Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Naendelea na Chambuzi zangu kuhusu Chelsea

Iwapo mmeshindwa kuchukua point 6 mapema kabisa kwa Norwich & shefflied

Je kwa Wolves. Leicester. Watford ,astonvilla , Burney ,Everton ,westham , Newcastle Mtavuna nini ?

Top 6 kama kawaida kwa kikosi chenu mtagawa point 6-4 kwa kila mmoja.

Tukienda kwa mwendo huu kuna uwezekano Kufikia December Chelsea ikawa nafas za 10-15


Juhudi zisipofanyika haraka , tunaweza kushangaa mech za mwisho Chelsea ikapelekwa Championship .na Ollachuga Oc akajipiga ban ya maisha....

Wakati ligi haijaanza niliwaambia msimu huu mtapata taabu sana , kwa hii timu muwavizie waliopanda daraja mchukue 6 points mapema , mmeshindwa......


KARIBUNI LEO KUSHUHUDIA TUNACHOMFANYA SPURZ

PICHA CHINI NI WANAUME WATAKAOONGOZA MAUAJI LEO
arsenal_bongo-20190830-0001.jpeg
 
Sijawahi kupoteza muda wangu kuangalia mechi ya Arsenal. Naangaliaga highlights tu kwa sababu sitegemei kuona vitu vya ajabu.
Ok endelea kuangalia mechi za maana za kina ZUMA Vs shelfield & Norwich

Hapo mlikuwa mnacheza game za Championship na hao watoto bado wanawasumbua, next match vs Wolves,Liverpool,Soton. Haahaha! hii ndio EPL bhn .

Hii timu ni ya MOU mkuu, mrudisheni awaokoe, anaijua vizuri sababu kaianzisha yeye.
 
Ok endelea kuangalia mechi za maana za kina ZUMA Vs shelfield & Norwich

Hapo mlikuwa mnacheza game za Championship na hao watoto bado wanawasumbua, next match vs Wolves,Liverpool,Soton. Haahaha! hii ndio EPL bhn .

Hii timu ni ya MOU mkuu, mrudisheni awaokoe, anaijua vizuri sababu kaianzisha yeye.
Ila kweli mou ndio kaianzisha Chelsea ,

Kabla ilikuwa sawa na kina shefflied na sasa inarud ilipotoka ,

Huu msimu wasipofanya jitihada wanashuka daraja ,
 
Kweli nimeamini Chelsea ina plastic fans, mfano mzuri Ollachuga Oc hivi kweli shelfield wanakufanya ujipe BAN mkuu?
Kuna hatari akajipiga ban ya maisha iwapo jitihada za haraka hazitachukuliwa mapema , maana kama waliopanda daraja wanaokota point na magoli kwa Chelsea ,

Hao wakongwe wa ligi je, sikunakugombania kutokushuka daraja
 
Zouma anahitajika kuwa backup sijui ya Tomori na Christensen awe backup ya Rudiger, Azpi awe backup ya Reece James
Rudiger akirudi itakuwa afadhali na nashauri angecheza na tomori
reece naye akirudi Azpi apumzishwe umri effect umeanza mapema
hapo katikati mimi bado simuamini Jorgninho kwenye defensive phase mara afanye vizuri mara anaachia. Kiufupi mabeki hawako protected na DM, Kante pekee ndiye jibu. hata akichezaga kulia huwa anamsadia sana Jorginho na kumfanya Jo aonekane kucheza vizuri
Form ya Mount na Pulisic jana hazikuwa nzuri
Yaani hata yale magoli mawili jana mimi sikushangilia kwa sababu yalitokana na blunders za kijingajinga za hao Sheffield United (goli la kwanza blunder ya Kipa na Goli la Pili ni la mabeki kujichanganya mpaka wakamuachia Tammy mpira. Nilichofurahia kwa Tammy ni kwamba ni mshambuliaji anayejua kutumia hizo fursa zikitokea.
Hii international Break itatusaidia tukirudi angalau akina Kante, Pedro, Rudiger, CHO watakuwa fit kwa kucheza
 
Sijakejeli nimeongea fact, hivi nani asiyejua Chelsea ana kikosi kibovu msimu huu au ukweli hamtaki kusikia? Mbona nimekuwa nikiwaambia toka preseason ,

Sasa hata hao waliopanda daraja wanawakazia ,hata kutoa cleansheet mmeshindwa , mkikutana na mapapa je?

Ndio maana nahitimisha msimu huu mtaishia nafas ya 10-15
Hata mwaka jana tulikuwa na kikosi kibovu lakini tuliwafanya na tuliwafanyizia ile mbaya Europa mliitaji sana ili muingie UCL lakini tuliwanyima. Hasira zote hizi ni kwa sababu ya pale Baku
 
Mm sitembei na matokeo mfukuni,

Lawama kwa unai mech iliyopita hazikwepeki, ni Arsenal fans worldwide lawama zetu ni hizo hizo , na waandishi kwenye press wakamtandika maswali Yale Yale , na akaahidi Leo wataanza wanaume

Na Leo spurz tunamnyoa bila wembe
Arsenal hata aje kocha kutoka mbinguni na wachezaji kutoka peponi bado matokeo yatakuwa yaleyale
 
Hata mwaka jana tulikuwa na kikosi kibovu lakini tuliwafanya na tuliwafanyizia ile mbaya Europa mliitaji sana ili muingie UCL lakini tuliwanyima. Hasira zote hizi ni kwa sababu ya pale Baku
Hasira zipi mkuu, hutakagi nichambue ?

Mm ni mchambuz huru
 
Zouma anahitajika kuwa backup sijui ya Tomori na Christensen awe backup ya Rudiger, Azpi awe backup ya Reece James
Rudiger akirudi itakuwa afadhali na nashauri angecheza na tomori
reece naye akirudi Azpi apumzishwe umri effect umeanza mapema
hapo katikati mimi bado simuamini Jorgninho kwenye defensive phase mara afanye vizuri mara anaachia. Kiufupi mabeki hawako protected na DM, Kante pekee ndiye jibu. hata akichezaga kulia huwa anamsadia sana Jorginho na kumfanya Jo aonekane kucheza vizuri
Form ya Mount na Pulisic jana hazikuwa nzuri
Yaani hata yale magoli mawili jana mimi sikushangilia kwa sababu yalitokana na blunders za kijingajinga za hao Sheffield United (goli la kwanza blunder ya Kipa na Goli la Pili ni la mabeki kujichanganya mpaka wakamuachia Tammy mpira. Nilichofurahia kwa Tammy ni kwamba ni mshambuliaji anayejua kutumia hizo fursa zikitokea.
Hii international Break itatusaidia tukirudi angalau akina Kante, Pedro, Rudiger, CHO watakuwa fit kwa kucheza
Msimu huu lazima mmalize nafas ya 10-15
 
Mechi ya jana pamoja na watu wengi kumtuhumu Zouma hasa goli la pili, kuna tatizo kubwa sana kwa Captain wetu Apzi. Lampard asipolitanbua mapema hili litatughalimu. Magoli yote ya jana tulofungwa yameanzia kwake kushindwa kuzuia cross zisipigwe. Anageuzwa kirahisi sana. Na kuna taarifa kuwa kaongezeka uzito so yaweza kuwa kweli maana jana kazingua sana. May be dogo Reece James anaweza musaidia.
 
Ibramovic at 37 yo
49 appearances; 46 goals
Napoli wanamtaka haraka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom