Timing tu mkuu. Mambo kama hayo kwenye soka yanatokeaHivi ilikuwaje man u akatufunga?, Timu mbovu vile, naona na leo kadoda tena
Hiko Kikosi cha mauaji kwa waliopanda daraja, ila ukikutana na wanaume unaliwa kama pie vile.HaahahahaKIKOSI CHA MAUAJIView attachment 1194282
HaahaaaWANAUME WAMEKAA WANAJADILI TIMU YAO, WEWE UNAPITA NA KANGA MOJA IMELOWANA MAJI
Chelsea ni timu mbovu sana, kufungwa na MUN hii tena goli nne ni aibu kubwaWANAUME WAMEKAA WANAJADILI TIMU YAO, WEWE UNAPITA NA KANGA MOJA IMELOWANA MAJI
We baragumu mpira hautafsiriki ivyo. Mechi yetu na wao ndio imeonyesha mapungufu yetu na mapungufu yao pia. Sisi tulikua tunapress lakini hatuzibi nafasi space zinakua kubwa mno na ndii maana ikipigwa counter moja imo. Timu yetu ilicheza kwa pressure kutaka kuwa prove watu wrong na ndipo Utd alipatia nafasi kutufunga.Inaonesha jinsi gani mlivyo wabovu, yaani wolves, palace,soton wote wamechukua point kwa MUN, ila nyie vichwa ngumu mkaliwa vinne, haahaha!
Mpira unatafsiriwaje?? ungemsaidia kocha wako kutafsiri ile mechi msipigwe nne na wabovu MUN.We baragumu mpira hautafsiriki ivyo. Mechi yetu na wao ndio imeonyesha mapungufu yetu na mapungufu yao pia. Sisi tulikua tunapress lakini hatuzibi nafasi space zinakua kubwa mno na ndii maana ikipigwa counter moja imo. Timu yetu ilicheza kwa pressure kutaka kuwa prove watu wrong na ndipo Utd alipatia nafasi kutufunga.
Ngoja tukutane na hata nyie mtaona tutakacho wafanya.
Nimeshakueleza hapo juu bado unaniuliza tena?Mpira unatafsiriwaje?? ungemsaidia kocha wako kutafsiri ile mechi msipigwe nne na wabovu MUN.
😂😂😂😂 "kama kijiko cha kulia ubwabwa"Walah Chelsea hii tamu
Muangalie jorginho pasi zake..halafu muangalie kovacic ule mguu wake kama kijiko cha kulia ubwabwa
WANAUME WAMEKAA WANAJADILI TIMU YAO, WEWE UNAPITA NA KANGA MOJA IMELOWANA MAJI




mkuu unanifurahisha na hii kali yako


