Kyatile
JF-Expert Member
- Feb 5, 2017
- 1,736
- 1,582
Ujasusi umeanza kuingia hata kwenye mpira wa miguu. Huyu jamaa juzi kabla hajasaini amekutana na mmiliki wa timu.tunakumbushana tuView attachment 1175659
Ujasusi umeanza kuingia hata kwenye mpira wa miguu. Huyu jamaa juzi kabla hajasaini amekutana na mmiliki wa timu.tunakumbushana tuView attachment 1175659
Mkuu hivi unajua luis msimu uliopita kacheza mechi 36 chelsea???Hivi wakati Brazil anafungwa 7-0 na Ujerumani, Luiz alikuwa winger au CB?
Je wakati Chelsea anatumbukizwa 6-0 na Mancity Luiz alikuwa winger au CB?
Je Bonamouth anatufunga 4-0
Nathan Ake ni CB mzuri kuliko Luiz sijui kwanini Chelsea hawakumuuzia Arsenal Luiz wakati ule na kumretain Nathan Ake
Luiz matobo yake mkipona sana ni magoli 4 kwenda juu. Of course sio kila wakati anaruhusu ila siku akiamka kagombana na mke wake au ana bivu na mtu yeyote ndio mtamjua Luiz anaitwa ni risk defender ndipo mtakapomjua
Umekosa hoja wewe. Lets assume mimi nimeanza kushabikia muda huo unaosema, tofauti yangu mimi na wewe kwa sasa ni ipi?
Unadhani mimi mtoto wa 2005 unanizidi nini wewe wa 95 kama unavyojipqmbanua hapo?
HahahaaaaaaaaKwa bajeti ya £45m
Hata Wapare hawaoni ndani kwa Arsenal bana, itabidi nimtafute Arron anisaidia maana huu ujanja ni mzuri sana kwa kubana matumizi, unajua tena kipindi hiki vyuma vimebana, hii teknolojia ni muhimu sana
- Martinellli £6m
- Dani Ceballos (Loan)
- William Saliba £30m (Loaned-back)
- Nicolas Pépé £72m
- Kieran Tierney £25m
- David Luiz £8m
Umeona bana. Na huko nyuma walikuwa wanawasaga kweli, huyo reject tu kaenda huko wanafanya sherehe, je wangemchukua first XI kama Rudiger ingekuwaje!
Luiz atakuwa kama Matic tu.
Huyo pepe fee yake inalipwa katika mafungu mafungu
Ingekuwa 75m cash saiz mngekuwa mmetulia kama maji kwny mtungi
Nipo nacheka na comment zenu fans wa chelsea mumechafukwaaaaaa....haya yote mbona hamkuyasema kipindi mpo naeHivi wakati Brazil anafungwa 7-0 na Ujerumani, Luiz alikuwa winger au CB?
Je wakati Chelsea anatumbukizwa 6-0 na Mancity Luiz alikuwa winger au CB?
Je Bonamouth anatufunga 4-0
Nathan Ake ni CB mzuri kuliko Luiz sijui kwanini Chelsea hawakumuuzia Arsenal Luiz wakati ule na kumretain Nathan Ake
Luiz matobo yake mkipona sana ni magoli 4 kwenda juu. Of course sio kila wakati anaruhusu ila siku akiamka kagombana na mke wake au ana bivu na mtu yeyote ndio mtamjua Luiz anaitwa ni risk defender ndipo mtakapomjua
Wamevurugwa hao mkuu kaa nao mbali utapigwa ngumi ya uso aiseeewwhhhh.....waache walopokeeee hasira zikiisha akili zao za kawaida zitawarudiaMkuu hivi unajua luis msimu uliopita kacheza mechi 36 chelsea???
sio saizi yenu kashindeni hata Europa mtatukaribia msifananishe $ na Tshs ,kati ya Chelsea na Arsenal mnajua US Dollars ni nani na Tshs ni nani nyinyi ni limbwilimbwi tu ndani ya miaka mitano ndio mnaweza badili picha za profile ya team yenu JF kwa kishinda FANimeshangaa sana anavyotokwa povu huyo jamaa duh
Akipita mshabiki wa Man utd na Liverpool akasema Chelsea ndogo kuliko team kuliko team zao tunawaelewa ni ujinga wa washabiki wa Arsenal tu ndio wanawaza wao ni team kubwa wameshinda kipi cha maana ?Team isiyo na legend takataka kabisaHili povu la kleasoft hahahaaaaaa hiyo haigeuzi ukweli kuwa wewe na chelsea yako bado sanaaaaa kufikia level za arsenal ndugu.....ww ni underdog zinapokusanywa timu 5 kubwa hapo england
Hujui chochote , kila fee imelipwa CASHHuyo pepe fee yake inalipwa katika mafungu mafungu
Ingekuwa 75m cash saiz mngekuwa mmetulia kama maji kwny mtungi
Ndio shida ya watoto wa 2004 abromovic akiinunua ChelseaAkipita mshabiki wa Man utd na Liverpool akasema Chelsea ndogo kuliko team kuliko team zao tunawaelewa ni ujinga wa washabiki wa Arsenal tu ndio wanawaza wao ni team kubwa wameshinda kipi cha maana ?Team isiyo na legend takataka kabisa
Chelsea huu mnaofanya ni ushabiki wa kitoto, yaani jamaa kuondoka ndio mnaanza kuyaona madhaifu yake!!!, we hata useme nini haisaidii kitu ndo kashasepa hivyo.Hivi wakati Brazil anafungwa 7-0 na Ujerumani, Luiz alikuwa winger au CB?
Je wakati Chelsea anatumbukizwa 6-0 na Mancity Luiz alikuwa winger au CB?
Je Bonamouth anatufunga 4-0
Nathan Ake ni CB mzuri kuliko Luiz sijui kwanini Chelsea hawakumuuzia Arsenal Luiz wakati ule na kumretain Nathan Ake
Luiz matobo yake mkipona sana ni magoli 4 kwenda juu. Of course sio kila wakati anaruhusu ila siku akiamka kagombana na mke wake au ana bivu na mtu yeyote ndio mtamjua Luiz anaitwa ni risk defender ndipo mtakapomjua
Luiz anauzwa Arsenal kwa bei ya kutupa kabisa. Inasemekana relationship yake na FL imetetereka sana, wakihusisha bifu lao la 2013Msimu huu humu ni vilio tu. LUIZ kugoma kila siku kepa anatunguliwa lawama mnampa yeye ,Amewagomea mnaanza vilio
Wewe umekaririshwa legend paka ashinde UEFA????Akipita mshabiki wa Man utd na Liverpool akasema Chelsea ndogo kuliko team kuliko team zao tunawaelewa ni ujinga wa washabiki wa Arsenal tu ndio wanawaza wao ni team kubwa wameshinda kipi cha maana ?Team isiyo na legend takataka kabisa
Chelseafc ingelikuwa ni timu ndogo sidhani Kama ungekuwa unashinda kutwa nzima ukibwabwaja kwenye jukwaa lake,ukweli ni kwamba Chelseafc ni timu inayowanyima usingizi.Sasa chelshea nayo ni timu ya kujiweka mbele za watu nayo ushangilie....hako ni katimu kadogo sana hapo england sawa na blackburn tu