Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Thubutuuu.haaaaa umenifurahisha sana. Ivi mara ya mwisho kubeba kikombe ilikuwa mwaka gani vile

th.jpg


Mara ya mwisho kuchukua kombe huu ulikuwa mwonekano wa Coutinho
 
Unajua watu hawakukosea kusema Maji hufata mkondo.

Conte sio kocha Mwenye kupenda vurugu au magomvi au bifu za kipuuzi. Sasa mkiwa na manager Wa hivyo lazima Ata nyie staff wake muwe hivyo.

Ni kweli kabisa hapa unanikumbusha El Classico Mourinho akiwepo
 
Ni kweli kabisa hapa unanikumbusha El Classico Mourinho akiwepo
Kuna kocha msaidizi Wa Barca alipigwa kibao na Mourinho.... sasaivi nafikiri huyo kocha ni marehemu baadae alipewa timu ya Barca akawa manager kamili. Mourinho akiwa anampiga kibao huyo mtu huku Pepe na Ramos wanapiga watu.... kuwazuia ilikua shida. Baada ya hapo Jose akatolewa ktk bench la ufundi akapandishwa juu ktk ngazi akakaa hapo chini ya ulinzi Wa askari wawili.

Kwakweli huyu Baba Yetu Mourinho ni kiboko. Ingawa Mimi naweza kusema wao humchokoza na hua hakubali Sasa akichokozwa.

Juzi juzi tu kapiga teke kidumu cha maji uwanjani na FA walivyo hawana dogo wamemshushia adhabu. Ni kz sn.......
 
Lkn mkuu Ata upande Wa Moses nao ulikua hivyo. Tena kuna wakati niliona km Moses na Alonso hawakupanda kabisa mbele na kufanya ile line ya mabeki kua na watu watano.

Conte anawazuia wasipande hawa jamaa hovyo ktk baadhi ya game hasa hizi game kubwa kubwa.
Uko sahihi kiongozi!
Wachezaji hufuata maelekezo ya kocha wawapo uwanjani
 
Uko sahihi kiongozi!
Wachezaji hufuata maelekezo ya kocha wawapo uwanjani
Unajua ukimtizama Conte utaona huyu kitu asichokipenda ni kupoteza na kwa huu mfumo wake yani unakua adjustable kutokana na nguvu ya adui alivyo. Adui akiwa na nguvu sn Basi unakuta goma liko solid defensive hapo back line lazima iwe 5-4-1 na adui aikiwa legelege Basi huko mbele kutakua 3-2-5. Yani iko ki defensive sn maana.
 
Unajua ukimtizama Conte utaona huyu kitu asichokipenda ni kupoteza na kwa huu mfumo wake yani unakua adjustable kutokana na nguvu ya adui alivyo. Adui akiwa na nguvu sn Basi unakuta goma liko solid defensive hapo back line lazima iwe 5-4-1 na adui aikiwa legelege Basi huko mbele kutakua 3-2-5. Yani iko ki defensive sn maana.
Umenena vema Ntuzu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom