milangomitatu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,469
- 1,167
Wewe umemfunga spurs na Arsenal kwao mwisho lini?Ondoa Anfield, Etihad hivyo vingine wanatambua shughuli yetu. Yan kwa kifupi ni wachumba hao
Wewe umemfunga spurs na Arsenal kwao mwisho lini?Ondoa Anfield, Etihad hivyo vingine wanatambua shughuli yetu. Yan kwa kifupi ni wachumba hao
Huwez kujibiwa , Kashajipiga ban ya wikiWewe umemfunga spurs na Arsenal kwao mwisho lini?
Hata beki ni mbovu, karibu kila mechi wanaruhusu goli 2.Lampard anajifunza
Boss hataki ingia hasara
Wachezaji wajinga
Kipa tuliiibiwa bora tungenunua kipa wa championship kuliko huyu fala
Mwaka huu Chelsea tutashuhudia ikirejea ilipotoka,nafas zake ni 10-15
Norwich & shefflied mmechukua point4,
Wolves, Leicester, westham, Burney,Watford, Everton
Mkikiwakazia hao ni droo au kipigo,
Top 6 mtawagawia WOTE point 4-6
Hivo mtaelekea nafas ya 10-15
Mi ni Chelsea fan lakini si mwenye mahaba hadi nipasue akili zangu kiivyo.Hata beki ni mbovu, karibu kila mechi wanaruhusu goli 2.


Mwaka huu Chelsea tutashuhudia ikirejea ilipotoka,nafas zake ni 10-15
Norwich & shefflied mmechukua point4,
Wolves, Leicester, westham, Burney,Watford, Everton
Mkikiwakazia hao ni droo au kipigo,
Top 6 mtawagawia WOTE point 4-6
Hivo mtaelekea nafas ya 10-15
HahaaaaaaaaaaaKibanda umiza hapa MAN U na CHELSEA wanabishana nani ni mbovu kuliko mwenzake, ni vituko aiseee, hahahahaha!
Man u anamwambia Chelsea tukikutana tena nakupiga tano.
Tulia mjombaWe hizo top umegawa point ngap?
We si nifunga 4 na kuchukua kombe mbele yako ? Kacheze na watoto wenzako huko alhamis
Nilikuona ,tena ukatahadhalisha ,ila Ollachuga akakupingaMi ni Chelsea fan lakini si mwenye mahaba hadi nipasue akili zangu kiivyo.
Man Utd aliposuluhu tu tayari nilishaenda kuwapa pole nikijua huu mwaka ni wa maumivu kwangu so napaswa kuwa mpole tu maana sitakuwa na jipya lolote zaidi ya kutapatapa tu![]()
Hasira zote hizi kazileta Zuma ,We ulibeba lini kombe la Wanaume epl na Arsenane yako?
Utabeba lini kombe la vidume UEFA CHAMPIONS LEAGUE?
Ficha ujinga wako ukiwa mpole kama vile unanyolewa.
Tatizo nawe ni muhanga ndiyomaana nakupinga, ungekuwa uko kwenye right track kama Tottenham ningekauka kama vile sina sautiHasira zote hizi kazileta Zuma ,
Mwaka huu mnamaliza nafas ya 10-15
