Sidhani kama trophies za ndani zinachangia kwenye coefficient factors za UEFA. It count zero to the ranking
Ni ligi mbili tu zinachangia ambazo ni UCL na Europa
Mfano kuchukua kombe haina point yeyote bali kushinda mechi ina point 2 na draw point 1 kwa UCL na Europa, ukifungwa unapata bonus point ya hiyo stage tu
Mfano bonus point ya Group stage ni 4 kwa UCL na 2 kwa Europa
Last 16 ni 5 kwa UCL
NB: third qualifying round elimination haina point kwa sababu timu zinazoondolewa kwenye hiyo round wanaenda moja kwa moja kushiriki Europa league group stage

Mfano Liverpool alipomfunga Spurs fainali alipata point 1 ya kushiriki fainali na point 2 za kushinda mechi
Spurs wao walipata point 1 ya kushiriki fainali tu
Mfano mwingine
Barcelona walipomfunga Liverpool nyumbani walipata point 3, 1 ya ushiriki na 2 ya kushinda
Liverpool walipomfunga nyumbani tena na wao LIver walipata points 3, 1 ya ushiriki na 2 za ushindi

Quarter final , semi final na final zina bonus point moja moja kwa ligi zote mbili

Criteria zote hizo hapo chini

Champions League points

AchievementPoints
First qualifying round elimination0.5
Second qualifying round elimination1
Group stage participation4
Win (group stage or later)2
Draw (group stage or later)1
Last-16 participation5
Quarter-final participation1
Semi-final participation1
Final participation1
Europa League points
AchievementPoints
First qualifying round elimination0.25
Second qualifying round elimination0.5
Third qualifying round elimination1
Play-off elimination1.5
Group-stage participation minimum*2
Win (group stage or later)2
Draw (group stage or later)1
Quarter-final participation1
Semi-final participation1
Final participation1
 
Chelsea duo Callum Hudson-Odoi and Reece James are set to step up their returns from injury on Friday in the club's Under-23s match against Brighton.
 
Chelsea duo Callum Hudson-Odoi and Reece James are set to step up their returns from injury on Friday in the club's Under-23s match against Brighton.

Huyu Odoi Msimu huu kama hajapata dakika za kutosha basi atatimkia Liverpool
 
Yani nyinyi kwa kujiokotea vijipost vya chochoroni mukavifanya ndiyo reference zenu hamuwezekani!!!!

Halafu tukiwachallenge baazi ya washabiki wenzake wanaanza kutuattack kwa kituita "HATUNA AKILI" "MAZUMBUKUKU" "HATUJIELEWI" "HATUJUI KITU" "HATUNA LOLOTE" !!

Hivi hata hutilii wasiwasi hutilii doubt hiyo screen shot kumueka Barcelona kwenye kundi la G.O.A.T ?

Hapo G.O.A.T ni Real Madrid tu pekeyake.

Huyo Barcelona ni wakawaida sana! Ni sahihi kuwa anaingia kwenye kundi la GIANTS.

Nenda kwenye Link ya UEFA utaona Ranking zao mpya walizotoa zipo hivi ↓↓

1/ Real Madrid

2/ Atletico Madrid

3/ Barcelona

4/ Bayern Munich

5/ Juventus

6/ Man City

7/ PSG

8/ Liverpool

9/ Arsenal

10/ Man United

Nilitaka kujiuliza kwanini kuna timu zipo mbele ya Liverpool hapo? Lakini nikahisi pengine ni kwasababu ya kubeba Domestic cups za Ligi zao mfululizo.

Lakini still najiuliza Kwanini Real na Atletico wapo hapo juu kwa hii current Ranking!!!!!!
Ndugu Ngwaba, domestic cups hazichangii lolote
Mfano Athlentico Madrid amepata pointi nyingi kwa sababu ya kushiriki mara zote ndani ya miaka mitano UEFA ambayo ndio yenye point nyingi na pia wakafika mbali. Unavyoshiriki UEFA na kufika mbali mara nyingi unajichukualia point nyingi kwa sababu kila stage ina bonus point na kila mechi unayoshinda ina point hata zile za draw zina point.
Liverpool haijashiriki msimu mmoja ndani ya miaka mitano na pia pale iliposhiriki ilitolewa mapema ukiacha hii misimu miwili ya 2017/18 na 1018/19 ambayo ndio imejipatia point nyingi
Nilipost jinsi point zinavyotolewa maana ilibidi nifuatilie baada ya kuona Chelsea imetupwa mbali pamoja na mafanikio ya EUROPA mwaka jana kumbe kombe ukichukua haina point bali mechi ulioshinda ndio ina point 2 tu ndani ya miaka mitano Chelsea ilikosa moja na pale iliposhiriki ilitolewa mapema na ndio maana haina point nyingi
Mfano mwingine
Timu ikishiriki UEFA mpaka last of 16 inapata point sio chini ya 20 to tofautu na timu inayoishia kwewnye group stage ikijitahidi sana sana ni point6 au 7 tu
 
Lampard
FB_IMG_15683684563778676.jpeg
 
Akija Liverpool anauhakika wa kubeba CL kuliko kubaki Chelsea akawa na uhakika wa kubeba Mickey Mouse Cups
Huyu dogo ana miaka 18 unataka aubiri miaka 15 mpaka 30 tena aje abebe kombe lingine? Yaan abebe akiwa na miaka 30+ na wakati msimu huu anaenda kunyanyua kombe lingine huku wewe hata mickey mouse cup utaendelea kuitolea macho
 
Predicted starting XI against Wolves Tomorrow
  1. Kepa
  2. Alonso
  3. Christiansen
  4. Rudiger
  5. Azpilicueta
  6. Barkley
  7. Jorginho
  8. Kante
  9. Mount
  10. Tammy
  11. Willian
Christensen, Kante na Willian hawawezi kuanza kesho nafikiri. Kovacic, Perisic, na Zouma wataanza instead.
 
Huyu dogo ana miaka 18 unataka aubiri miaka 15 mpaka 30 tena aje abebe kombe lingine? Yaan abebe akiwa na miaka 30+ na wakati msimu huu anaenda kunyanyua kombe lingine huku wewe hata mickey mouse cup utaendelea kuitolea macho

Kombe gani atakalobeba msimu huu?

Ungekubali kuenda Uropa waliko 3rd Class Teams basi ningelimpa guarantee ya kubeba Uropa Mickey Mouse Cup kwasababu mungelizinyanyasa hizo Timu za 3rd Class kama last season.

Lakini kwa kiherehere chenu cha kung'ang'ania UCL ambako kuna Magiant kama Liverpool walio na uhakika wa kucheza Fainali basi usitegemee chochote msimu huu coz na Hizo Mickey Mouse Cups za Carabao na FA Guardiola anakufa nazo.
 
Back
Top Bottom