Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hiyo ni general propaganda from any hater. Kepa kufanya a very important save na hiyo pekee ndio inayompa credit kwa sababu kufanya kwa wakati muhimu na kwa matokeo muhimu kwa Spain. Pia Kepa kamweka bench GK anayeonekana ni maridadi duniani na kwa hili maana yake sasa KJepa kaingia kwenye orodha ya Magolkipa maridadi duniani. Hiyo ya cleen sheet ni propaganda yako Arron
Degea kwasasa timu inamuangusha ,
 
Ampadu awa Man of the match kati ya Wales na Azerbaijan
Pamoja na performance ya timu ya Wales kuwa mbovu na kupata ushindi mwembamba wa goli 2-1, mashabiki wa Wales wamemsifia Ampadu akiwa ktk umri wa miaka 18 ameweza kucheza vizuri sana na kuisaidia timu yake kushinda 2-1 pale Katika mji wa Cardiff
 
Nimecheki mechi ya Belgium dhidi ya San Marino, pamoja na kufunga magoli mawili ila Batshuayi ana kosa kosa nyingi na kama vile ni striker ambaye yuko slow kwenye kurepsond to created chances, Angekuwa sharp angekuwa anafunga magoli mengi sana. Ndio maana Lampard bado anamtaka aongeza physics yake akiwa na mpira na asipokuwa na mpira. Akiongeza aggressiveness atakuwa striker mfungaji mzuri sana
 
Nimecheki mechi ya Belgium dhidi ya San Marino, pamoja na kufunga magoli mawili ila Batshuayi ana kosa kosa nyingi na kama vile ni striker ambaye yuko slow kwenye kurepsond to created chances, Angekuwa sharp angekuwa anafunga magoli mengi sana. Ndio maana Lampard bado anamtaka aongeza physics yake akiwa na mpira na asipokuwa na mpira. Akiongeza aggressiveness atakuwa striker mfungaji mzuri sana
Unachosema ni kweli kabisa, yan Batshuayi anawezakuwa anafanana na Benzema sometimes coz naye ana kiugonjwa hicho anahitaji kutengenezewa nafasi 4-6 ili apate goli moja. Hayuko sharp kwenye mipira ya ghafla anasubiri nafasi ikamilike yeye atupie sasa kwa hili naona kabisa anaweza kukosa namba na tunaweza kumpoteza January au dirisha kubwa la usajili kwa sababu alishasema hataki tena kutolewa kwa mkopo.
 
Ampadu awa Man of the match kati ya Wales na Azerbaijan
Pamoja na performance ya timu ya Wales kuwa mbovu na kupata ushindi mwembamba wa goli 2-1, mashabiki wa Wales wamemsifia Ampadu akiwa ktk umri wa miaka 18 ameweza kucheza vizuri sana na kuisaidia timu yake kushinda 2-1 pale Katika mji wa Cardiff
Ampdua ataimprove uko mbeleni atakuja kuisaidia timu
 
Kumbukumbu kidogo. Hii kitu ilifanywa na Chelsea iliyodharauliwa sana kipindi hicho mbele ya club bora na huu mwaka Messi alifunga magoli 91 lakini hakufunga goli hata moja katika mechi ya nyumbani na ugenini.

IMG_20190907_120444.jpeg
IMG_20190907_120441.jpeg
IMG_20190907_120450.jpeg
IMG_20190907_120925.jpeg
 
Degea kwasasa timu inamuangusha ,
Sidhani kama DeGea kaachwa na Moreno kwa sababu ya kufungwa kwa Man U. Kaachwa kwa sababu kiwango chake kimeshuka na sijui hizo paundi laki 500 anazotaka kama atazipata tena huku akiwekwa kama bakaup ya kipa anayelipwapaundi laki 190
 
Mkuu gorginho ni master katika pass tu, zaid ya hapo ni sawa na Shishimbi tu,

Ndio maana pep Alimuhitaji kwa ajili ya tiktak ,

Ila kiufundi kazidiwa na maestro ceballos , tunaandaa £50m tuwape madrid
Joghino unamfananisha na mchezaji gani apo arsenal?
 
