Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

David Luiz in 2016: "If I leave Chelsea one day, I want to play with Ozil"

Katimiza ndoto yake
Screenshot_2019-08-08-15-53-48.jpeg
 
Huyo Forward wako Willian nakupa kazi kaangalie Profile yake kafunga na kutoa assist ngapi tangia amekuja hapo Chelsea
Mchezaji yeyote anayetoka Chelsea hawezi kosa namba kwenye top six teams nadhani unaona jinsi gani arsenal wana furaha kwa kumpata Luiz maana uwakika wa namba anao. Ivyo hata Willian anaeza kuja apo Anfield na akakipiga fresh sana. Sisi tuna World Classic Player karibu timu nzima wakati Liver hawafiki hata watano...

Naona fans wa AssAnal washamvisha Luiz wao Jezi[emoji23][emoji23][emoji23]

#LetsProveThemWrong
 
Duh.....aiseeehhh
Mchezaji yeyote anayetoka Chelsea hawezi kosa namba kwenye top six teams nadhani unaona jinsi gani arsenal wana furaha kwa kumpata Luiz maana uwakika wa namba anao. Ivyo hata Willian anaeza kuja apo Anfield na akakipiga fresh sana. Sisi tuna World Classic Player karibu timu nzima wakati Liver hawafiki hata watano...

Naona fans wa AssAnal washamvisha Luiz wao Jezi[emoji23][emoji23][emoji23]

#LetsProveThemWrong
 
Hili povu la kleasoft hahahaaaaaa hiyo haigeuzi ukweli kuwa wewe na chelsea yako bado sanaaaaa kufikia level za arsenal ndugu.....ww ni underdog zinapokusanywa timu 5 kubwa hapo england
Takataka usitupishie hapa arsenal hawana legend acha watu tudiscuss habari za team kubwa sio katimu ka ajabu ajabu
 
Kwa maana ni kwamba leicester wangefanya vizuri misimu 4 tu generation inayoanza kushabikia mpira ktk kipindi kile ingekuwa na mahaba na hako katimu.....hii generation ya chelsea ni ya vitoto vya 2005-2009 kama sijakosea kipindi mzee Abromavich anaikomboa timu kutoka utumwani,
Umekosa hoja wewe. Lets assume mimi nimeanza kushabikia muda huo unaosema, tofauti yangu mimi na wewe kwa sasa ni ipi?

Unadhani mimi mtoto wa 2005 unanizidi nini wewe wa 95 kama unavyojipqmbanua hapo?
 
Kwa bajeti ya £45m
  1. Martinellli £6m
  2. Dani Ceballos (Loan)
  3. William Saliba £30m (Loaned-back)
  4. Nicolas Pépé £72m
  5. Kieran Tierney £25m
  6. David Luiz £8m
Hata Wapare hawaoni ndani kwa Arsenal bana, itabidi nimtafute Arron anisaidia maana huu ujanja ni mzuri sana kwa kubana matumizi, unajua tena kipindi hiki vyuma vimebana, hii teknolojia ni muhimu sana
 
Mchezaji yeyote anayetoka Chelsea hawezi kosa namba kwenye top six teams nadhani unaona jinsi gani arsenal wana furaha kwa kumpata Luiz maana uwakika wa namba anao. Ivyo hata Willian anaeza kuja apo Anfield na akakipiga fresh sana. Sisi tuna World Classic Player karibu timu nzima wakati Liver hawafiki hata watano...

Naona fans wa AssAnal washamvisha Luiz wao Jezi[emoji23][emoji23][emoji23]

#LetsProveThemWrong
Umeona bana. Na huko nyuma walikuwa wanawasaga kweli, huyo reject tu kaenda huko wanafanya sherehe, je wangemchukua first XI kama Rudiger ingekuwaje!
 
Huyo pepe fee yake inalipwa katika mafungu mafungu
Ingekuwa 75m cash saiz mngekuwa mmetulia kama maji kwny mtungi
Kwa bajeti ya £45m
  1. Martinellli £6m
  2. Dani Ceballos (Loan)
  3. William Saliba £30m (Loaned-back)
  4. Nicolas Pépé £72m
  5. Kieran Tierney £25m
  6. David Luiz £8m
Hata Wapare hawaoni ndani kwa Arsenal bana, itabidi nimtafute Arron anisaidia maana huu ujanja ni mzuri sana kwa kubana matumizi, unajua tena kipindi hiki vyuma vimebana, hii teknolojia ni muhimu sana
 
David Luiz and Frank Lampard 2012.jpg

David Luiz, John Terry, and Frank Lampard in 2012
Nasikia hawakuwa wakipatana tangu wakati huo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom