


We shabiki wa manure una dharau sana, hahahahahahaTofauti Kati ya maji maji na Chelsea ni Chelsea wapo London uingereza tu.. Maji maji ipo Tz
Vijana wenyew ndo kina Abraham!!!?Chelsea tunajenga timu ya vijana
Nimewaangalia Leicester, wako vizuri aiseeGame ya leo Chelsea alikuwa kama Andadogi maana huo msako naufananisha na Liverpool ya 2013/2014
Leicester ya Rodger itatutesa wengi![]()
Mechi 10 kufanya evaluation wenzio wanachukua point?? Pre season ulikuwa unafanya nini sasa
Dah tumia lugha nzuri usiwaudhi wenzako, chelmavi ndio nini?Vijana wenyew ndo kina Abraham!!!?
Haahaaa chelmavi
Mkuu watanie ila lugha nzuri tumia , halafu kesho kuna man u na wolvesTuzo ya kubwa jinga la wiki imechukuliwa tena na chelmavi kwa wiki ya pili mfululizo
Mount anaweza chenza Zaidi ya namab mojaMason Mount
Emerson
Kante
Azippilicueta
Pedro
Kepa
Ndiyo wenye uhakika na namba uwanjani. Maeneo mengine yaliyobaki bado Lampard hajapata watu. Je Loftus Cheek ataweza kum-outshine Mount?
Kituo kinachofwata kwa PUKKI
Huyu mzee atawapiga goli3 pekeake na kuondoka na mpiraView attachment 1184856


Uzuri siku hizi ukitoa hata draw unachekwa
Kamati imekuwa ya ajabuu kweli
Ila pia high pressing imekuwa too much. Chelsea wakipoteza mpira wanakuwa very vulnerable na hii ni kwa sababu ya too much pressing. Wachezaji wapress kawaida ili wakipoteza mpira waweze kurudi kwenye position huku wakiconserve energy - THIS IS VERY IMPORTANTTumefungwa wadau na hasa kipindi cha pili tumezidiwa na sababu hasa ni;
1. Wachezaji wametumia dk 120 kucheza dhidi ya timu nzuri katikati ya wiki
2. Leicester ni timu nzuri na inacheza vizuri hasa katikati
3. Leicester wana kocha mzoefu anayejua kucheza mechi kubwa.
Mimi kwangu bado naona huu ni mwanzo kujua kama timu ni nzuri mbaya. Nimejipa mechi 10 kufanya evaluation.