Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,078
- 7,422
Hahahaahahah!Chelsea ni Man Utd iliyochangamka,
Hatuna lelote.
Duuuh! We jamaa hii Comment umeua .
Hahahaahahah!Chelsea ni Man Utd iliyochangamka,
Hatuna lelote.
Hawa wanajitetea ati hawakuruhusiwa kusajili manure ndo ovyoChelsea ni Man Utd iliyochangamka,
Hatuna lelote.
Sijawahi kupoteza muda wangu kuangalia mechi ya Arsenal. Naangaliaga highlights tu kwa sababu sitegemei kuona vitu vya ajabu.Mimi wewe natamani tucheze game zote hapo hapo kwenu na unakufa si chini ya goli nne,ZUMA naye ni beki??? PEPE Nani atamkaba kwa uozo uliopo hapo, nakukaribisha kesho uone wanaume wanavyocheza mpira.
Kipigo gani unazungumzia?Leo Mkuu unatoa ushauri huu
Kweli kipigo kinafanya watu muwe na ushauri mzuri sana
Kama umeanza kuangalia mpira leo sibishani na wewe ukisema kipa mbovu. Beki anafanya blunders za kipuuzi unategemea utaona ubora wa kipa? Kinachonishangaza mnamsfia leo kesho mnamponda. Kipa mzuri beki hazimlindi tu.Lampard anajifunza
Boss hataki ingia hasara
Wachezaji wajinga
Kipa tuliiibiwa bora tungenunua kipa wa championship kuliko huyu fala
Yan Arsenal fan boys mna vituko sana. Sasa unaniponda mimi nina kikosi kibovu wewe una kikosi gani imara cha kuleta changamoto? Ningekuona wa maana ungemkazia Liverpool lakin ndio ukamuacha akapiga anavyotaka halafu unasimama mbele ya wanaume una kikosi cha maanaWapi Ollachuga Oc tomori Zuma mchomoa betri kepa kashapigwa goli ngapi hadi sasa ?
Mnafurahia kwenda UCL wakati mna kikos dhaifu


Wapi Ollachuga Oc tomori Zuma mchomoa betri kepa kashapigwa goli ngapi hadi sasa ?
Mnafurahia kwenda UCL wakati mna kikos dhaifu
Yan Arsenal fan boys mna vituko sana. Sasa unaniponda mimi nina kikosi kibovu wewe una kikosi gani imara cha kuleta changamoto? Ningekuona wa maana ungemkazia Liverpool lakin ndio ukamuacha akapiga anavyotaka halafu unasimama mbele ya wanaume una kikosi cha maana![]()
Hahaaaaa haaaaaa aisee huyu jamaaa huwa namfuatilia sana koment zake nikweli anakuwaga namatokeo na leo akipigwa anaanza kutoa lawama kwa unai tehe teheeMkuu bora kingGwaba atukejeli kuliko AROON.
Aroon ananguvu ya kukejeli lakini hana nguvu ya kupambana . Akifungwa tu utasikia Unai amepanga kikosi b. Ni mtu mwenye matokeo mdomoni siku zote
Kwahiyo wewe una kikosi kizuri? Maajabu haya ,Yan Arsenal fan boys mna vituko sana. Sasa unaniponda mimi nina kikosi kibovu wewe una kikosi gani imara cha kuleta changamoto? Ningekuona wa maana ungemkazia Liverpool lakin ndio ukamuacha akapiga anavyotaka halafu unasimama mbele ya wanaume una kikosi cha maana![]()
Sijakejeli nimeongea fact, hivi nani asiyejua Chelsea ana kikosi kibovu msimu huu au ukweli hamtaki kusikia? Mbona nimekuwa nikiwaambia toka preseason ,Mkuu bora kingGwaba atukejeli kuliko AROON.
Aroon ananguvu ya kukejeli lakini hana nguvu ya kupambana . Akifungwa tu utasikia Unai amepanga kikosi b. Ni mtu mwenye matokeo mdomoni siku zote
Doesn't it feel like defeat?Kipigo gani unazungumzia?
Mm sitembei na matokeo mfukuni,Hahaaaaa haaaaaa aisee huyu jamaaa huwa namfuatilia sana koment zake nikweli anakuwaga namatokeo na leo akipigwa anaanza kutoa lawama kwa unai tehe tehee
Kwahiyo wewe una kikosi kizuri? Maajabu haya ,
HahahhahaYani leo kama Hukushinda hawa Watu (Southern Highland na Ollachuga Oc ) watakufanya ujipige Ban kwenye Uzi wenu.