Kuna habari nimeweka hapo chini kutoka kwa mchambuzi anayemjua vizuri Luiz akianika mapunguvu yake. Hasa ni ile anayosema
Luiz anafunikwa huku na midfield wazuri kama akina Ngolo Kante, akienda Arsenal yenye midfield wabovu Luiz atakuwa risk kubwa kwa Unai na Arsenal yenyewe. Sasa watu wasiomjua Luiz vizuri kama akina Aroon wao wanashangilia
Martin Keown anasema
".... He would not get the same protection that he enjoys at Chelsea, where N’Golo Kante patrols in front of the back line. ‘In possession, Luiz is a wonderful passer, but he makes mistakes when playing as part of a back four. ‘He has a tendency to lose his marker and is one of those all-or-nothing players — if he doesn’t win the ball in a challenge, then congratulations because you’re in.’"