Kuna mechi kubwa kama Barcelona na Arsenal last season rudi nyuma kaangalie kama nilikuwa jukwaani au la? Wacha umbeya, mkubwa wewe sasa ..... ...... ...... .... kama nipo jukwaani nipo kama sipo sipo whats the big deal?
Mkuu mimi sio shabiki kama wewe, ni member wa Arsenal football club na mechi zote za nyumbani nipo Emirates kuangalia vijana kama ada. Chacha wewe ulitegemea niwe hapa nakenua na wewe kwa mtaji gani? Mtapata tabu sana kwa sababu Arsenal tupo kwenye program ya hali ya juu kuiweka timu pale inapotakiwa.
Usione media yote ya UK inagwaya kuandika kila siku habari za big team hujiulizi? Kama unaweza tuma maombi ili nikufikirie kukualika Emirates au unasemaje. Peas of ant alikataa kwa sababu ya aibu ya cowshed yao. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee