Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

PAGE YA LUIZ IMEVAMIWA NA WATU WA CHELSEA WANAMUITA YUDA


hakika huu usajir umewauma sana chelsea
 
Usiku mwema
IMG_20190808_222247.jpeg
 
Ndio shida ya watoto wa 2004 abromovic akiinunua Chelsea

Arsenal ina Malegend zaid ya 100

Unamjua RAY PARLOR ?

DENIS BERGKAMP, TON ADAMS, PATTRICK VIERA,

ndio maana mnaambiwa timu yenu imeanza 2004 mnabisha

Kwa Akili yako unadhan hao malegend wa 5 wa Chelsea ni WENGI , duh

Mimi ndio maana watu kama nyie nawapuuza , Maana mpira hamjui , Mmejua kubeti basi mmejikuta mnafatilia mpira

NARUDIA TENA ARSENAL INA MALEGEND ZAID YA 100 CHELSEA HAWAZID 7
Toa ujinga hao wakina Tony Adam nani anamtambua ulaya? Kama haujabeba champions league u legend unautoa wapi? Viera anafahamika kupitia Team ya Taifa sio Arsenal takataka.hauwezi muunganisha Thiery na wachezaji uliowataja mkachukue hata Europa mnarukaruka tu mbiligi kweli ?Mimi huyo Ray Paulor nimemuona live,kashinda nini ulaya?Ngoja nijenge nchi ntarudi badae
 
Toa ujinga hao wakina Tony Adam nani anamtambua ulaya? Kama haujabeba champions league u legend unautoa wapi? Viera anafahamika kupitia Team ya Taifa sio Arsenal takataka.hauwezi muunganisha Thiery na wachezaji uliowataja mkachukue hata Europa mnarukaruka tu mbiligi kweli ?Mimi huyo Ray Paulor nimemuona live,kashinda nini ulaya?Ngoja nijenge nchi ntarudi badae
Watoto wa juzi bhana duh
 
Akipita mshabiki wa Man utd na Liverpool akasema Chelsea ndogo kuliko team kuliko team zao tunawaelewa ni ujinga wa washabiki wa Arsenal tu ndio wanawaza wao ni team kubwa wameshinda kipi cha maana ?Team isiyo na legend takataka kabisa
Katika timu 5 kubwa pale england chelsea haipo ila Gunnerz wapo mzee ...hahahaha UNAKWAMA WAPI??????
 
Ndio shida ya watoto wa 2004 abromovic akiinunua Chelsea

Arsenal ina Malegend zaid ya 100

Unamjua RAY PARLOR ?

DENIS BERGKAMP, TON ADAMS, PATTRICK VIERA,

ndio maana mnaambiwa timu yenu imeanza 2004 mnabisha

Kwa Akili yako unadhan hao malegend wa 5 wa Chelsea ni WENGI , duh

Mimi ndio maana watu kama nyie nawapuuza , Maana mpira hamjui , Mmejua kubeti basi mmejikuta mnafatilia mpira

NARUDIA TENA ARSENAL INA MALEGEND ZAID YA 100 CHELSEA HAWAZID 7
Mzee hao wamevurugwa na luiz sasa unavyowakalia kibampani wanaweza kuanza kurusha ngumi kuwa makini
 
Wewe umekaririshwa legend paka ashinde UEFA????
unaelewa maana ya legend kweli wew?? Arsenal walishakua na malegend toka kipindi chelsea inapambana kushuka daraja.Nyie washabiki mlionza 2008 hamna mnachokijua mnasumbua kweli.
Europa mje kupiga kelele Hapa ,kitimu hakifahamiki ulaya nzima mashabiki wanamidomo
 
Toa ujinga hao wakina Tony Adam nani anamtambua ulaya? Kama haujabeba champions league u legend unautoa wapi? Viera anafahamika kupitia Team ya Taifa sio Arsenal takataka.hauwezi muunganisha Thiery na wachezaji uliowataja mkachukue hata Europa mnarukaruka tu mbiligi kweli ?Mimi huyo Ray Paulor nimemuona live,kashinda nini ulaya?Ngoja nijenge nchi ntarudi badae
Hapo vipi?huyu nae sio legend??????
tapatalk_1565294298309.jpeg
tapatalk_1565293908510.jpeg
 
Toa ujinga hao wakina Tony Adam nani anamtambua ulaya? Kama haujabeba champions league u legend unautoa wapi? Viera anafahamika kupitia Team ya Taifa sio Arsenal takataka.hauwezi muunganisha Thiery na wachezaji uliowataja mkachukue hata Europa mnarukaruka tu mbiligi kweli ?Mimi huyo Ray Paulor nimemuona live,kashinda nini ulaya?Ngoja nijenge nchi ntarudi badae
Usiumie moyo mkuu ni vitu vidogo tu hivi, naona unatema sana nyongo duuuh!unaweza ukamzaba vibao mtu karibu yako hapo.
 
Toa ujinga hao wakina Tony Adam nani anamtambua ulaya? Kama haujabeba champions league u legend unautoa wapi? Viera anafahamika kupitia Team ya Taifa sio Arsenal takataka.hauwezi muunganisha Thiery na wachezaji uliowataja mkachukue hata Europa mnarukaruka tu mbiligi kweli ?Mimi huyo Ray Paulor nimemuona live,kashinda nini ulaya?Ngoja nijenge nchi ntarudi badae
Haha hahaha hii Arsenal ni vichekesho mkuu.
 
Wewe umekaririshwa legend paka ashinde UEFA????
unaelewa maana ya legend kweli wew?? Arsenal walishakua na malegend toka kipindi chelsea inapambana kushuka daraja.Nyie washabiki mlionza 2008 hamna mnachokijua mnasumbua kweli.
Wewe ndie hujui maana ya Legend
In football, a legend is a great player who is admired and talked positively everywhere by fans.
 
Wewe umekaririshwa legend paka ashinde UEFA????
unaelewa maana ya legend kweli wew?? Arsenal walishakua na malegend toka kipindi chelsea inapambana kushuka daraja.Nyie washabiki mlionza 2008 hamna mnachokijua mnasumbua kweli.
Ukitaka kujua kuwa UEFA is part of, we waangalie sasa hivi Liverpool, wana majina makubwa makubwa kama akina VVD, Mane, TAA, MO Salah hata Origi ana jina kubwa kuliko Ozil
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom