mbona sajili zote Duniani wachezaji wanaondoka kwenye Timu kwa hiari yao? Au kuna sehemu nilisema Kante atalazimishwa na Real kwamba Lazima asajili kwenye Timu ya Real?
Yani ungelikaa kimya ungelificha mengi tusiyoyajua kuhusu wewe
Mzee Mwantesa Utd hujambo hapo OT?
Huyo bwana hata sijui ameandika nini hadi sasa. Au anataka kutuaminisha Kante hawezi kuiacha Chelsea milele?
Mchezaji kuondoka kwenye timu kwenda nyingine kuna factor kama sita hivi
Kante hayuko kwenye hizo sifa 5/6 hapo juu labda factor na. 5
- Mtafutaji na mhamaji na tamaa tu, hana professionalism ndani yake mfano Sanchez kwenda Man U
- Haridhiki kuwepo kwenye timu yake ya sasa, mfano kutopewa play-time ya kutosha, posho, mkataba, usajili mbovu, sera mbovu nk
- Kutafuta changamoto kubwa zaidi mahali pengine
- Kwenda kwenye dream team mfano Hazard kwenda RM
- Kuwafuata jamaa na marafiki
- Mkataba kufikia mwisho wake - kuondoka kama mchezaji huru
Factor kubwa inayoipa au kuzipa timu nyingine nguvu ya kumfukuzia mchezaji ambaye wanamuona atawafaa ni factor na. 2, kulikuwepo na timu zilibip mwaka jana, nafikiri ni PSG lakini ndani ya no where walitulia tuli kwa sababu Kante ameridhika 99% kuwa Chelsea. Hii ya akina Hazard ni maoni yao tu
Kama Hazard ataweza kumuinfluence Kante na nguvu ya Hazard ikazidi marafiki zake walioko Chelsea na pia Maisha ya London kama inamboa yeye na familia yake anaweza kweli kwenda, ila sioni hilo kwa sababu Kante kajijenga na karidhika kuwa Chelsea na London.
Once upon the time we had Conte.Premier League November awards:
Diego Costa - Player of the Month;
Antonio Conte - Manager of the Month;
Pedro - Goal of the Month! Football Expose on Twitter
To my Chelsea fun too
Sometimes pesa inashindwa vile vile, mbona Diego Costa, Messi wamehitajiwa sana na timu za China kwa madau makubwa sana ya pesa mingi mingi lakini bado tu walizikataa hasa hasa D'Costa hadi akaamua kurudi tu A'Madrid kuliko kwenda China?Kwanza elewa kuwa Timu si Ndowa
Na hayo uliyoyasema yote kuwa Kante hana na ameridhika na Chelsea pamoja na London ni Maoni yako tu lakini si uhalisia kwani hujui noyoni mwake Kante anawaza nini? Ni yeye mwenyewe Kante ndiye anayewaza.
Kila Mchezaji anaposajiliwa na Timu Fulani basi husema ANAIPENDA TIMU HIYO NA YUPO PAHALA SAHIHI
Na ipo mifano wazi kwa baadhi ya wachezaji waliojisifia Timu kuwa Wameridhika nazo baadae Wakadai kuhama.
Mpira ni Biashara Ndugu! Hakuna asiyehitaji Hela!
Perezi akamuahidi Mshahara wa £350K na Mibonus ya kufa Mtu basi nayeye atasema kama alivyosema Hazard kuwa 'REAL IS MY DREAM TEAM'.
Tena wala usijidanganye kuwa karidhika na Maisha ya London! Mbele ya Pesa London inakuwa sawa na Gongolamboto.
Leo tunakuja kuongeza ukubwa tobo kwenye daraja mpk libomoke
Sometimes pesa inashindwa vile vile, mbona Diego Costa, Messi wamehitajiwa sana na timu za China kwa madau makubwa sana ya pesa mingi mingi lakini bado tu walizikataa hasa hasa D'Costa hadi akaamua kurudi tu A'Madrid kuliko kwenda China?