Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

It happens to anyone na mm sijalaumu mtu. Ila nataka uangalie stats za msimu uliopita kwa mildfielders.
Stats zipi. Kumbuka sio kila stats data inamfanya mchezaji kuwa mzuri, kuna key stats. Jo mwaka jana alivyoanza kaanza vizuri lakini hapo katiklati labda kwa sababu ya uchovu hakuwa mzuri kabisa mpaka mechi tatu za mwisho ndipo akafufuka tena na kucheza vizuri sana mpaka Chelsea ika claim nafasi ya 3. Particulalry from Dec to April Jo hakuwa mzuri hata kama stats zinampendelea kwa sababu yeye ni key person akichoka akafanya blunder ndio maana Chelsea haikufanya vizuri tangu Dec. pamoja na bad form ya Alonso lakini pia Jo alikuwa so tired na wakati Fulani hata Sarri alikir kuwa Jo anachoka kwa sababu kila mechi alikuwa anacheza. Jo wa msimu huu at least kaanza vizuri regardless ya error niliyo-highlight
 
Timu za Pot 2 ndio hasaa changamoto.
IMG-20190827-WA0002.jpeg
 
Huko nyuma kuna fans baadhi humu JF walikuwa wakibisha kuhusu formations
Wengine walisema formation huwa haibadiliki wakati wote wa mechi
Mimi nasema formation ni arrangement tu ya wachezaji uwanjani. dynamic ya mpira inaamuliwa Zaidi na falsafa ya kocha
mfano Lampard falsafa yake ni high pressing na fast movement of the ball and the player with or without the ball
Kwa falsafa hii kila mchezaji anawajibika kuziba vacuum pale inapotokea bila kujali hiyo vacuum ni ya nani. Kwa hili unaweza kuta any midfields akishambulia au kudefend bila kujali kwamba ile shape ya formation itavurugika.
4-3-3 ya Sarri ni tofauti kabisa na 4-3-3 ya Lampard
Kwa Sarri Jorgninho alikuwa ni register, mchezaji anayeamua mpira uchezweje
Kwa Lampard hakuna register, midfields wote watatu wanaweza kuamua mpira uchezweje kwa maana kwamba wote wanadefend, wote wanatakle na kurecover mipira na wote wanashambulia. Wanacheza kwa uhuru na ndio maana Jorginho, Kovacic na Kante wanaweza kucheza vizuri wakati wa Lampard tofauti na Enzi za Sarri.
 
Stats zipi. Kumbuka sio kila stats data inamfanya mchezaji kuwa mzuri, kuna key stats. Jo mwaka jana alivyoanza kaanza vizuri lakini hapo katiklati labda kwa sababu ya uchovu hakuwa mzuri kabisa mpaka mechi tatu za mwisho ndipo akafufuka tena na kucheza vizuri sana mpaka Chelsea ika claim nafasi ya 3. Particulalry from Dec to April Jo hakuwa mzuri hata kama stats zinampendelea kwa sababu yeye ni key person akichoka akafanya blunder ndio maana Chelsea haikufanya vizuri tangu Dec. pamoja na bad form ya Alonso lakini pia Jo alikuwa so tired na wakati Fulani hata Sarri alikir kuwa Jo anachoka kwa sababu kila mechi alikuwa anacheza. Jo wa msimu huu at least kaanza vizuri regardless ya error niliyo-highlight
Angalia key stats unazozisema wewe. Maana kama hauna stats zinazoeleweka unakuwaje mchezaji wa maana?
 
Angalia key stats unazozisema wewe. Maana kama hauna stats zinazoeleweka unakuwaje mchezaji wa maana?
Stats za nini kwanza
Nazungumzia drop form ya mchezaji mwaka jana, Jorginho mapaka mashabiki mwaka jana walimchukia na walitaka aondoke kwa kuwa source mojawapo ya Chelsea kufanya vibaya Dec 2018-April 2019.
Mwaka huu Jorgninho ni mzuri na anahitajika Chelsea tena sana
Unakwepa wazo langu la msingi ni ku-rotate na Kovacic kwa sababu naye Kovacic is much better than Jo
Kwanini Kovacic? Mchezaji pekee anayeweza kumudu hiyo nafasi ni Kovacic au Kante apart from Jorginho
Kwa sababu Kante kawekwa kulia basi hapo katikati Kovacic anaweza kurotate na Jorginho kulingana na mechi
Huku kulia wabaki Mount na Barkley au RLC,
Hawa jamaa wa hii website wamewachambua vizuri aspect nyingi za uchezaji
Katika analysis hii
Kovacic ana points 491 vs 468 za Jorgninho
Kovacic VS Jorgninho 2019.png
 
