Huyo bwana hata sijui ameandika nini hadi sasa. Au anataka kutuaminisha Kante hawezi kuiacha Chelsea milele?

Kante kuondoka Chelsea labda timu ifutwe isiwepo ...lakini Rashid, Pogba wanaeza sepa tu kama Madrid wakifika dau.

Kila la kheri Chelsea
 
Kwani Mchezaji gani aliyewahi kusajiliwa kwenye Timu kwa Lazima?

Hata hawa Ronaldo, Courtosie, Hazard, Mata, Matic, Coutinho, Emre Can, Herrera, Ramsey, Mignolet, Griezman, Frank De Jong, Pepe, Pulisic, Lukaku n.k. si waliondoka wenyewe kwenye Timu zao?
Au walilazimishwa na Timu zilizowanunua kuwa waondoke bila ya ridhaa zao? Kwanini hawakukata Rufaa ya kusajiliwa kwa Lazima?
Mbona sajili zote Duniani wachezaji wanaondoka kwenye Timu kwa hiari yao? Au kuna sehemu nilisema Kante atalazimishwa na Real kwamba Lazima asajili kwenye Timu ya Real?

Yani ungelikaa kimya ungelificha mengi tusiyoyajua kuhusu wewe
Mchezaji kuondoka kwenye timu kwenda nyingine kuna factor kama sita hivi
  1. Mtafutaji na mhamaji na tamaa tu, hana professionalism ndani yake mfano Sanchez kwenda Man U
  2. Haridhiki kuwepo kwenye timu yake ya sasa, mfano kutopewa play-time ya kutosha, posho, mkataba, usajili mbovu, sera mbovu nk
  3. Kutafuta changamoto kubwa zaidi mahali pengine
  4. Kwenda kwenye dream team mfano Hazard kwenda RM
  5. Kuwafuata jamaa na marafiki
  6. Mkataba kufikia mwisho wake - kuondoka kama mchezaji huru
Kante hayuko kwenye hizo sifa 5/6 hapo juu labda factor na. 5
Factor kubwa inayoipa au kuzipa timu nyingine nguvu ya kumfukuzia mchezaji ambaye wanamuona atawafaa ni factor na. 2, kulikuwepo na timu zilibip mwaka jana, nafikiri ni PSG lakini ndani ya no where walitulia tuli kwa sababu Kante ameridhika 99% kuwa Chelsea. Hii ya akina Hazard ni maoni yao tu
Kama Hazard ataweza kumuinfluence Kante na nguvu ya Hazard ikazidi marafiki zake walioko Chelsea na pia Maisha ya London kama inamboa yeye na familia yake anaweza kweli kwenda, ila sioni hilo kwa sababu Kante kajijenga na karidhika kuwa Chelsea na London.
 
Kante kuondoka Chelsea labda timu ifutwe isiwepo ...lakini Rashid, Pogba wanaeza sepa tu kama Madrid wakifika dau.

Kila la kheri Chelsea
Baada ya Valencia kukubomoabomoa naona ndio umepata unafuu. Liverpool leo ndo anakuja kukukata shingo kabisa.
 
Baada ya Valencia kukubomoabomoa naona ndio umepata unafuu. Liverpool leo ndo anakuja kukukata shingo kabisa.
Ukuona liver alivyobomolewa na Napoli, au mtasingizia alikuwa ugenini

Leo vvd atatoa book tena...

This is Chelsea ...

Tukutane baada ya Dakika 90..

Kila la kheri Chelsea
 
Na Mane ana bifu na Salah, sijui kama wamemaliuzana au bado wanabifiana!

Lini Mane alikuwa na Bifu na Salah? Acha uongo! Hebu nenda kwenye Akaunti zao za Insta na Twitter ukaangalie kama wana bifu hilo unalolisema.

Washabiki wa Mane wa Afrika na Salah Waarabu ndiyo wanaoshambuliana Mitandaoni labda ndiyo bifu unalolisema.

Lakini wenyewe hawajawahi kuwa na Bifu Bali ni Best Friend.
 
