Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mna timu nzuri, mtatisha mwaka huu. Mimi man u damu bt leo ilikua roho mkononi, tumewabahatisha tu ndo kweli. Hamkua na bahati. Game ya stamford nadhan nitawah kulala!
 
Mna timu nzuri, mtatisha mwaka huu. Mimi man u damu bt leo ilikua roho mkononi, tumewabahatisha tu ndo kweli. Hamkua na bahati. Game ya stamford nadhan nitawah kulala!

Roho mkononi kwa game ipi? Mbona ilikuwa kawaida sana? Isije kuwa umehamia Man U kutoka Arse'nane (joking eeeh..!).
 
Hiki kijiwe kinazidi kupoteza wanachama kuanzia Sanda Matuta,Invisible,Mvina,Rev Kishoka,Rev Masanilo,Maxence Melo,AB Tchaz ,Farida na wengine kibao popote mlipo tunaomba mrudi mbona jirani zenu Arse8 pamoja na vipigo bado wapo
 
Poleni watani kwa kichapo....mechi ilikuwa nzuri sana..nakubaliana na wenzangu apo juu, it was tht open for any team kuja na ushindi.
 
Unafiki na kujikomba komba kwa mafioso khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee wamechezea kichapo na bado watakoma ubishi ..... ..... ...kama hawawezi kufunga wakati golini hakuna kipa watafunga magoli ya namna gani? Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ati timu yoyote ungeshinda ..... .... stupid explanation ya Peas of ant.
 
splash-manu2_1377783a.jpg



Khe khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

 
article-2039127-0DF6DF1600000578-922_468x385.jpg


Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Meerkats_01_1372440a.jpg


AVB Failed to fit the boot
khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
article-0-0DF7241000000578-864_468x379.jpg


Tor the res ... . ....


article-2038938-0DF9D51C00000578-472_468x286.jpg



Peas of ant would have done it better
with the help of
Invisible Mungiki Brother .... ...
khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
dah.. unaakil kama m2mbwi coz sometymz unaenda wenyewe. nachokuomb we n kjana mdogo sana uckalibishe matatzo coz presha nje nje, karbu Man U... Uktaka jezi pia nfahamishe.
 
Poleni sana wazee wa darajani!...Red Devils Hatushikiki, ni vichapo tu tunatembeza!!...ha ha ha
 
Poleni sana wazee wa darajani!...Red Devils Hatushikiki, ni vichapo tu tunatembeza!!...ha ha ha
Belinda kila chelsea ikifungwa lazima uje utoe pole, asante sana kwa moyo wako wa upendo. ingawa sina uhakika hii pole ni dhati au laa.
 
Hiki kijiwe kinazidi kupoteza wanachama kuanzia Sanda Matuta,Invisible,Mvina,Rev Kishoka,Rev Masanilo,Maxence Melo,AB Tchaz ,Farida na wengine kibao popote mlipo tunaomba mrudi mbona jirani zenu Arse8 pamoja na vipigo bado wapo

Belo,

Hakuna pa kujificha wala kuleta vijisababu kama Kwasa Wacha... ni heri hata Mbu, Wenge Musica na Balantanda hukubali gobole likitopa risasi hewa.

Tulizidiwa na ukizingatia Pak, Giggs, Rio, Vidic na wengine regular hawakucheza na tukapelekwa mchakamchaka, sitatoa visingizio vya Wacha!
 
Belo,

Hakuna pa kujificha wala kuleta vijisababu kama Kwasa Wacha... ni heri hata Mbu, Wenge Musica na Balantanda hukubali gobole likitopa risasi hewa.

Tulizidiwa na ukizingatia Pak, Giggs, Rio, Vidic na wengine regular hawakucheza na tukapelekwa mchakamchaka, sitatoa visingizio vya Wacha!

Yalikuwa makosa makubwa sana kumuondoa Jose Murinyo sasa timu inasuasua vibaya sana lakini bado mna afadhali sana ukilinganisha na sisi tulio mkiani.
 
Yalikuwa makosa makubwa sana kumuondoa Jose Murinyo sasa timu inasuasua vibaya sana lakini bado mna afadhali sana ukilinganisha na sisi tulio mkiani.

Aisee, Lamps kabainika ni mchoko na so is Terry! Ashley pamoja na kuwa kijeba, lakini bado mzima. What I do not get ni kuwa kabla ya Valencia kuingia, mipira haikupandishwa hata kidogo kushoto (right full back ya Man) au katikati.

AVB lazma kajifunza somo, asicheze na SAF! Kama hakuona alichofanyiwa AW, basi arudie ule mkanda na arekebishe midfield na hasa aliyekuwa akisaidiana na Ashley maana magoli yote yalipita kwa beki tatu ambaye alikuwa akipanda na kushuka!

Kwenye finishing, jamaa wetu wanabidi wajifunze kulenga shabaha, hata kwenye mechi na Fulham bado mkao wa analenga, analenga haujakaa sawa!

Tunauguza vidonda, Swansea wikiendi hii, tuone kama tutawanyuka kidhati au tutachechemea!
 
Yalikuwa makosa makubwa sana kumuondoa Jose Murinyo sasa timu inasuasua vibaya sana lakini bado mna afadhali sana ukilinganisha na sisi tulio mkiani.

I beg to differ with u BAK..Andre Villas ni kocha mzuri kwa kweli n i dont regret kumuondoa Mourinho though he played a very big role in Chelesea's success.
 
Belo,

Hakuna pa kujificha wala kuleta vijisababu kama Kwasa Wacha... ni heri hata Mbu, Wenge Musica na Balantanda hukubali gobole likitopa risasi hewa.

Tulizidiwa na ukizingatia Pak, Giggs, Rio, Vidic na wengine regular hawakucheza na tukapelekwa mchakamchaka, sitatoa visingizio vya Wacha!

Sikujua kama na wewe upo kwenye group la kujikombakomba.


c06_12_682x400_1379806a.jpg


Kamuuguze huyu chacha khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeee
 
Andre Villas-Boas hails ‘superhuman' Chelsea

Chelsea 0 Fulham 0 (aet, Chelsea win 4-3 on pens)



avb_1379833a.jpg





SQUATTER'S RIGHTS ... AVB has the best seat in the house

Meerkat kaamua kulalamikia marefa khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee chacha kama ni masupa human ya nini kulialia kama chiriku?


 

Similar Discussions

Back
Top Bottom