Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Staiker Abraham kinana na jirud mnatarajia kabisa mpate 10+ goals in a season kwa hao watu?

Vipigo humu havitakauka ,
 
Yani katika Front 3 nyepesi zaidi hapo ni hiyo ya Chelsea.

Hapana mchezaji hata mmoja hapo anayeweza kufikisha goli 15+ per season.

Angalau magoli 17 ya Hazard yaliwapa nafasi ya 4 msimu uliopita.
Mzee baba mbona unaiponda Sana Chelsea? Kwanini usisubili msimu uanze kwanza ndo uihoji mpira ungekuwa wa maneno Kama yako man united ingekuwa inachukua kombe kila msimu.
 
Yani katika Front 3 nyepesi zaidi hapo ni hiyo ya Chelsea.

Hapana mchezaji hata mmoja hapo anayeweza kufikisha goli 15+ per season.

Angalau magoli 17 ya Hazard yaliwapa nafasi ya 4 msimu uliopita.
Atakuwa hajui mpîra huyu na nafasi ya 3 Alikuwa nani
 
Chelsea sioni sababu ya kutokufanya vizuri eti kwa sababu imefungiwa usajili misimu miwili sehemu muhimu pekee ya kufanyia marekebisho ni upande back line kwa sababu katika match za maandalizi ya msimu chelswa imeruhusu sana magoal karibia match zote ilizo cheza imeruhusu magoal hiyo inaonyesha weakness ya back
 
Yani katika Front 3 nyepesi zaidi hapo ni hiyo ya Chelsea.

Hapana mchezaji hata mmoja hapo anayeweza kufikisha goli 15+ per season.

Angalau magoli 17 ya Hazard yaliwapa nafasi ya 4 msimu uliopita.
Unachosema ni kweli kabisa. Ila unapokosea ni kutabiri kuwa jumla yao wote watafunga si chini ya magoli kadhaa.
 
Chelsea sioni sababu ya kutokufanya vizuri eti kwa sababu imefungiwa usajili misimu miwili sehemu muhimu pekee ya kufanyia marekebisho ni upande back line kwa sababu katika match za maandalizi ya msimu chelswa imeruhusu sana magoal karibia match zote ilizo cheza imeruhusu magoal hiyo inaonyesha weakness ya back
Hivi ni misimu miwili ama madirisha mawili ya usajili
 
Chelsea sioni sababu ya kutokufanya vizuri eti kwa sababu imefungiwa usajili misimu miwili sehemu muhimu pekee ya kufanyia marekebisho ni upande back line kwa sababu katika match za maandalizi ya msimu chelswa imeruhusu sana magoal karibia match zote ilizo cheza imeruhusu magoal hiyo inaonyesha weakness ya back
Back line unaisingizia pale golini kuna pazia , hutaki kuamini msimu huu utakuja kunishukuru kwa kukufungua macho
 
Msimu huu tutajionea mengi
IMG-20190803-WA0041.jpeg
 
Kuna mtu atabaki kusema Luiz ndo tatizo la defence ya Chelsea? Watu wanapenda kufuata sana mkumbo ila hawajui kuwa Luiz na Rudiger ndo wanaibeba backline ya Chelsea. Ukibisha chukua mfano Wa msimu uliopita au ule Chelsea ilipobeba kombe la EPL na Conte
 
Aroon nanifurahisha sana kuliko woote, kafufuka baada ya pepe, hajui Wenga Sydrome itaendelea kuwala mpaka wapandishe makenji. Utapotea sana ndugu ngoja mtanange uanze
Kwakikos chako hicho , tutaona mengi ....

Yaan kuondoka hazard ndio mmepotea hivo, mmekuwa average team ,nakupa mech 10 tu , kama utakuwa ndan ya top 6 ,bas EPL mnachukua , amin hivo ,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom