Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,935
- 27,192
Yeah keshauzwa ila katika mkataba tuna buy back clause. So kama watamuuza sasa ivi watapata faida ila sisi tukimuhitaji tutampata kwa £40M.Na mimi nilitaka nililete hili huku, hivi Chelsea waliisha muuza Nathan, pesa tamu eh!

