Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

We baragumu mpira hautafsiriki ivyo. Mechi yetu na wao ndio imeonyesha mapungufu yetu na mapungufu yao pia. Sisi tulikua tunapress lakini hatuzibi nafasi space zinakua kubwa mno na ndii maana ikipigwa counter moja imo. Timu yetu ilicheza kwa pressure kutaka kuwa prove watu wrong na ndipo Utd alipatia nafasi kutufunga.

Ngoja tukutane na hata nyie mtaona tutakacho wafanya.
Bado unahitaji mechi na sisi ??? Lampard alitakiwa awe msimamizi wa mazoezi, hio timu ni kubwa kuliko yeye, tatizo nyie vichwa ngumu hamuelewi
 
Lampard ndio makalio. Sub mbili za mwisho za kibwege. Si angeongeza hata beki na mtu wa kati tuulinde ushindi.
 
Yaani paka shelfield kapanda daraja jana tu lakini anapindua matokeo hapo BRIDGE, afu eti na nyie mnataka kushindana na City na liverpool, haahahahahaa!
 
Nashangaa watu wanalaumu kipa, nielewesheni katika magoli aliyofungwa leo, kosa lake liko wapi?
 
Shelfield anakudindieni hapo bado ujaenda kwa wakongwe wa ligi kama Everton ,Westham bado kuna wababe wolves,kuna Burnley, hhaaaaahaah!

hawa msimu huu ni mboga ya fundi
 
Mpaka muda huu ni man city na liver tu ndio wanaogombea ubingwa. Wwngine wote naona hawako serious.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom