Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Tushauza huyo ,Beki wenu ni Kosheln
Hahaaaaaaaaa
Luiz hataki kushuka daraja
Maana kufungwa afingwe kepa ,lawama mumpe yeye
Tushauza huyo ,Beki wenu ni Kosheln
Usiseme hivyo mkuu AROON, tuwaachie mchezaji wao bwana.Sisi wetu Upamecano.hahaahKwa taarifa tu, huyo mtoto anatua kesho na luiz
Hahaaaaaa
David Luiz will become an Arsenal player tomorrow morning after receiving the blessing of Frank Lampard. https://t.co/dh5k5AJ4eQBeki wenu ni Kosheln
Hahahah huyu emery kasema ni Short term ,maana Leipzig wameikataa £60m ,hivo tutarud January, acha sasa hiv tumchukue Luiz maana haitaki chelseaUsiseme hivyo mkuu AROON, tuwaachie mchezaji wao bwana.Sisi wetu Upamecano.hahaah
BREAKING: Arsenal have agreed a fee with Celtic over the transfer of Kieran Tierney who is on his way to London for a medical, Sky Sports News understandsNyie ndo mtaanza kushuka daraja kama mnashindwa kufikia nusu valuation ya mchezaji Wa Celtic
Lampard kamchana ayuko kweny mipango yake, na familia yake haitaki kuondoka London ivyo solution ni kukimbilia Arsenal maana ndo sehem pekee pa kupatia namba.Hata iweje mkuu. Ndio ana mapungufu yake ila kuondoka katika kipindi hiki itatusumbua sana.
Zouma kamletea balaa anaona atashindwa kupata namba.
Teh.......hadithi ya sungura primary kwa wahenga tuLampard kamchana ayuko kweny mipango yake, na familia yake haitaki kuondoka London ivyo solution ni kukimbilia Arsenal maana ndo sehem pekee pa kupatia namba.
Lampard kamkataa kwa sababu anavuja, umri umeenda nyie ndio kwanza hamna aibu kuja kushangilia kupata makapti, Ueropa inawangoja mileleBreaking | L'Équipe report that Chelsea defender David Luiz is seeking to force a move to Arsenal. More follows.
David Luiz's agent........
Kia Jorrabchian.(Arsenal fan lia lia)
Kwa bajeti ya £45m tunaweza tununua Chelsea nzima
Aroon na Arsenal yake hawajitambui kabisa, mchezaji wa miaka 32 na ameanza kuonyesha dalili za kuwa mzito na mzigo eti wao ndio wanashangilia kumsajili.Kama unaanza kuwa na mahaba na wachezaji ambao Chelsea inawaona Kama second choice basi club yenu imepoteza mwelekeo.
Mimi ni fan mkubwa sana wa Luiz na pamoja na mapunguvu aliyonayo hasa ya kuwa mzito na kuwa uchochoro kwenye magoli mengi Chelsea walifungwa, bado Luiz alisaidia sana kuifanya defense iwe imara na pia ni defender mchezeshaji tofauti na hao wanaobaki, labda Andreasen ndie mwenye kuchezesha kama Luiz. Ila kama hayuko tayari kuwapa dogo kama akina Zouma nafasi, mimi naona sawa tu aondoke. Legend mzuri ni yule aliye na utayari wa kupokeza kijiti kwa wanaomfuata kama akina ZoumaHata iweje mkuu. Ndio ana mapungufu yake ila kuondoka katika kipindi hiki itatusumbua sana.
Zouma kamletea balaa anaona atashindwa kupata namba.
Ngoja tuone kama Luiz akiondoka defense yetu itakuwaje, sisemi kma itakuwa mbaya au itakuwa nzuri ..ila mchango wa Luiz bado ni muhimu sana japo umri umeenda..Mimi ni fan mkubwa sana wa Luiz na pamoja na mapunguvu aliyonayo hasa ya kuwa mzito na kuwa uchochoro kwenye magoli mengi Chelsea walifungwa, bado Luiz alisaidia sana kuifanya defense iwe imara na pia ni defender mchezeshaji tofauti na hao wanaobaki, labda Andreasen ndie mwenye kuchezesha kama Luizi. Ila kama hayuklo tayari kuwapa dogo kama akina Zouma nafasi, mimi naona sawa tu aondoke. Legend mzuri ni yule aliye na utayari wa kupokeza kijiti kwa wanaomfuata kama akina Zouma






Hii ni khabari njema sana.
- Rudiger, Willian back in Chelsea training
Kuna habari nimeweka hapo chini kutoka kwa mchambuzi anayemjua vizuri Luiz akianika mapunguvu yake. Hasa ni ile anayosemaNgoja tuone kama Luiz akiondoka defense yetu itakuwaje, sisemi kma itakuwa mbaya au itakuwa nzuri ..ila mchango wa Luiz bado ni muhimu sana japo umri umeenda..
Ila ata Matic aliondoka Dakika kama hiz tukiamini usajili wa Bakayoko ungeziba nafasi yake lakini Bakayoko alifeli. Ila Matic anaonekana kafeli zaid uko alipo kuliko Bakayoko kwa sababu yeye kapiga game nying kuliko Bakayoko. Hivyo kuna uwezekano Luiz akasepa na defense ikajitahidi. Nakumbuka msimu wa pili wa Conte Luiz alipiga game chache sana(pengine kutokana na mifumo ya makocha) lakin hakukuwa na tofauti kubwa sana upande wa defense. Kama dirisha bdo halijafungwa sisi tunawakaribisha Arsenal tufanye nao biz maana tunajua kabisa Luiz hatakipiga kwa mda mrefu apo arsenal na mwishowe ataondoka bure tu![]()
Hata kama mkuu.. Angesaidia mno kwa kipindi hiki. Kwa hiyo defenders tutakaobaki nso ni Zouma, Rudiger christensen nadhani na Tomori. Ukiangalia hapo ni Luiz pekee ndio mwenye experience na mashindano makubwa. Tuongee ukweli Chistensen au Tomori wanatakiwa wasimame na mtu kama Luiz.Mimi ni fan mkubwa sana wa Luiz na pamoja na mapunguvu aliyonayo hasa ya kuwa mzito na kuwa uchochoro kwenye magoli mengi Chelsea walifungwa, bado Luiz alisaidia sana kuifanya defense iwe imara na pia ni defender mchezeshaji tofauti na hao wanaobaki, labda Andreasen ndie mwenye kuchezesha kama Luiz. Ila kama hayuko tayari kuwapa dogo kama akina Zouma nafasi, mimi naona sawa tu aondoke. Legend mzuri ni yule aliye na utayari wa kupokeza kijiti kwa wanaomfuata kama akina Zouma