Mchezaji kuondoka kwenye timu kwenda nyingine kuna factor kama sita hivi
  1. Mtafutaji na mhamaji na tamaa tu, hana professionalism ndani yake mfano Sanchez kwenda Man U
  2. Haridhiki kuwepo kwenye timu yake ya sasa, mfano kutopewa play-time ya kutosha, posho, mkataba, usajili mbovu, sera mbovu nk
  3. Kutafuta changamoto kubwa zaidi mahali pengine
  4. Kwenda kwenye dream team mfano Hazard kwenda RM
  5. Kuwafuata jamaa na marafiki
  6. Mkataba kufikia mwisho wake - kuondoka kama mchezaji huru
Kante hayuko kwenye hizo sifa 5/6 hapo juu labda factor na. 5
Factor kubwa inayoipa au kuzipa timu nyingine nguvu ya kumfukuzia mchezaji ambaye wanamuona atawafaa ni factor na. 2, kulikuwepo na timu zilibip mwaka jana, nafikiri ni PSG lakini ndani ya no where walitulia tuli kwa sababu Kante ameridhika 99% kuwa Chelsea. Hii ya akina Hazard ni maoni yao tu
Kama Hazard ataweza kumuinfluence Kante na nguvu ya Hazard ikazidi marafiki zake walioko Chelsea na pia Maisha ya London kama inamboa yeye na familia yake anaweza kweli kwenda, ila sioni hilo kwa sababu Kante kajijenga na karidhika kuwa Chelsea na London.

Kwanza elewa kuwa Timu si Ndowa

Na hayo uliyoyasema yote kuwa Kante hana na ameridhika na Chelsea pamoja na London ni Maoni yako tu lakini si uhalisia kwani hujui noyoni mwake Kante anawaza nini? Ni yeye mwenyewe Kante ndiye anayewaza.

Kila Mchezaji anaposajiliwa na Timu Fulani basi husema ANAIPENDA TIMU HIYO NA YUPO PAHALA SAHIHI

Na ipo mifano wazi kwa baadhi ya wachezaji waliojisifia Timu kuwa Wameridhika nazo baadae Wakadai kuhama.

Mpira ni Biashara Ndugu! Hakuna asiyehitaji Hela!

Perezi akamuahidi Mshahara wa £350K na Mibonus ya kufa Mtu basi nayeye atasema kama alivyosema Hazard kuwa 'REAL IS MY DREAM TEAM'.

Tena wala usijidanganye kuwa karidhika na Maisha ya London! Mbele ya Pesa London inakuwa sawa na Gongolamboto.
 
Mwanasiasa katika ubora wako baada ya kushindwa kupambanua hoja yako kwa kigezo cha pesa na mbinu alizonazo Perez ndiyo kila kitu kwa kusajili mchezaji yeyote atayemtaka?

Wewe ndiwe ulitakiwa ukae kimya kabisa kama maji ya mtungini.
Kwani Mchezaji gani aliyewahi kusajiliwa kwenye Timu kwa Lazima?

Hata hawa Ronaldo, Courtosie, Hazard, Mata, Matic, Coutinho, Emre Can, Herrera, Ramsey, Mignolet, Griezman, Frank De Jong, Pepe, Pulisic, Lukaku n.k. si waliondoka wenyewe kwenye Timu zao?
Au walilazimishwa na Timu zilizowanunua kuwa waondoke bila ya ridhaa zao? Kwanini hawakukata Rufaa ya kusajiliwa kwa Lazima?
Mbona sajili zote Duniani wachezaji wanaondoka kwenye Timu kwa hiari yao? Au kuna sehemu nilisema Kante atalazimishwa na Real kwamba Lazima asajili kwenye Timu ya Real?

Yani ungelikaa kimya ungelificha mengi tusiyoyajua kuhusu wewe
 
Nakazia hiyo no 1 yupo yule Gwiji wa mbinu za ushawishi ambaye Mourinho humtumia sana kufanikisha usajili wa wachezaji aliokuwa akiwataka Mourinho kupitia yeye.