Casper schmeichel(Leicester), Vicente Guaita(Crystal palace) na Jordan Pickford(Everton) kwa pamoja wameruhusu magoli 6 tu! ndani ya mechi 3.. jumla ya thamani yao ni €49 millions.
-
Kepa ameruhusu magoli 7 ndani ya mechi 3 na ikumbukwe tuliuziwa kwa thamani ya €80 millions.

Kweli Wajinga ndio tuliwao
 
Casper schmeichel(Leicester), Vicente Guaita(Crystal palace) na Jordan Pickford(Everton) kwa pamoja wameruhusu magoli 6 tu! ndani ya mechi 3.. jumla ya thamani yao ni €49 millions.
-
Kepa ameruhusu magoli 7 ndani ya mechi 3 na ikumbukwe tuliuziwa kwa thamani ya €80 millions.

Kweli Wajinga ndio tuliwao
Maumivu ya zile ngumi tatu zimeisha naona!
 
Casper schmeichel(Leicester), Vicente Guaita(Crystal palace) na Jordan Pickford(Everton) kwa pamoja wameruhusu magoli 6 tu! ndani ya mechi 3.. jumla ya thamani yao ni €49 millions.
-
Kepa ameruhusu magoli 7 ndani ya mechi 3 na ikumbukwe tuliuziwa kwa thamani ya €80 millions.

Kweli Wajinga ndio tuliwao
Mbaki kununua wachezaji wa £ 8M tutaona matokeo. Mechi tatu zisikupe kiwewe, subiri mechi 10 tuongee vzuri
 
Casper schmeichel(Leicester), Vicente Guaita(Crystal palace) na Jordan Pickford(Everton) kwa pamoja wameruhusu magoli 6 tu! ndani ya mechi 3.. jumla ya thamani yao ni €49 millions.
-
Kepa ameruhusu magoli 7 ndani ya mechi 3 na ikumbukwe tuliuziwa kwa thamani ya €80 millions.

Kweli Wajinga ndio tuliwao
Spurs anakusubiri we jishebedue tu hapa
 
AS Roma wanamtaka Batshuayi, Lampard anamtaka Batshuayi
Lampard on the crossroads
 
Batshuayi... pale hakuna mchezaji, chelsea wamuuze tu... ana shida nying, hawezi kukaba, mbio kwake finyu, ball control ndogo na sio goal targeter mzur... nazani abrahm na giroud wanatosha kbsa
AS Roma wanamtaka Batshuayi, Lampard anamtaka Batshuayi
Lampard on the crossroads
 
Mason Mount na Barkley wameitwa kikosi cha England kitakacho cheza na Cossovo na Bulgaria
 
Tusubiri droo za Eufa Leo. This is where we belong. Nilipoanza kuishabikia Chelsea mara nyingi inafika fainali, nusu fainali, au robo fainali. Akina Aaron wanapiga kelele lakini wanacheza EUROPA ambayo hata timu wanazocheza nazo majina hayajulikani
 
Tusubiri droo za Eufa Leo. This is where we belong. Nilipoanza kuishabikia Chelsea mara nyingi inafika fainali, nusu fainali, au robo fainali. Akina Aaron wanapiga kelele lakini wanacheza EUROPA ambayo hata timu wanazocheza nazo majina hayajulikani

Eti Uefa where you belong!
Wakati kushiriki hiyo CL yenyewe Chelsea imeanza mwaka 2000?
Kabla ya Hapo Chelsea ilikuwa sawa na Bolton haijui hata CL ni nini wakati wengine walishaichoka.

Hawa washabiki wa Chelsea bhana! Kwakutaka ugiant wa lazima wala wasiokuanao!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom