SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Hiyo hiyo. Sema waliharibu kumpa dogo penalt ya mwisho.
Monday morning quarterback!!
Hiyo hiyo. Sema waliharibu kumpa dogo penalt ya mwisho.
Nyie muda wenu bado. Mnaanzaga kwa jeuri mnakuja kuliq mwisho wa msimu.
Chelsea halisi hatuna imani na Super Frank Lampard.
Mkuu hivi huoni aibu? 3+ imegoma [emoji3][emoji3]Polen Chelsea
Next stop kwa Leicester mnapoteza tena
Sub ya kawaida, hakuna mchezaji aliyeumiaAmeumia ? Au sub ya kawaida
Nenda mkapongezane huko kwenu au wamekususa nini?Mashabiki wa Chelsea popote mlipo
Geukanieni na msemo "sisi ni washindi"
Leo mmecheza vyema sana
pole wana chelseaMatch haikua na sababu yakuipeleka matuta ilikua chelsea aimalize mapema tu kombe la kwanza sasa kama lampard amekosa kombe hili atachukua lipi tena msimu huu.
Abraham goal la mwisho kakosa yeye penalty kakosa yeye anazingua sana.Match na man u kagongesha mwamba yeye,kujiangusha yeye makosa yaliyopelekea goal la 3
Marefa wamezingua mpaka wapigiwe simuAbra amechomoa bettriii duuu lakini sio mbaya faina ilikuwa tamu sana na wanaotubeza waendelee tu ila wajue kabisa kupigwa na manure sio kigezo cha Chelsea kuwa kwasukwasu mwisho Wa msimu naiona the blues ikiwa kwenye top four .....Chelsea ni fire
Nataka tuingie mpaka penalty uone Kepa ni nani
Sana, wakati anamuingiza Tomori sikuelewa aisee. Akachomoa watu experience akaweka Tammy na Mount. Naelewa kwa nn Luiz aliamua kuondokaLampard ana maamuzi magumu sana nashindwa namna nzuri ya kumuelezea.
Nikweli dogo alionekana kabisa kutokujiamini ile angepewa hata Pedro angefunga sio mbaya leo ndo tumejua namna timu ilivyo Mungu ibariki Chelsea ifanikiwe zaidi ya hapa
Mashabiki wa Chelsea popote mlipo
Geukanieni na msemo "sisi ni washindi"
Leo mmecheza vyema sana
Match haikua na sababu yakuipeleka matuta ilikua chelsea aimalize mapema tu kombe la kwanza sasa kama lampard amekosa kombe hili atachukua lipi tena msimu huu.
Abraham goal la mwisho kakosa yeye penalty kakosa yeye anazingua sana.Match na man u kagongesha mwamba yeye,kujiangusha yeye makosa yaliyopelekea goal la 3.
Lakini mpaka hapa mapungufu niliyoyaona kwa lampard anashindwa kuwahimiza wachezaji waongeze kasi ya mashambulizi viungo wako vizuri lakini maforward du wanatia huruma ndowanaochelewesha ushindi.
Mheshimiwa mgeni rasmi hao unaowaona pale ni mashabiki wa Chelsea wamesogea karibu na betri .View attachment 1181704