Lakini bado siyo kigezo kuwa kila mchezaji atayemtaka basi atakubaliwa kumsajili kwa 100%, tena hata huyo Perez ni pesa tu lakini bado anasubiri sana kwa ushawishi na mbinu za kusajili kwa huyo Gwiji wake Mourinho.
Mchezaji kuondoka kwenye timu kwenda nyingine kuna factor kama sita hivi
  1. Mtafutaji na mhamaji na tamaa tu, hana professionalism ndani yake mfano Sanchez kwenda Man U
  2. Haridhiki kuwepo kwenye timu yake ya sasa, mfano kutopewa play-time ya kutosha, posho, mkataba, usajili mbovu, sera mbovu nk
  3. Kutafuta changamoto kubwa zaidi mahali pengine
  4. Kwenda kwenye dream team mfano Hazard kwenda RM
  5. Kuwafuata jamaa na marafiki
  6. Mkataba kufikia mwisho wake - kuondoka kama mchezaji huru
Kante hayuko kwenye hizo sifa 5/6 hapo juu labda factor na. 5
Factor kubwa inayoipa au kuzipa timu nyingine nguvu ya kumfukuzia mchezaji ambaye wanamuona atawafaa ni factor na. 2, kulikuwepo na timu zilibip mwaka jana, nafikiri ni PSG lakini ndani ya no where walitulia tuli kwa sababu Kante ameridhika 99% kuwa Chelsea. Hii ya akina Hazard ni maoni yao tu
Kama Hazard ataweza kumuinfluence Kante na nguvu ya Hazard ikazidi marafiki zake walioko Chelsea na pia Maisha ya London kama inamboa yeye na familia yake anaweza kweli kwenda, ila sioni hilo kwa sababu Kante kajijenga na karidhika kuwa Chelsea na London.
 
Kwanza elewa kuwa Timu si Ndowa

Na hayo uliyoyasema yote kuwa Kante hana na ameridhika na Chelsea pamoja na London ni Maoni yako tu lakini si uhalisia kwani hujui noyoni mwake Kante anawaza nini? Ni yeye mwenyewe Kante ndiye anayewaza.

Kila Mchezaji anaposajiliwa na Timu Fulani basi husema ANAIPENDA TIMU HIYO NA YUPO PAHALA SAHIHI

Na ipo mifano wazi kwa baadhi ya wachezaji waliojisifia Timu kuwa Wameridhika nazo baadae Wakadai kuhama.

Mpira ni Biashara Ndugu! Hakuna asiyehitaji Hela!

Perezi akamuahidi Mshahara wa £350K na Mibonus ya kufa Mtu basi nayeye atasema kama alivyosema Hazard kuwa 'REAL IS MY DREAM TEAM'.

Tena wala usijidanganye kuwa karidhika na Maisha ya London! Mbele ya Pesa London inakuwa sawa na Gongolamboto.
Sometimes pesa inashindwa vile vile, mbona Diego Costa, Messi wamehitajiwa sana na timu za China kwa madau makubwa sana ya pesa mingi mingi lakini bado tu walizikataa hasa hasa D'Costa hadi akaamua kurudi tu A'Madrid kuliko kwenda China?
 
Sometimes pesa inashindwa vile vile, mbona Diego Costa, Messi wamehitajiwa sana na timu za China kwa madau makubwa sana ya pesa mingi mingi lakini bado tu walizikataa hasa hasa D'Costa hadi akaamua kurudi tu A'Madrid kuliko kwenda China?

Sapain na England kuna Mambo 3
√ Makombe
√ Status
√ Pesa

China kuna Jambo moja tu
√ Limited Pesa

Kwanini nimesema pesa za China ni Limited?
Ukiwa unapokea £700K per week means utakjwa limited hapohapo kwenye 700K without bonuses na Mikataba Minono ya kina Adidas, Puma na Makampuni mengine ya kibiashara.

Lakini unapokuwa Spain au Uengereza unapokea £400K basi kuna Mibonuses kibao, Kuna Mikataba wanayoingia na Makampuni ya Kibiashara. Hatimae Mchezaji anaweza chukua Hela nyingi kuliko huko China.

Na kuna Makombe, pia Kuna kijenga Status kama aliyonayo huyo messi na Diego Costa.
Mtazame Oscar baada ya Kwenda China Status Yake imwishia wapi? Hata hajuilikani tena kama bado ni Mchezaji.

Kwahiyo Messi hakukataa kwenda China kwasababu hataki pesa! Pesa anayoipata Spain ni kubwa pia kwahiyo kaona bora abaki Spain kwasababu nilizozitaja hapo juu.

Kwahiyo Kante kwenda Spain kwa kuekewa Dau kubwa la Mshahara na Bonuses inawezekana kwani Kama Makombe kule atabeba, Na Status Yake itazidi kuwa juu.
 
Man u kibonde namna hii alitufungaje?

Nasikitika sana

Alituotea mno

Sijui tukirudia kama ataweza tufunga!
 
Back
Top Bottom