Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

We wacha1 uko Alaska kuna emirates stadium au home games gani hizo unazozungumzia?


Mwoga tu huyo, anazuga kwamba ni season ticket holder ndio maana mechi za Arsenal hawi jamvini....khe khe kheeeeeeeeeeeeee!!!!
 
Cheers mate! I just don't understand why should we labour to win this type of match! Anyway, this why EPL is very exciting!

ooooohh yes u r excited......But not as Chelsea Manager AVB...........
 
Japo timu imeshinda lakini kazi ipo, timu hipo slow sana
 
Mwoga tu huyo, anazuga kwamba ni season ticket holder ndio maana mechi za Arsenal hawi jamvini....khe khe kheeeeeeeeeeeeee!!!!

Twambie ukweli wewe basi? Khe khe khe khe khe niliona unalialia kama chiriku wakati mpo 1 down chacha pata magoli ya mdondo kono mbele. Its only West Brown new comers tena wana bahati mbaya maana Fungie baada ya kupanga ratiba alitaka mpate mchekeo mwanzo mwanzo lakini kwa mpira wenu mwaka huu tutaona mtakapofika mwambieni mafioso aongeza dau oops unene wa bahasha. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee
 
Twambie ukweli wewe basi? Khe khe khe khe khe niliona unalialia kama chiriku wakati mpo 1 down chacha pata magoli ya mdondo kono mbele. Its only West Brown new comers tena wana bahati mbaya maana Fungie baada ya kupanga ratiba alitaka mpate mchekeo mwanzo mwanzo lakini kwa mpira wenu mwaka huu tutaona mtakapofika mwambieni mafioso aongeza dau. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee


Unakumbuka waliwafanya nini hapo Emirates msimu jana?
 
Hongereni watani...
West Brom ni new comers? Weh Wacha1 weh.

Ulijifunza ki-english ngumbaru nini? khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Which truth?! Nina hakika ni wengi tu hapa wanakwenda viwanjani na bado wako live, yeye anashindwa nini pale library?!!

Ili niwe nakutaarifu wewe peas of ant. Najua nawanyima raha sana, vidonge ninavyowapa vinafanya kazi nitaongeza dozi. Wasalimie, Rev Bandia Masanilo. Mungiki Brother, Rev kishoka, Elnino, Invisible, sanda Matuta et al bila kumsahau mzee wa udaku ingawaje yeye ni Manure ooops kumbe yupo hapa ataiona message mwenyewe. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.


Jamaa mzushi mpaka basi!!!! Kila kitu anazusha ili kulizisha feelings zake!

What do you know by the term ''new comers/boys'' au ki-english kinaanza kukupiga chenga? khe kh khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Ili niwe nakutaarifu wewe peas of ant. Najua nawanyima raha sana, vidonge ninavyowapa vinafanya kazi nitaongeza dozi. Wasalimie, Rev Bandia Masanilo. Mungiki Brother, Rev kishoka, Elnino, Invisible, sanda Matuta et al bila kumsahau mzee wa udaku ingawaje yeye ni Manure ooops kumbe yupo hapa ataiona message mwenyewe. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.


Ulimwona Nasri alivyokuwa ana-smile baada ya kipenga cha mwisho pale Emirates?
 
Ulijifunza ki-english ngumbaru nini? khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

What do you know by the term ''new comers/boys'' au ki-english kinaanza kukupiga chenga? khe kh khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Tuambie wewe mwenye good command of the language... Huwezi kuiita timu iliyoko kwenye EPL tangu 2002 newcomers.....
 
kweli leo upo very excited!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


Hahahahaha, loads of drinks since morning (excuse me ustadhi, I know is ramadan), my little daughter's bday, happy daddy! Anyway, I would welcome back two points system if a draw counts for zero point and a loss equals -1 point. What's your take?
 
Why not? What've they achieved?


This's absolutely poor if not wrong definition of newcomers! Huwezi kusema timu ni newcomers kwenye ligi kwa sababu tu hawana achievement kwenye hiyo ligi. Kwa definition yako unataka kusema kwenye EPL team zote ni newcomers isipokuwa Chelsea, Manchester, Arsenal na Blackburn!!!!!!! Pathetic thinking, really!!
 
  • Thanks
Reactions: Nzi

Similar Discussions

Back
Top Bottom