hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,642
- 19,018
Tatizo ccm wamekubrainwashHauwezi kuwa mshabiki wa Arsenal ukawa na akili toshelevu
Tatizo ccm wamekubrainwashHauwezi kuwa mshabiki wa Arsenal ukawa na akili toshelevu
Kesho tunaweka kambi humu,jiandae kumwaga mapovuInapendeza unapopata nafasi ya kucheza Super Cup kwa kumfunga Arsenal nyoronyoro 4-1 pale BAKU endeleeni kudanga team za watu ,maisha yako yote hautashuhudia Arsenal ikicheza Super Cup
Mkuu sisi bado tupo imara sana ..ngoja tuunde timu ..wataelewa tuMkuu hata husibishane na mashabiki wa Asernal na hawa wasiyojua mpira. Wanepata pa kupunguza maumivu waliyopata mwezi wa Tano baada ya kufungwa 4 na chelsea.
Labda niwaulize ninyi mnaojitoa ufahamu kwa chelsea.
Je, ni chelsea pekee ndiyo imewahi kufungwa goli 4?
Man city msimu ulipita alimfunga Liver 5 bila, man u kala 4 tot kala 5.
Pia chelsea imewahi mfunga man u 4 bila, man city 6, Arsena 4 na 6 pia
Kufungwa kupo na ndiyo maana mkikutana kuna kushinda kushindwa na kudraw.
Timu zote zinaingia uwanjani kwa lengo la kupata points 3 yaani kushinda bila kujali itashinda goli ngapi.
So upande mmoja ikizidiwa mbinu basi inafungwa na kuchukuliwa points zote 3.
Jana tumecheza mpira ila tulizidiwa mbinu ya kufunga. So kwangu kufungwa its ok na najua next time bila ya kujali ni lini tutakuwa pouwa makosa yetu yaliyo onekana jana yatarekebishwa na kocha.
So ni jambo la muda tu. Comeonchelsea. Always blue in colour
Uyo Pepe dream yake ni kucheza Chelsea ..wacha apate uzoefu kwanza uko msimu ujao anatua darajani..Ni asenyoo pekee wehu walio toa mipesa kwa pepe ambaye hajawa proved kwenye epl... Huku mnakataa kuweka mkwanja kwa Zaha....
We are the famous Arsenal #COYGUyo Pepe dream yake ni kucheza Chelsea ..wacha apate uzoefu kwanza uko msimu ujao anatua darajani..
Nipo kiongozi nipo.. ni majukumu tu ya kitaifa yamenibana
#FreeOllachugaOc #FreeOllachugaOc
Acha kusema ivyo ..usimfananishe Lampard na vitu vya kijinga!!LAMPARD ni MOYES aliyechangamka ,hamnapo kitu pale
Mkuu huu ni mwanzo wa ligi ..huwa hatuangalii umeanzaje ..tunaangalia unamalizaje msimu ..tunakusikilizaView attachment 1179065
Mzee wa kujipiga BAN jiandae tena kujipiga Ban kesho,nasemaje utajipiga BAN sana msimu huu.We will come back stronger ..
We are Chelsea..
In Lampard we trust..
KTBFFH..
Msimu watajipiga ban hadi za maishaMzee wa kujipiga BAN jiandae tena kujipiga Ban kesho,nasemaje utajipiga BAN sana msimu huu.
Mkuu acha izo mamboOllachuga OC toka huko kwenye Jukwaa la Mapishi njoo hapa kwa Wanaume.
Yani nimekukuta na post hii kwenye Jukwaa la Mapishi ↓↓
@Baba Swalehe kesho tutamalizia khasira zote kwenu ..najua hutaaminiNdugu yetu ollachuga kajipiga ban ya siku naona View attachment 1178972
Hahahaha kijana@Baba Swalehe kesho tutamalizia khasira zote kwenu ..najua hutaamini
Teh.. Mpk unaikataa timu yakoLiva tunaishia namba sita
Ila Arsenal fan boys wanajua kufurahisha. Leo Jorginho na Kovacic wanaitwa mizoga wakati huo wewe kwenye timu yako una Toreira, Cebalos na Xhaka. Dunia haiishi vitukoHii timu alivyoondoka Hazard tu nilijua kwisha habari, Hazard was the real deal,hata ukiangalia msimu uliopita hazard was the difference sio mizoga ya kina kovacic, sijui jorginho, umfunge nani?
Kuna timu ambazo bila kuwa na wachezaji wenye personal technical ability haziwezi kuperform kabisa e.g Chelsea.
Msimu mtajipiga sana ban,huwez fananisha ceballos ,toreira na mido zako hizo, mechi na man u pogba anagongeana pass hadi goli utasema una kiungo ,ww una kante tu na yeye ameshaanza kuwa muhuzuriaji mzuri wa hospitali ,msimu huu nafas ya 10 ni YenuIla Arsenal fan boys wanajua kufurahisha. Leo Jorginho na Kovacic wanaitwa mizoga wakati huo wewe kwenye timu yako una Toreira, Cebalos na Xhaka. Dunia haiishi vituko