Kumbukumbu kidogo. Hii kitu ilifanywa na Chelsea iliyodharauliwa sana kipindi hicho mbele ya club bora na huu mwaka Messi alifunga magoli 91 lakini hakufunga goli hata moja katika mechi ya nyumbani na ugenini.

View attachment 1200607View attachment 1200608View attachment 1200609View attachment 1200610
Kama hawaamini Pedro ni shahidi, kuna siku alielezea kuwa mechi hiyo iliwasumbua akili
Golini alikuwepo Petr Cech, Beki John Terry na Carhill, Kushoto Cole, Kulia Ivanovic, Mbele Lampard na Drogba na Torres muuaji wa dk ya 91
Barcelona wakiwa na masters wa dunia kuanzia
Puyol, Piqué, Mascherano, Xavi, Sergio Busquets, Andrés Iniesta, Lionel Messi, Alexis Sánchez, Cesc Fàbregas, Dani Alves
 
Kama hawaamini Pedro ni shahidi, kuna siku alielezea kuwa mechi hiyo iliwasumbua akili
Golini alikuwepo Petr Cech, Beki John Terry na Carhill, Kushoto Cole, Kulia Ivanovic, Mbele Lampard na Drogba na Torres muuaji wa dk ya 91
Barcelona wakiw ana masterr wa dunia kuanzia
Puyol, Piqué, Mascherano, Xavi, Sergio Busquets, Andrés Iniesta, Lionel Messi, Alexis Sánchez, Cesc Fàbregas, Dani Alves
Hii kidogo iniue kwa presha
 
Kama hawaamini Pedro ni shahidi, kuna siku alielezea kuwa mechi hiyo iliwasumbua akili
Golini alikuwepo Petr Cech, Beki John Terry na Carhill, Kushoto Cole, Kulia Ivanovic, Mbele Lampard na Drogba na Torres muuaji wa dk ya 91
Barcelona wakiw ana masterr wa dunia kuanzia
Puyol, Piqué, Mascherano, Xavi, Sergio Busquets, Andrés Iniesta, Lionel Messi, Alexis Sánchez, Cesc Fàbregas, Dani Alves
Nakumbuka JT alikula kadi nyekundu.

Hapa najaribu kutafuta picha za dressing room ya Chelsea hiyo siku.
 
Danny Drinkwater apata majeraha sio akicheza mpira au mazoezi bali akidandia wachumba wa watu wengine. Inasemekana kapewa kipigi hicho na mabaunza kama sita hivi na hivyo anaweza kuwa majeruhi kwa mwezi mzima ujao
Ikumbukwe kuwa Drinkwater yuko kwa mkopo Burnley baada ya kukosa namba kwa Sarri na sasa Lampard.
 
Jana France walipocheza na Albania Giroud alifunga goli. Giroud pamoja na umri wake mkubwa lakini bado ni mchezaji ambaye ni Zaidi ya striker. Anaendan na kasi ya Lampard kwa assists za haraka haraka kule mbele. Sijui kwa nini Lampard hampi nafasi
 
Lampard anataka kujenga timu kwa mabega yake mwenyewe. Seniors ninaowaona wakidumu kwa Lampard ni Pedro, Kante, Rudiger, Mateo, Barkley na Joginho; kutokana na attitude yao ya kujituma kwenye mazoezi na kudeliver uwanjani. Hawa akina Alonso, Willian wasipokaza tunaweza kuwasahau. Lampard hataki maringo na yeye ndo senior pale Chelsea hakuna aliye juu yake. Kwa hiyo ukileta ujinga anakuweka chini na anakupa sababu kwa nini hatokupa nafasi uwanjani.

Giroud atatumika kimkakati kwenye mechi zinazohitaji experience na leadership pale mbele. UEFA tutamuona lkn baadhi ya mechi za EPL tutamuona lakini nafasi yake haiko guaranteed maana Lampard yeye anaangalia jinsi unavyojituma uwanjani na output unayotoa.
Yeye hata akipigwa benchi hana la kupoteza maana mpunga anavuta mrefu na hata career yake ndo inafikia ukomo as a player.
 
HAYA MAISHA HAYAPO POA KABISA YANI KASEJA YUPO BONGO AFU PAZIA KEPA YUPO ULAYA KWELI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom