lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,485
Nafikiria sasa nianze kuwa na wewe, unaonaje?Mkuu,wewe upo na Poche tu![]()
Nafikiria sasa nianze kuwa na wewe, unaonaje?Mkuu,wewe upo na Poche tu![]()
Yaani mkuu kila siku unamnanga tu PocheNafikiria sasa nianze kuwa na wewe, unaonaje?
Natamani nianze kukunanga ila sina taarifa zako hata chembeYaani mkuu kila siku unamnanga tu Poche
Yaani kipochi hapumui aisee😂
Mimi nipo na Liver Mkuu,
Karibu tuwe wote Liverpool.
Taarifa zangu ni kwamba Liverpool tuna Carabao cup hadi muda huu ambapo hadi sasa hakuna timu nyingine ina kikombe mkononi.Natamani nianze kukunanga ila sina taarifa zako hata chembe
Nione basi hata inbox nikufahamu zaidi
Unakwepa mada wewe bibie!Taarifa zangu ni kwamba Liverpool tuna Carabao cup hadi muda huu ambapo hadi sasa hakuna timu nyingine ina kikombe mkononi.
Hivi mpo namba ngapi kwenye msimamo wa league?Unakwepa mada wewe bibie!
Unakwepa madaHivi mpo namba ngapi kwenye msimamo wa league?
Mada ilikuwa masimango yako dhidi ya Mtaalam PocheUnakwepa mada
Nisaidie kutazama msimamo wa ligi MkuuMsimamo nimeshindwa kuutazama
Yanga anaongozaNisaidie kutazama msimamo wa ligi Mkuu
YES, ila nikaona sasa nikuanze wewe kama wewe ila mambo yako siyajui, natamani uniinbox hata mambo yako binafsiMada ilikuwa masimango yako dhidi ya Mtaalam Poche
KhaaYanga anaongoza


Kunangwa siogopiYES, ila nikaona sasa nikuanze wewe kama wewe ila mambo yako siyajui, natamani uniinbox hata mambo yako binafsi
Je umeolewa, una watoto wangapi, unapendelea nini, unalala saa ngapi, unaishi wapi NK. Haya mambo huwezi nipa hapa utanangwa na wengi

Sikutaka hapa maana hadithi ikiendelea sana watoto waliomo humu hawatakiwi kuisoma we shangaziKunangwa siogopi
Nipo maporini huku Mkuu nanjilinji
Watoto wengi ninao,
Na member wengi humu ni umri wa wanangu...ni shangazi,nalala muda wowote nikiamua.
Mimi natwanga ugali asubuhi mchana na usiku.
Haya,,,kwako ustaadh lembu.
Mwaga yako sasa,hata pm yamwage tu.