Mzee hapo nimesema nachukua Mickey Mouse sijasema UEFA. Halafu kuhusu kuchukua tena UEFA kwa msimu huu sahau baba la baba. Kati ya hawa kuna bingwa hapa.Kombe gani atakalobeba msimu huu?
Ungekubali kuenda Uropa waliko 3rd Class Teams basi ningelimpa guarantee ya kubeba Uropa Mickey Mouse Cup kwasababu mungelizinyanya hizo Timu za 3rd Class kama last season.
Lakini kwa kiherehere chenu cha kung'ang'ania UCL ambako kuna Magiant kama Liverpool walio na uhakika wa kucheza Fainali basi usitegemee chochote msimu huu coz na Hizo Mickey Mouse Cups za Carabao na FA Guardiola anakufa nazo.
Nilikosea hapo kwa Perisic mkuuLampard kacomfirm Kante hawezi kuanza,Rudiger atakuepo kesho.
Halafu unachanga Perisic na Pulisic
Mzee hapo nimesema nachukua Mickey Mouse sijasema UEFA. Halafu kuhusu kuchukua tena UEFA kwa msimu huu sahau baba la baba. Kati ya hawa kuna bingwa hapa.
~MANCHESTER CITY
~JUVENTUS
~BAYERN MUNICH
Kwani msimu gani muliowahi kusema Liverpool anabeba Ubingwa?
Labda kwanza tuanzie hapo
Perisic ndio nani tena?Christensen, Kante na Willian hawawezi kuanza kesho nafikiri. Kovacic, Perisic, na Zouma wataanza instead.
Perisic ndio nani tena?
Odoi atacheza wap pale Liverpool timu yenu imekamilikaHuyu atafuata Nyayo za Sturridge tu!
Liverpool haibebi Makombe, Lakini Strurridge aliikimbia Chelsea inayobeba Makombe akaja Liverpool isiyobeba Makombe hatimae tukamzawadia UCL.
Na huyu siona Lampard akimuanzia kila mechi kama kina Pulisic, Mount, Abraham wataendelea kuwa On Fire!
Kwahiyo natarajia sana hatoongeza Mkataba mpya na hatimae atamfata Kakayake Sturridge kuja Liverpool kupata Minutes nyingi zaidi na Kubeba UCL
Ulisoma post # 63328, au uliiruka?Perisic ndio nani tena?
Huyu atafuata Nyayo za Sturridge tu!
Liverpool haibebi Makombe, Lakini Strurridge aliikimbia Chelsea inayobeba Makombe akaja Liverpool isiyobeba Makombe hatimae tukamzawadia UCL.
Na huyu siona Lampard akimuanzia kila mechi kama kina Pulisic, Mount, Abraham wataendelea kuwa On Fire!
Kwahiyo natarajia sana hatoongeza Mkataba mpya na hatimae atamfata Kakayake Sturridge kuja Liverpool kupata Minutes nyingi zaidi na Kubeba UCL
Sturidge aliondoka Chelsea kwa sababu ya ushindani wa namba hakuondoka akiwa mchezaji muhimu kiivyo. Hata alipoondoka alikua ametoka kuchukua UEFA kwa hiyo ikawasaidia na nyie mkanukia kupitia yeye na ndio mkashinda.Huyu atafuata Nyayo za Sturridge tu!
Liverpool haibebi Makombe, Lakini Strurridge aliikimbia Chelsea inayobeba Makombe akaja Liverpool isiyobeba Makombe hatimae tukamzawadia UCL.
Na huyu siona Lampard akimuanzia kila mechi kama kina Pulisic, Mount, Abraham wataendelea kuwa On Fire!
Kwahiyo natarajia sana hatoongeza Mkataba mpya na hatimae atamfata Kakayake Sturridge kuja Liverpool kupata Minutes nyingi zaidi na Kubeba UCL