Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mambo kadhaa niliyogundua kwenye mchezo kati ya Chelsea dhidi ya Leicester City.
.
.
Yule beki wa kati wa klabu ya Leicester City, Caglar Soyuncu, ni moja ya beki mzuri ana umbo zuri la kucheza mpira ya juu Giroud, na Abraham, walikuwa wanapata wakati mgumu sana kucheza mpira ya juu
emoji119.png
nina asilimia 80 anaweza kuziba pengo la Harry Maguire.
.
.
Tangu msimu uliopita apewe timu Brendan Rodgers, ni mwalimu wenye falsafa ya kuchezea mpira kumiliki Leicester kutoka kwenye kucheza mpira direct football mpaka kwenye mpira wa possession football amenikumbusha alivokuwa akihifundisha Swansea ikapewa jina la Swansealona
emoji119.png
.
.
.
Kipindi cha kwanza Brendan Rodgers, alificha makucha yake kucheza kwa tahadhari kubwa na kuonekana na kumuacha Jamie Vardy, peke yake nyuma kama anazurura vile.
.
.
Maddison, yule anaevaa namba 10 wa Leicester City, ni mchezaji mzuri wenye spidi nguvu ana uwezo mkubwa ngome ya Chelsea, ilikuwa inapata wakati mgumu sana kumzuia.
.
.
Willian, bado ajawafiti ametoka majeraha mechi ilikuwa ina kasi sana muda mwingi alikuwa anachelewa kufanya maamuzi pale anapokuwa na mpira.
.
.
Kumtoa Jorginho, Frank Lampard, alifeli alikuwa anatuliza timu akiwa na umri kumuingiza Kovacic, maana yake anakwenda kuongeza nguvu ya kushambulia na kuwapa upenyo Leicester City.
.
.
Zouma naona anazidi kubadilika Siku hadi siku zinavosogea tofauti na mwanzo anaweza baadae huko mbeleni kuwa tishio.
.
.
Mwisho Lampard, unahitaji uwe na plan B kuanzia dakika ya 70 wachezaji wa Chelsea karibia wote walikuwa washachoka hii huenda ikakugharimu.

AROON
Tangu lini fisi akamshauri swala namana bora ya kumlinda mtoto wake
 
Wewe Jamaa ni wa ajabu sana. Hata Chelsea ingefunga si umesema? Hata ingefungwa, si ulisema? Maana mpira una matokeo matatu.

Tulia. Huu ni mwanzo tujipe muda
Hata mimi niliona kama ujuha kwa sababu yote yalikuwa matokeo possible, huyo angekuwa msoma nyota wateja wangemkimbia
 
Chelsea msife moyo kwa matokeo ya leo yaliyo sababishwa na. Istanbul effect.Mechi ya Jumatano na Liverpool dakika 120 na safari ya masaa 7 angani kurudi London wachezaji walichoka sana!
Hata Liverpool hajacheza vyema na Soton lkn tofauti ni kuwa sisi tuna Salah,Boby na Mane nyie hamna watu kama hao!
Kwa Norwich mtapata matokeo mazuri
 
Azpilicueta namuona akifuata nyayo za Garry Carhill
 
Kama kunayeyote anaesema hatujaupiga mwingi anyooshe mkono .. Au ajifanye kama anajikuna

Huyu Kepa Tumepigwa goli 5 mechi 2 bilbao mbna tunaibiana jaman
FB_IMG_1566186651819.jpeg
 
Chelseeee jana tumenusulika asee me paka nkawa nanogewa tu kushangilia leicester badala ya chama langu blues asee ligi ya EPL Tamu sanaa unaangalia mpira paka unaanza kushanglia upande wa 2
 
Chelsea player ratings
  1. Kepa - 6 - -No silly mistakes but he could have done more especially on the Ndidi header goal
  2. Azpilicueta – 5 - – Made James Maddison look far pacier than he is. Wasteful on the ball and will surely be dropped when Reece James returns. Note: Azpilicueta failed to make a block or an interception all game round.
  3. Christensen – 6
    – his last few performances have shown why Lampard must persevere him
  4. Zouma – 6
    – Similar to Christiansen. Antonio Rudiger will be a good upgrade of him in the few coming weeks.
  5. Emerson – 7
    – Kept Ayoze Perez quiet most of the game and that why Leicester targeted Azpilicueta’s side.
    Note: Emerson recovered balls more times (9) than any other Chelsea player.
  6. Kante - 7
    Blocked by Christian Fuchs from scoring in the first half to make Chelse aahead by 2-0
  7. Jorginho – 6
    - Failed to replicate the midweek strong performamnce against Liverpool
  8. Mount – 8
    Man of the match and Chelsea star man throughout 90 minutes. His intelligent ball robbing from Ndidi and smart goal score to make Chelsea ahead by 1-0 in the halftime.
  9. Pedro – 7
    Good running, shooting and caused a lot of problems in opponent side throughout
  10. Giroud – 7
    Made a huge impact from the start with clever touches to create chances for Pedro, Mount and Kante. However, no chances fell his way
  11. Pulisic – 6
    Signs of encouragement and he was busy as usual. Will improve with time.
  12. Tammy – 5
    Came on with Chelsea struggling and barely had a chance.
  13. Willian – 5
    It look like not yet fit for playing in the first team
  14. Kovacic - 5
    Looked sloppy with possession, Barkley could have done better

Leicester player ratings
Madison - 8
Ricardo Pereira – 8
Jonny Evans – 7
Çağlar Söyüncü – 7
Christian Fuchs – 7
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom