Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Leo luiz amekuwa makapi? Baada ya kuleta mgomo unamuita makapi ?Makapi hayo unaona umepata na wewe.
Leo luiz amekuwa makapi? Baada ya kuleta mgomo unamuita makapi ?Makapi hayo unaona umepata na wewe.
Kaleta songombingo ,kwahiyo lazima mumuuze kilazima kwa bei cheeKutu usichojua ni kwamba Luiz katoka kusign juzijuzi kwa situation hiyo tutawauzia kwa bei tunayotaka ambayo ni juu ya thamani yake.Beki mwenye UEFA na EUROPA cups hawezi kuwa na thamani hiyo hasa anapoenda kwenye timu inayohangaikia walau ichukue kikombe cha ulaya.
Je mtaweza bei yake?
Chelsea ni kakilabu ka pombeArsenal kuanzia mashabiki wake na team hawako serious mwisho wa msimu wewe na ka genge kako mtakaa kona na kulaumiana wakati chelsea tukinyanyua kikombe kati ya makombe tutakayo shiriki na hii ndio tofauti ya team ndogo na kubwa,
Wataalamu wa mpira wanasema ikiwa ndan ya mech 10 ,Chelsea yupo ndan ya top 6 bas ana 100% ya kubeba EPLLampard naona anafanya maamuzi kama ya makocha wengine wakubwa waliyoyafanya, nibira aende na watoto kuliko mtu ambae anahis atamsumbua mbeleni
Baada ya luiz mwingine nahis atakuwa zapacosta na danny drinkwater o bakayoko
Chelsea ya msim huu watu hawatoamini tukiwa ndani ya top 4 msim unaisha
Willian gan unaemzungumzia hapa ambae ni garasa?Kovacic sio garasa
Garasa alikuwa Morata, Willian, Drinkwater,Bakayoko, Zapacosta etc
Watazuiwa na makalio yako!Hivi tar 14 kwa beki hii ya Cheltako Fc au Chelwowo Fc ni nani atamzuia Salah ,Mane na Firmino
Tusubiri ligi ianze,Kagoma tumemchukua kwa £8m biashara nzuri kabisa hii lembu
Arsenal have reached an £8m agreement with Chelsea for David Luiz, according to @bbcsport_davidhttps://t.co/ddYLuRDEbV
Mbona vilio vingi humu?????kunani?
Vilio vimeletwa na wa kuja, wenyeji tupo solid
Team yenu nzima isiweza kuchukua kombe lolote miaka nenda rudi ,kinachonishangaza mshabiki wa team ya hovyo hovyo kama arsenal anawaita mabingwa wa Europa na third runner EPL wabovu wakati team yake Uefa sijui msimu wa ngapi huu ,utasubiri sana kuweni serious ARSENAL na WASHABIKI wake SERIOUSLESSWataalamu wa mpira wanasema ikiwa ndan ya mech 10 ,Chelsea yupo ndan ya top 6 bas ana 100% ya kubeba EPL
MNA timu mbovu ambayo ukiangalia hata Leicester , astonvilla , Everton watawachakaza
ubingwa ni wa MANCHESTER CITY PEKEEAisee hawa spurs wanampango gani na epl msimu huu??
Wananipa pressure naweza kosa ubingwa kwasababu yao
Ametaka kuondoka baada ya kuona hana uhakika wa kupata namba kwenye kikosi cha kwanza, hatuwezi kumzuiaHahahaaaa maana makapi yameanza baada ya jamaa kuwatema
Huyo Forward wako Willian nakupa kazi kaangalie Profile yake kafunga na kutoa assist ngapi tangia amekuja hapo ChelseaWillian gan unaemzungumzia hapa ambae ni garasa?